Heaven Seeker
JF-Expert Member
- May 12, 2017
- 479
- 1,071
- Thread starter
-
- #21
Mkuu sahihi kabisa. Tungepata hata kampuni tano tu kama Shabiby, nakwambia safari zingekuwa tamu sana bongo. Unasafiri kwa amani kabisa. Siyo hawa ndugu zetu wengine ambapo ukipabda magari yao inabidi roho ikae juu juu kama inataka kuchomoka.Shabby "Live royal Travel Royal " hata ukikaaa site ya nyuma huwezi rushwarushwa kwenye matuta ya barabara madereva wako so smart. Huku wahudumu wanatoa maelekezo kama upo kwenye Ndege.
Mhh Mkuu safari ndefu kama hiyo huwa siunganishi. Mie huwa naikata. Dar - Dom, kisha kesho yake ndio naanza tena Dom-Mwanza.Dar Mwanza panda happy nation wako vizuri
Kwa bongo mabasi niMkuu sahihi kabisa. Tungepata hata kampuni tano tu kama Shabiby, nakwambia safari zingekuwa tamu sana bongo. Unasafiri kwa amani kabisa. Siyo hawa ndugu zetu wengine ambapo ukipabda magari yao inabidi roho ikae juu juu kama inataka kuchomoka.
Sijui kwanini matajiri wengi wa Bongo hawapendi ku-invest kwenye sector ya usafiri wa uhakika kama Shabiby.
Hii ya AC kumwaga maji ndani inaonekana ni changamoto iliyomshinda mchina.Weeeee asithubutu, kwanza sidhani kama wapo tena maana sijapishana nalo siku nyingi.
Moja ilipiga chini na Nadhani zilikuwa mbili tu.
Ubaya wa ile gari ni kushindwa kumudu miundo ya bara bara zetu, kipande cha Mwanza shinyanga ni kunyata
Haina jina kwenye hiyo njia kwahiyo kila kituo lazima asimame kutafuta abiria.
Nilipanda siku moja maji yakaanza kumwagika ndani kutoka kwenye ventilation za AC kutoka Moro mpaka Dar na halina option ya kufungua vioo
Ally star ndio anaimudu njia hiyo sema sasa gia gia
Hao Kilimanjaro wanafanya safari za wapi Mkuu?Kwa bongo mabasi ni
Shabby
ABC
Kilimanjaro
Happy nation ni moja kwa moja nauli 50000 hutojutia ni mabasi mapya huduma zao zipo poa sana.Na ukichelewa kufanya booking mpaka sa 10 yote mawili utaambiwa yameshajaa.Mhh Mkuu safari ndefu kama hiyo huwa siunganishi. Mie huwa naikata. Dar - Dom, kisha kesho yake ndio naanza tena Dom-Mwanza.
Magari ya kuunganisha yanakuwa na speed za ajabu na usalama barabarani ni mdogo sana kutokana na kutaka kuokoa muda.
Hapa ongezea na BM.Kwa bongo mabasi ni
Shabby
ABC
Kilimanjaro
Wala sio mchina zile kureed ni scania marcopolo irizar, gari luxury sana lakini sio rafiki kwa AfricaHii ya AC kumwaga maji ndani inaonekana ni changamoto iliyomshinda mchina.
Apelekewe feedback juu ya hili.
Ally's iko vizuri Ila gia sio mchezo na wanakera wakifika shinyanga kushusha shusha Abiria yaan ni kero Sijui wanakwama wapi kupakia Abiria kulingana na route ya simiyu na MwanzaWeeeee asithubutu, kwanza sidhani kama wapo tena maana sijapishana nalo siku nyingi.
Moja ilipiga chini na Nadhani zilikuwa mbili tu.
Ubaya wa ile gari ni kushindwa kumudu miundo ya bara bara zetu, kipande cha Mwanza shinyanga ni kunyata
Haina jina kwenye hiyo njia kwahiyo kila kituo lazima asimame kutafuta abiria.
Nilipanda siku moja maji yakaanza kumwagika ndani kutoka kwenye ventilation za AC kutoka Moro mpaka Dar na halina option ya kufungua vioo
Ally star ndio anaimudu njia hiyo sema sasa gia gia
Haiendi huko tena, kwa sasa ni VIP dom - dar!!Mwanza Panda Kureed Hunters
Mwanza Panda Kureed Hunters
Ile kureed ni irizar PB, siyo gari ya kichina mkuu!!Hii ya AC kumwaga maji ndani inaonekana ni changamoto iliyomshinda mchina.
Apelekewe feedback juu ya hili.
Pamoja na magari ya Dom - Dar kuwa mengi ila hiyo route inaonekana inalipa sana. Ndio maana kuna magari mengi zaidi. Maana inashangaza, kwanini kusiwe na VIP kama Shabiby ya kutokea Dom -Mwanza? Au kwakuwa umbali umekuwa mrefu zaidi?Haiendi huko tena, kwa sasa ni VIP dom - dar!!
Umbali ulikuwa ni kigezo japo kwa sasa siyo hoja!Pamoja na magari ya Dom - Dar kuwa mengi ila hiyo route inaonekana inalipa sana. Ndio maana kuna magari mengi zaidi. Maana inashangaza, kwanini kusiwe na VIP kama Shabiby ya kutokea Dom -Mwanza? Au kwakuwa umbali umekuwa mrefu zaidi?
Hebu wahusika walifanyie kazi jambo hili. Safari ya Mwanza inawazisha sana kama hutopata gari nzuri.Umbali ulikuwa ni kigezo japo kwa sasa siyo hoja!
Uhitaji wa VIP dom - mwanza umekuwa mkubwa sana hivyo wamiliki watalifanyia kazi!!!
Hahaha wala hiyo train haizuii uwepo wa magari mazuri kwenye hiyo route!Hebu wahusika walifanyie kazi jambo hili. Safari ya Mwanza inawazisha sana kama hutopata gari nzuri.
Au watahofia Train ya standard gauge? Sidhani kama safari za Train zitakuwa za kila siku.
Duh. Hongereni sana. Kwa kuletewa luxury. Kwa sasa kuna barabara ya lami inaunganisha mikoa ya jirani na Kigoma? Nimewahi kuja Kigoma mwaka 2015. Kipindi hicho kulikuwa na vipande havijakamilika hasa kutokea Kaliua kuja Uvinza.Hahaha wala hiyo train haizuii uwepo wa magari mazuri kwenye hiyo route!
Ni swala la mipango tu mkuu!
Huku kigoma tumekumbukwa tumeletewa luxury hata njia ya mwanza zitakuja tu.
Panda ally's star [emoji93] usafir wangu pendwa dar to mwzWakuu bila kupoteza muda.
Kama mnavyojua, gharama za ndege, miaka michache hapo nyuma zilipanda kwa speed ya mwendokasi. Basi kama ujuavyo sisi wazee wa uchumi wa kuunga unga tunakuwa hatuna option nyingine zaidi ya kupanda ma-bus.
Nipo hapa nafanya plan yangu ya safari zangu za Dar - Mbeya, Mbeya-Mwanza, kisha Mwanza- Dar. Safari ambazo nitazifanya miezi michache ijayo.
Sasa niwe mkweli kuwa, kipindi cha nyuma kidogo, gharama ya usafiri ilikuwa ndio primary factor ya ku-determine aina ya usafiri nitakaotumia.
Sasa baada ya kufika nchi za wenzetu Ulaya, nikagundua kumbe kwa kiasi kikubwa ajali zinazotokea bongo zinaweza kuepukwa hasa kwa njia zifuatazo,
1) Kuwa na barabara mbazo ni nzuri. Mfano kunakuwa na two lanes za oneway. Yaani kwa lugha rahisi magari yanayoenda hayakutani uso kwa uso na magari yanayorudi.
2) Kuwa na magari yenye ubora kwa kuzingatia usalama wa abiria
3) Kuwa na madereva wenye weledi
4) Kuwalipa mishahara mizuri madereva
5) Dereva mmoja kutoendesha gari kwa muda mrefu sana
6) Dereva kutotumia vilevi
7) Magari kuwa na speed ambayo ni optimal.
8) Kuzingatia kanuni zote za barabarani
Kwa hiyo zile kauli uchwara eti kwa mfano;
1) Ajali haina kinga.
2) Siku zako zikifika zimefika
3) Kifo hakiepukiki
4) Mungu ndiye sijui kapanga ufe siku hiyo kwa ajali
(Mbona matajiri wengi hawapati hizo ajali?) Au Mungu katupangia tufe sisi tu makabwela? Hii si kweli.
Baada ya kutembelea nchi za wenzetu nimegundua kauli zote hizo ni kauli uchwara tu na zinakwepa jukumu la kuchukuwa hatua dhidi ya kulinda maisha ya mwanadamu dhidi ya vifo vinavyosababishwa na wanadamu wenyewe.
Baada ya kuzingatia yote hayo, nimegundua angalau kampuni ya Shabiby (angalau) inaendana na sifa za magari yenye usalama wa maisha ya mwanadamu, ukiachana na factors nyingine kama hali ya barabaraba.
Sasa kwa bahati mbaya, nimeingia online kwenye website yao sioni route ya Dar- Mbeya. Hii route nadhani ilikuwepo ila sijui kwa nini siioni saivi.
Chakusikitisha zaidi, sijawahi kuona magari ya Sabiby kutoka Dodoma kwenda Mwanza.
Tafadhali sana Shabiby, tunaomba usikie kilio chetu sisi wazee wa uchumi wa kuunga unga ila inapokuja suala ya usafiri tupo tayari hata kulipia zaidi (siyo lakini kama zile bei za ndege).
Yaani mfano mie nipo tayari nilipie hata mara mbili ya nauli ya kawaida kutokea Dodoma - Mwanza. Ilimradi tu chombo cha usafiri kiwe cha uhakika na usalama mkubwa zaidi.
Hapa nimeshindwa hata kuchagua kuwa nitumie ma-bus yapi. Maana haya mengine unasafiri roho ikiwa inaelea juu juu. Unakuwa unahisi kama roho anytimne inaweza kuchomoka ikuachie mwili wako.
Mliopo karibu na tajiri Shabiby muulizeni kwanini hapendi kupeleka magari yake kwenye hii route ya Dar/Dodoma - Mwanza? Tatizo ni nini?
Ni nzuri Sana niliwahi kusema sipndi Tena walitukatia ticket kumbe gari inabeba wanafunz na wasiseme walitusumbua Sana ikabidi tuanze kuhangaika aisse nilifika dar alfajiri Ila ndo tunapnda tu tufanyaje[emoji23][emoji23][emoji23]Panda ally's star [emoji93] usafir wangu pendwa dar to mwz