peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Serikali kutoa Sh102.3 bilioni kwaajili ya ujenzi wa Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius Nyerere cha Kilimo na Teknolojia (MJNUAT).
Chuo kikuu cha sokoine kilianzishwa mwaka 1984 hadi leo wasomi wake wanahaha mitaani hawana ajira na wameshindwa kujiajiri, wengine wameamua kutengeneza mapanya ya kulipua mabomu naTanzania hakuna vita.
Sasa wanaanzisha chuo kikuu kingine cha kisiasa cha kwenda kuzslisha wasomi wa kilimo cha kuzalisha wasomi wa kujiuza mjini, kuendesha bajaji, boda boda, madalali, na watazamaji wa michezo ya simba na yanga.
Je serikali haioni inakwenda kuwekeza kwenye chuo kikuu kingine cha kuzalisha wasomi ambao hata serikaki imeshindwa kuwatumia?
Kwanini wasiboreshe chuo kikuu cha sokoine kwa kuanzisha campus ya kilimo huko butiama badala ya kuanzisha chuo kikuu kingine cha kilimo huko butiama?
Chuo kikuu cha sokoine kilianzishwa mwaka 1984 hadi leo wasomi wake wanahaha mitaani hawana ajira na wameshindwa kujiajiri, wengine wameamua kutengeneza mapanya ya kulipua mabomu naTanzania hakuna vita.
Sasa wanaanzisha chuo kikuu kingine cha kisiasa cha kwenda kuzslisha wasomi wa kilimo cha kuzalisha wasomi wa kujiuza mjini, kuendesha bajaji, boda boda, madalali, na watazamaji wa michezo ya simba na yanga.
Je serikali haioni inakwenda kuwekeza kwenye chuo kikuu kingine cha kuzalisha wasomi ambao hata serikaki imeshindwa kuwatumia?
Kwanini wasiboreshe chuo kikuu cha sokoine kwa kuanzisha campus ya kilimo huko butiama badala ya kuanzisha chuo kikuu kingine cha kilimo huko butiama?