Shabiby, baadhi yetu tunazipenda huduma za magari yenu, kwanini hamna route ya Dar/Dom - Mwanza? Hamtutendei haki

Shabiby, baadhi yetu tunazipenda huduma za magari yenu, kwanini hamna route ya Dar/Dom - Mwanza? Hamtutendei haki

Ahsante kwa taarifa Mkuu. Lakini Shabiby imekuwepo sokoni kwa muda mrefu sana na sijui kwanini hiyo route hawakuwahi kuifanyia safari.

Hao jamaa SATCO vipi, na wao wana magari/huduma nzuri?
Dar Mwanza, Shabiby amewahi kufanya hiyo route enzi hizo mpinzani wake akiwa Ally's Tanzania leader...alikuwa anatumia yale ma Youtong F13 marefu. Ila hakudumu sana..akaachia ruti.
 
Dar Mwanza, Shabiby amewahi kufanya hiyo route enzi hizo mpinzani wake akiwa Ally's Tanzania leader...alikuwa anatumia yale ma Youtong F13 marefu. Ila hakudumu sana..akaachia ruti.
Natamani kujua sababu kwanini route ndefu Shabiby huwa hapendelei? Je, inakuwa ni maslahi ndo hakuna ama zinachosha gari?
 
Wala sio mchina zile kureed ni scania marcopolo irizar, gari luxury sana lakini sio rafiki kwa Africa
Unaijua Irizar au unaisikia tu mkuu??

Zile kureed hunters mbili zenye injini nyuma sio Irizar
 
Dar - Mwanza panda Abood angalau kidogo wanaendana na vigezo ulivyoweka ukilinganisha na kampuni nyingjne.
Marco Polo scania stability yake ipo juu kuliko Mchina higer au yutong


Dar - Mbeya panda Kilimanjaro , ukiwa hauna haraka sana chukua Tazara
Dar-Mwanza, Abood anapeleka ile mingarangara, marcopolo ya zamaaanii
Late arrivals, inazima njiani
Hamna kitu mle kabisa
 
Shabiby ndiye pekee mwenye sifa ya kutoa huduma za safari za barabarani hapa nchini! Nilikuja Moshi kwa wife hapa chap siku mbili. Nikajiskia homa kali sana ila nikaona sio kesi,kesho naweza kusafiri. Nikaingia online fasta kikachagua siti yangu nikajaza taarifa fupi chap kwa haraka nikalipia tiketi yangu!

Jioni homa imezidi,nikalazwa hospitali nikabugia drip 3 za maji chapchap na madawa kibaao na mashart kibao ya daktari. Saa moja usiku niko kitandani nikaona kabisa safari haiwezekani. Kikapiga Shabiby Customer care nikawaeleza. Kwanza nikapewa pole sana na yule mrembo,kisha nikapewa namba ya Mrema Agent wao hapa Moshi

Nilimpigia huyu mwamba huku nikiongea kwa taabu sana. Mrema akanipa pole sana. Akanishauri bro endelea kupumzika na kuzingatia maelekezo ya daktari...unataka tuisogeze safari yako mpaka lini? Au unataka tuifute? Nikamwambia isogeze mpaka ijumaa! Mrema akasema hilo limefanyiwa kazi jomba...limeishaa!

Sasa ijumaa yenyewe leo bado sijakaa vizuri. Kwa ubora wa huduma waliyonipa nimeamua tu niiache hiyo tiketi na kumzawadia buree! Yaani atajua atafanyia nini! Mimi nikipona tu naingia Online nakata tiketi nyingine fastaaa! Shabiby ninyi mnatoa huduma kwa viwango vya kimataifa! Nimeanza kusafiri nanyi toka niko kidato cha kwanza na sijawahi kupata taabu

Meneja wa hii kampuni aongezewe mshahara mara mbili na apewe miaka mitano tena!
 
Shabiby ndiye pekee mwenye sifa ya kutoa huduma za safari za barabarani hapa nchini! Nilikuja Moshi kwa wife hapa chap siku mbili. Nikajiskia homa kali sana ila nikaona sio kesi,kesho naweza kusafiri. Nikaingia online fasta kikachagua siti yangu nikajaza taarifa fupi chap kwa haraka nikalipia tiketi yangu!

Jioni homa imezidi,nikalazwa hospitali nikabugia drip 3 za maji chapchap na madawa kibaao na mashart kibao ya daktari. Saa moja usiku niko kitandani nikaona kabisa safari haiwezekani. Kikapiga Shabiby Customer care nikawaeleza. Kwanza nikapewa pole sana na yule mrembo,kisha nikapewa namba ya Mrema Agent wao hapa Moshi

Nilimpigia huyu mwamba huku nikiongea kwa taabu sana. Mrema akanipa pole sana. Akanishauri bro endelea kupumzika na kuzingatia maelekezo ya daktari...unataka tuisogeze safari yako mpaka lini? Au unataka tuifute? Nikamwambia isogeze mpaka ijumaa! Mrema akasema hilo limefanyiwa kazi jomba...limeishaa!

Sasa ijumaa yenyewe leo bado sijakaa vizuri. Kwa ubora wa huduma waliyonipa nimeamua tu niiache hiyo tiketi na kumzawadia buree! Yaani atajua atafanyia nini! Mimi nikipona tu naingia Online nakata tiketi nyingine fastaaa! Shabiby ninyi mnatoa huduma kwa viwango vya kimataifa! Nimeanza kusafiri nanyi toka niko kidato cha kwanza na sijawahi kupata taabu

Meneja wa hii kampuni aongezewe mshahara mara mbili na apewe miaka mitano tena!
Mkuu online system Ni nzuri tumechoka kuongezewa buku mbili mbili kwenye nauli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom