Shabiby hata wewe huna lolote, you are taking advantage TU!

Shabiby hata wewe huna lolote, you are taking advantage TU!

NewPage

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2021
Posts
1,321
Reaction score
2,106
Siku hizi umekewa ukiwasema sana wanasiasa wenzio na wakati mwingine hata Serikali. Hoteli Esperenza ya ndugu yako imekuwa kiini cha kupika majungu na wewe mwenyewe ukishiriki.
Siku hizi umekuwa wazi sana kuonesha namna ulivyojaa rohombaya na tamaa za utajiri ambao sio halali kivileeeee! Siku umempiga Mfanyakazi wako pale kwenye kituo chako cha mafuta kilichopo kwenye Kituo chako cha mabasi na kutishia kufuata bastola yako kwenye gari ndiyo ilikuwa mwanzo wa mimi kufuatilia mwenendo wako. Mbaya zaidi una majidai sana wewe. Mbona matajiri wa kweli hawana hali ya kujikweza na kutaka kutambulika kama wewe. Ni ajabu sana yaani kuleta tu mabasi mapya eti hadi yatangazwe na akina Mjakuwu. Majikwezo tu wala hamna cha maana.
 
Siku hizi umekewa ukiwasema sana wanasiasa wenzio na wakati mwingine hata Serikali. Hoteli Esperenza ya ndugu yako imekuwa kiini cha kupika majungu na wewe mwenyewe ukishiriki.
Siku hizi umekuwa wazi sana kuonesha namna ulivyojaa rohombaya na tamaa za utajiri ambao sio halali kivileeeee! Siku umempiga Mfanyakazi wako pale kwenye kituo chako cha mafuta kilichopo kwenye Kituo chako cha mabasi na kutishia kufuata bastola yako kwenye gari ndiyo ilikuwa mwanzo wa mimi kufuatilia mwenendo wako. Mbaya zaidi una majidai sana wewe. Mbona matajiri wa kweli hawana hali ya kujikweza na kutaka kutambulika kama wewe. Ni ajabu sana yaani kuleta tu mabasi mapya eti hadi yatangazwe na akina Mjakuwu. Majikwezo tu wala hamna cha maana.
Umasikini mbaya sana
 
Siku hizi umekewa ukiwasema sana wanasiasa wenzio na wakati mwingine hata Serikali. Hoteli Esperenza ya ndugu yako imekuwa kiini cha kupika majungu na wewe mwenyewe ukishiriki.
Siku hizi umekuwa wazi sana kuonesha namna ulivyojaa rohombaya na tamaa za utajiri ambao sio halali kivileeeee! Siku umempiga Mfanyakazi wako pale kwenye kituo chako cha mafuta kilichopo kwenye Kituo chako cha mabasi na kutishia kufuata bastola yako kwenye gari ndiyo ilikuwa mwanzo wa mimi kufuatilia mwenendo wako. Mbaya zaidi una majidai sana wewe. Mbona matajiri wa kweli hawana hali ya kujikweza na kutaka kutambulika kama wewe. Ni ajabu sana yaani kuleta tu mabasi mapya eti hadi yatangazwe na akina Mjakuwu. Majikwezo tu wala hamna cha maana.
pole januari, unateseka ukiwa wapi ewe rais wa bumbuli?
 
Siku hizi umekewa ukiwasema sana wanasiasa wenzio na wakati mwingine hata Serikali. Hoteli Esperenza ya ndugu yako imekuwa kiini cha kupika majungu na wewe mwenyewe ukishiriki.
Siku hizi umekuwa wazi sana kuonesha namna ulivyojaa rohombaya na tamaa za utajiri ambao sio halali kivileeeee! Siku umempiga Mfanyakazi wako pale kwenye kituo chako cha mafuta kilichopo kwenye Kituo chako cha mabasi na kutishia kufuata bastola yako kwenye gari ndiyo ilikuwa mwanzo wa mimi kufuatilia mwenendo wako. Mbaya zaidi una majidai sana wewe. Mbona matajiri wa kweli hawana hali ya kujikweza na kutaka kutambulika kama wewe. Ni ajabu sana yaani kuleta tu mabasi mapya eti hadi yatangazwe na akina Mjakuwu. Majikwezo tu wala hamna cha maana.
D.C wa kimataifa sogea karibu kuna vita imeanza ,sogea uwapige shoo mpaka wajute kuzaliwa tz
 
Siku hizi umekewa ukiwasema sana wanasiasa wenzio na wakati mwingine hata Serikali. Hoteli Esperenza ya ndugu yako imekuwa kiini cha kupika majungu na wewe mwenyewe ukishiriki.
Siku hizi umekuwa wazi sana kuonesha namna ulivyojaa rohombaya na tamaa za utajiri ambao sio halali kivileeeee! Siku umempiga Mfanyakazi wako pale kwenye kituo chako cha mafuta kilichopo kwenye Kituo chako cha mabasi na kutishia kufuata bastola yako kwenye gari ndiyo ilikuwa mwanzo wa mimi kufuatilia mwenendo wako. Mbaya zaidi una majidai sana wewe. Mbona matajiri wa kweli hawana hali ya kujikweza na kutaka kutambulika kama wewe. Ni ajabu sana yaani kuleta tu mabasi mapya eti hadi yatangazwe na akina Mjakuwu. Majikwezo tu wala hamna cha maana.
Wivu wa kijinga huu.
 
Ebu fanya mpango tumseti na jimama kama Penina wa Goba mshangazi nginjanginja komasava, alivyokula hela ya msukuma hadi akageuzwa bucha..🤣
 
Chuki za kisengesenge km hizi MIMI sizifagilii Wewe km kidume kweli si ukampasulie nyumbani kwake hayo maneno Mzee kwani Vipi? Chuki za nini kwa tajiri Wewe Masikini?
 
Siku hizi umekewa ukiwasema sana wanasiasa wenzio na wakati mwingine hata Serikali. Hoteli Esperenza ya ndugu yako imekuwa kiini cha kupika majungu na wewe mwenyewe ukishiriki.
Siku hizi umekuwa wazi sana kuonesha namna ulivyojaa rohombaya na tamaa za utajiri ambao sio halali kivileeeee! Siku umempiga Mfanyakazi wako pale kwenye kituo chako cha mafuta kilichopo kwenye Kituo chako cha mabasi na kutishia kufuata bastola yako kwenye gari ndiyo ilikuwa mwanzo wa mimi kufuatilia mwenendo wako. Mbaya zaidi una majidai sana wewe. Mbona matajiri wa kweli hawana hali ya kujikweza na kutaka kutambulika kama wewe. Ni ajabu sana yaani kuleta tu mabasi mapya eti hadi yatangazwe na akina Mjakuwu. Majikwezo tu wala hamna cha maana.
huyu anakingia biashara zake, mpuuzi kama wapuuzi wengine humo CCM
 
Back
Top Bottom