mkuu Masqo amekufundisha?[HASHTAG]#huna[/HASHTAG] kipaji Mwalimu,kwani ushasahau ulishatusikilizisha izo nyimbo zako darasani tukaishia kucheka tu....amna chochote hujui hujui tu.
Hakunaga kama Deo etiDeogratius Kisandu anajiunga rasmi Na Hamas kuitetea Jerusalem dhidi ya maagizo ya Trump.
KUMBE HII NI CHAI,MKUUwewe Jamaa " muongo mnooo " Aiseee "" mpaka mwaka 2004 " soul n faith walikuwa" wameshatoka" kwa sisi ambao" tulikuwa " tunafuatilia" Tasnia us burudani " tunalijua " hilo " aisee
chai Hiyo mkuu"" wewe unamsikiliza " huyo " hebu anza kufuatilia comments " za Wachangiaji " utapata wasifu wake vyemaKUMBE HII NI CHAI,MKUU
hahahaaa