Shabiby, baadhi yetu tunazipenda huduma za magari yenu, kwanini hamna route ya Dar/Dom - Mwanza? Hamtutendei haki

Shabiby, baadhi yetu tunazipenda huduma za magari yenu, kwanini hamna route ya Dar/Dom - Mwanza? Hamtutendei haki

Kuwa na barabara mbazo ni nzuri. Mfano kunakuwa na two lanes za oneway. Yaani kwa lugha rahisi magari yanayoenda hayakutani uso kwa uso na magari yanayorudi.
2) Kuwa na magari yenye ubora kwa kuzingatia usalama wa abiria
3) Kuwa na madereva wenye weledi
4) Kuwalipa mishahara mizuri madereva
5) Dereva mmoja kutoendesha gari kwa muda mrefu sana
6) Dereva kutotumia vilevi
7) Magari kuwa na speed ambayo ni optimal.
8) Kuzingatia kanuni zote za barabarani
Hi promo ya kiwango cha electronic, Shabib amekuona maana ni mtembezi mkuu wa jukwaa hili
 
Mhh Mkuu safari ndefu kama hiyo huwa siunganishi. Mie huwa naikata. Dar - Dom, kisha kesho yake ndio naanza tena Dom-Mwanza.

Magari ya kuunganisha yanakuwa na speed za ajabu na usalama barabarani ni mdogo sana kutokana na kutaka kuokoa muda.
Nikienda Mwanza ni nachukua ABC upper class nalala singida,then hapo nachukua basi lingine
 
Hapa ongezea na BM.

Wanakuja moto sana japo Shabiby bado atabaki kuwa juu hasa kwenye kipengele cha "Customer Care, Service & Satisfaction".

Kumfananisha Shabiby na Ma-bus mengine si sawa. Ni kama umfananishe Mondy na Wasanii wengine.

Shabiby anaweza kwasababu ya Kuwekeza Kukubwa.

Tz: Elimu, Uzoefu na Kujizatiti kutakufanya utoboe.
BM labda route ya Dar-arusha.
Ila route ya Dar-moro sijawapenda, wahudumu wao wana lugha chafu za kihuni.
 
Wakuu bila kupoteza muda.

Kama mnavyojua, gharama za ndege, miaka michache hapo nyuma zilipanda kwa speed ya mwendokasi. Basi kama ujuavyo sisi wazee wa uchumi wa kuunga unga tunakuwa hatuna option nyingine zaidi ya kupanda ma-bus.

Nipo hapa nafanya plan yangu ya safari zangu za Dar - Mbeya, Mbeya-Mwanza, kisha Mwanza- Dar. Safari ambazo nitazifanya miezi michache ijayo.

Sasa niwe mkweli kuwa, kipindi cha nyuma kidogo, gharama ya usafiri ilikuwa ndio primary factor ya ku-determine aina ya usafiri nitakaotumia.

Sasa baada ya kufika nchi za wenzetu Ulaya, nikagundua kumbe kwa kiasi kikubwa ajali zinazotokea bongo zinaweza kuepukwa hasa kwa njia zifuatazo,

1) Kuwa na barabara mbazo ni nzuri. Mfano kunakuwa na two lanes za oneway. Yaani kwa lugha rahisi magari yanayoenda hayakutani uso kwa uso na magari yanayorudi.
2) Kuwa na magari yenye ubora kwa kuzingatia usalama wa abiria
3) Kuwa na madereva wenye weledi
4) Kuwalipa mishahara mizuri madereva
5) Dereva mmoja kutoendesha gari kwa muda mrefu sana
6) Dereva kutotumia vilevi
7) Magari kuwa na speed ambayo ni optimal.
8) Kuzingatia kanuni zote za barabarani

Kwa hiyo zile kauli uchwara eti kwa mfano;

1) Ajali haina kinga.
2) Siku zako zikifika zimefika
3) Kifo hakiepukiki
4) Mungu ndiye sijui kapanga ufe siku hiyo kwa ajali

(Mbona matajiri wengi hawapati hizo ajali?) Au Mungu katupangia tufe sisi tu makabwela? Hii si kweli.

Baada ya kutembelea nchi za wenzetu nimegundua kauli zote hizo ni kauli uchwara tu na zinakwepa jukumu la kuchukuwa hatua dhidi ya kulinda maisha ya mwanadamu dhidi ya vifo vinavyosababishwa na wanadamu wenyewe.

Baada ya kuzingatia yote hayo, nimegundua angalau kampuni ya Shabiby (angalau) inaendana na sifa za magari yenye usalama wa maisha ya mwanadamu, ukiachana na factors nyingine kama hali ya barabaraba.

Sasa kwa bahati mbaya, nimeingia online kwenye website yao sioni route ya Dar- Mbeya. Hii route nadhani ilikuwepo ila sijui kwa nini siioni saivi.

Chakusikitisha zaidi, sijawahi kuona magari ya Sabiby kutoka Dodoma kwenda Mwanza.

Tafadhali sana Shabiby, tunaomba usikie kilio chetu sisi wazee wa uchumi wa kuunga unga ila inapokuja suala ya usafiri tupo tayari hata kulipia zaidi (siyo lakini kama zile bei za ndege).

Yaani mfano mie nipo tayari nilipie hata mara mbili ya nauli ya kawaida kutokea Dodoma - Mwanza. Ilimradi tu chombo cha usafiri kiwe cha uhakika na usalama mkubwa zaidi.

Hapa nimeshindwa hata kuchagua kuwa nitumie ma-bus yapi. Maana haya mengine unasafiri roho ikiwa inaelea juu juu. Unakuwa unahisi kama roho anytimne inaweza kuchomoka ikuachie mwili wako.

Mliopo karibu na tajiri Shabiby muulizeni kwanini hapendi kupeleka magari yake kwenye hii route ya Dar/Dodoma - Mwanza? Tatizo ni nini?
Moshi kwenda Mwanza mbn hamwanzishi safari huko,? Kupitia Arusha.
 
Wakuu bila kupoteza muda.

Kama mnavyojua, gharama za ndege, miaka michache hapo nyuma zilipanda kwa speed ya mwendokasi. Basi kama ujuavyo sisi wazee wa uchumi wa kuunga unga tunakuwa hatuna option nyingine zaidi ya kupanda ma-bus.

Nipo hapa nafanya plan yangu ya safari zangu za Dar - Mbeya, Mbeya-Mwanza, kisha Mwanza- Dar. Safari ambazo nitazifanya miezi michache ijayo.

Sasa niwe mkweli kuwa, kipindi cha nyuma kidogo, gharama ya usafiri ilikuwa ndio primary factor ya ku-determine aina ya usafiri nitakaotumia.

Sasa baada ya kufika nchi za wenzetu Ulaya, nikagundua kumbe kwa kiasi kikubwa ajali zinazotokea bongo zinaweza kuepukwa hasa kwa njia zifuatazo,

1) Kuwa na barabara ambazo ni nzuri. Mfano kunakuwa na two lanes za one way. Yaani kwa lugha rahisi magari yanayoenda hayakutani uso kwa uso na magari yanayorudi.
2) Kuwa na magari yenye ubora kwa kuzingatia usalama wa abiria
3) Kuwa na madereva wenye weledi
4) Kuwalipa mishahara mizuri madereva
5) Dereva mmoja kutoendesha gari kwa muda mrefu sana
6) Dereva kutotumia vilevi
7) Magari kuwa na speed ambayo ni optimal.
8) Kuzingatia kanuni zote za barabarani

Kwa hiyo zile kauli uchwara eti kwa mfano;

1) Ajali haina kinga.
2) Siku zako zikifika zimefika
3) Kifo hakiepukiki
4) Mungu ndiye sijui kapanga ufe siku hiyo kwa ajali

(Mbona matajiri wengi hawapati hizo ajali?) Au Mungu katupangia tufe sisi tu makabwela? Hii si kweli.

Baada ya kutembelea nchi za wenzetu nimegundua kauli zote hizo ni kauli uchwara tu na zinakwepa jukumu la kuchukuwa hatua dhidi ya kulinda maisha ya mwanadamu dhidi ya vifo vinavyosababishwa na wanadamu wenyewe.

Baada ya kuzingatia yote hayo, nimegundua angalau kampuni ya Shabiby (angalau) inaendana na sifa za magari yenye usalama wa maisha ya mwanadamu, ukiachana na factors nyingine kama hali ya barabaraba.

Sasa kwa bahati mbaya, nimeingia online kwenye website yao sioni route ya Dar- Mbeya. Hii route nadhani ilikuwepo ila sijui kwa nini siioni saivi.

Chakusikitisha zaidi, sijawahi kuona magari ya Sabiby kutoka Dodoma kwenda Mwanza.

Tafadhali sana Shabiby, tunaomba usikie kilio chetu sisi wazee wa uchumi wa kuunga unga ila inapokuja suala ya usafiri tupo tayari hata kulipia zaidi (siyo lakini kama zile bei za ndege).

Yaani mfano mie nipo tayari nilipie hata mara mbili ya nauli ya kawaida kutokea Dodoma - Mwanza. Ilimradi tu chombo cha usafiri kiwe cha uhakika na usalama mkubwa zaidi.

Hapa nimeshindwa hata kuchagua kuwa nitumie ma-bus yapi. Maana haya mengine unasafiri roho ikiwa inaelea juu juu. Unakuwa unahisi kama roho anytimne inaweza kuchomoka ikuachie mwili wako.

Mliopo karibu na tajiri Shabiby muulizeni kwanini hapendi kupeleka magari yake kwenye hii route ya Dar/Dodoma - Mwanza? Tatizo ni nini?

Shabiby ni muoga sana wa ruti ndefu anapenda fupi fupi…aliwahi anzisha ruti ya Dom-Nairobi akakimbia baada ya wiki mbili tu….kuna Arusha -Mbeya akaikimbia….tena hii ruti ina magari yamechoka sana haina basi nzuri..kuna ruti Arusha- Moro alipiga wiki tu akakimbia.
 
Uzi wa wasafiri huu
Naendelea kusoma comments
 
Shabiby ni muoga sana wa ruti ndefu anapenda fupi fupi…aliwahi anzisha ruti ya Dom-Nairobi akakimbia baada ya wiki mbili tu….kuna Arusha -Mbeya akaikimbia….tena hii ruti ina magari yamechoka sana haina basi nzuri..kuna ruti Arusha- Moro alipiga wiki tu akakimbia.
Sijui issue itakuwa ni nini? Anahofia magari kuwahi kuchakaa au rote ndefu inakuwa haina maslahi? Mie nadhani kwa kiwango cha magari yake akienda popote atapata soko hata kama nauli itakuwa kubwa maana kwa sasa watu tunaangalia quality of service na siyo issue ya gharama tu.
 
Dar - Mwanza panda Abood angalau kidogo wanaendana na vigezo ulivyoweka ukilinganisha na kampuni nyingjne.
Marco Polo scania stability yake ipo juu kuliko Mchina higer au yutong


Dar - Mbeya panda Kilimanjaro , ukiwa hauna haraka sana chukua Tazara
 
Wakuu bila kupoteza muda.

Kama mnavyojua, gharama za ndege, miaka michache hapo nyuma zilipanda kwa speed ya mwendokasi. Basi kama ujuavyo sisi wazee wa uchumi wa kuunga unga tunakuwa hatuna option nyingine zaidi ya kupanda ma-bus.

Nipo hapa nafanya plan yangu ya safari zangu za Dar - Mbeya, Mbeya-Mwanza, kisha Mwanza- Dar. Safari ambazo nitazifanya miezi michache ijayo.

Sasa niwe mkweli kuwa, kipindi cha nyuma kidogo, gharama ya usafiri ilikuwa ndio primary factor ya ku-determine aina ya usafiri nitakaotumia.

Sasa baada ya kufika nchi za wenzetu Ulaya, nikagundua kumbe kwa kiasi kikubwa ajali zinazotokea bongo zinaweza kuepukwa hasa kwa njia zifuatazo,

1) Kuwa na barabara ambazo ni nzuri. Mfano kunakuwa na two lanes za one way. Yaani kwa lugha rahisi magari yanayoenda hayakutani uso kwa uso na magari yanayorudi.
2) Kuwa na magari yenye ubora kwa kuzingatia usalama wa abiria
3) Kuwa na madereva wenye weledi
4) Kuwalipa mishahara mizuri madereva
5) Dereva mmoja kutoendesha gari kwa muda mrefu sana
6) Dereva kutotumia vilevi
7) Magari kuwa na speed ambayo ni optimal.
8) Kuzingatia kanuni zote za barabarani

Kwa hiyo zile kauli uchwara eti kwa mfano;

1) Ajali haina kinga.
2) Siku zako zikifika zimefika
3) Kifo hakiepukiki
4) Mungu ndiye sijui kapanga ufe siku hiyo kwa ajali

(Mbona matajiri wengi hawapati hizo ajali?) Au Mungu katupangia tufe sisi tu makabwela? Hii si kweli.

Baada ya kutembelea nchi za wenzetu nimegundua kauli zote hizo ni kauli uchwara tu na zinakwepa jukumu la kuchukuwa hatua dhidi ya kulinda maisha ya mwanadamu dhidi ya vifo vinavyosababishwa na wanadamu wenyewe.

Baada ya kuzingatia yote hayo, nimegundua angalau kampuni ya Shabiby (angalau) inaendana na sifa za magari yenye usalama wa maisha ya mwanadamu, ukiachana na factors nyingine kama hali ya barabaraba.

Sasa kwa bahati mbaya, nimeingia online kwenye website yao sioni route ya Dar- Mbeya. Hii route nadhani ilikuwepo ila sijui kwa nini siioni saivi.

Chakusikitisha zaidi, sijawahi kuona magari ya Sabiby kutoka Dodoma kwenda Mwanza.

Tafadhali sana Shabiby, tunaomba usikie kilio chetu sisi wazee wa uchumi wa kuunga unga ila inapokuja suala ya usafiri tupo tayari hata kulipia zaidi (siyo lakini kama zile bei za ndege).

Yaani mfano mie nipo tayari nilipie hata mara mbili ya nauli ya kawaida kutokea Dodoma - Mwanza. Ilimradi tu chombo cha usafiri kiwe cha uhakika na usalama mkubwa zaidi.

Hapa nimeshindwa hata kuchagua kuwa nitumie ma-bus yapi. Maana haya mengine unasafiri roho ikiwa inaelea juu juu. Unakuwa unahisi kama roho anytimne inaweza kuchomoka ikuachie mwili wako.

Mliopo karibu na tajiri Shabiby muulizeni kwanini hapendi kupeleka magari yake kwenye hii route ya Dar/Dodoma - Mwanza? Tatizo ni nini?
endesha tu mkuu kama ukihis ukipanda bus jingine roho itaacha mwili

ki uhalisia kama life limekaa poa ni vyema ukaendeaha mwenyewe kuliko kupanda bus

FAIDA YA KUENDESHA

Utafuata sheria na taratibu zote ulizoainisha hapo ispokuwa swala la barabara tu ndio itakuwa changamoto kwako
 
Dar - Mwanza panda Abood angalau kidogo wanaendana na vigezo ulivyoweka ukilinganisha na kampuni nyingjne.
Marco Polo scania stability yake ipo juu kuliko Mchina higer au yutong


Dar - Mbeya panda Kilimanjaro , ukiwa hauna haraka sana chukua Tazara
Ahsante mkuu. Tazara ndio naifahamu leo. Hii ni kampuni ipi mkuu?
 
Back
Top Bottom