Shabiby hata wewe huna lolote, you are taking advantage TU!

Shabiby hata wewe huna lolote, you are taking advantage TU!

Siku hizi umekewa ukiwasema sana wanasiasa wenzio na wakati mwingine hata Serikali. Hoteli Esperenza ya ndugu yako imekuwa kiini cha kupika majungu na wewe mwenyewe ukishiriki.
Siku hizi umekuwa wazi sana kuonesha namna ulivyojaa rohombaya na tamaa za utajiri ambao sio halali kivileeeee! Siku umempiga Mfanyakazi wako pale kwenye kituo chako cha mafuta kilichopo kwenye Kituo chako cha mabasi na kutishia kufuata bastola yako kwenye gari ndiyo ilikuwa mwanzo wa mimi kufuatilia mwenendo wako. Mbaya zaidi una majidai sana wewe. Mbona matajiri wa kweli hawana hali ya kujikweza na kutaka kutambulika kama wewe. Ni ajabu sana yaani kuleta tu mabasi mapya eti hadi yatangazwe na akina Mjakuwu. Majikwezo tu wala hamna cha maana.
Kwani kasema uwongo,, hujui nape ndo alikuwa natumika kukutana na wajumbe wa Hkuu na mkutano mkuu mikoani kufikisha mipango ya January..lakini zaidi kwenye kifuatilia simu usalama walikama mipango mizima ya kumukwamisha mama ili wachukue wao kwa kusema eti ni Mzanzabri hana uchungu na Bara
 
Huyu amesababisha watu wamefilisika kwa kujidai mjuaji na kujua mambo ...
 
Siku umempiga Mfanyakazi wako pale kwenye kituo chako cha mafuta kilichopo kwenye Kituo chako cha mabasi na kutishia kufuata bastola yako kwenye gari ndiyo ilikuwa mwanzo wa mimi kufuatilia mwenendo wako
Hawa hiyo ngozi dawa yao ipo jikoni
 
Siku hizi umekewa ukiwasema sana wanasiasa wenzio na wakati mwingine hata Serikali. Hoteli Esperenza ya ndugu yako imekuwa kiini cha kupika majungu na wewe mwenyewe ukishiriki.
Siku hizi umekuwa wazi sana kuonesha namna ulivyojaa rohombaya na tamaa za utajiri ambao sio halali kivileeeee! Siku umempiga Mfanyakazi wako pale kwenye kituo chako cha mafuta kilichopo kwenye Kituo chako cha mabasi na kutishia kufuata bastola yako kwenye gari ndiyo ilikuwa mwanzo wa mimi kufuatilia mwenendo wako. Mbaya zaidi una majidai sana wewe. Mbona matajiri wa kweli hawana hali ya kujikweza na kutaka kutambulika kama wewe. Ni ajabu sana yaani kuleta tu mabasi mapya eti hadi yatangazwe na akina Mjakuwu. Majikwezo tu wala hamna cha maana.
Wewe ni CHAWA wa Mtumbuliwa
 
Siku hizi umekewa ukiwasema sana wanasiasa wenzio na wakati mwingine hata Serikali. Hoteli Esperenza ya ndugu yako imekuwa kiini cha kupika majungu na wewe mwenyewe ukishiriki.
Siku hizi umekuwa wazi sana kuonesha namna ulivyojaa rohombaya na tamaa za utajiri ambao sio halali kivileeeee! Siku umempiga Mfanyakazi wako pale kwenye kituo chako cha mafuta kilichopo kwenye Kituo chako cha mabasi na kutishia kufuata bastola yako kwenye gari ndiyo ilikuwa mwanzo wa mimi kufuatilia mwenendo wako. Mbaya zaidi una majidai sana wewe. Mbona matajiri wa kweli hawana hali ya kujikweza na kutaka kutambulika kama wewe. Ni ajabu sana yaani kuleta tu mabasi mapya eti hadi yatangazwe na akina Mjakuwu. Majikwezo tu wala hamna cha maana.
Napenda sana Shabiny anavyowachana Wanasiasa Uchwara including mawaziri. Kweli nimeamini, pesa inamwongezea mtu kujiamini.
 
Siku hizi umekewa ukiwasema sana wanasiasa wenzio na wakati mwingine hata Serikali. Hoteli Esperenza ya ndugu yako imekuwa kiini cha kupika majungu na wewe mwenyewe ukishiriki.
Siku hizi umekuwa wazi sana kuonesha namna ulivyojaa rohombaya na tamaa za utajiri ambao sio halali kivileeeee! Siku umempiga Mfanyakazi wako pale kwenye kituo chako cha mafuta kilichopo kwenye Kituo chako cha mabasi na kutishia kufuata bastola yako kwenye gari ndiyo ilikuwa mwanzo wa mimi kufuatilia mwenendo wako. Mbaya zaidi una majidai sana wewe. Mbona matajiri wa kweli hawana hali ya kujikweza na kutaka kutambulika kama wewe. Ni ajabu sana yaani kuleta tu mabasi mapya eti hadi yatangazwe na akina Mjakuwu. Majikwezo tu wala hamna cha maana.
Aisee mna kazi,yaani utadhani you are walking demons kwa tabia zenu,za hovyo hovyo hizi.This is complete evil.You think of the World and materialism only,no, mnahitaji mabadiliko tena makubwa.Tafuta amani na watu wote mkuu,this is not the way.
 
Siku hizi umekewa ukiwasema sana wanasiasa wenzio na wakati mwingine hata Serikali. Hoteli Esperenza ya ndugu yako imekuwa kiini cha kupika majungu na wewe mwenyewe ukishiriki.
Siku hizi umekuwa wazi sana kuonesha namna ulivyojaa rohombaya na tamaa za utajiri ambao sio halali kivileeeee! Siku umempiga Mfanyakazi wako pale kwenye kituo chako cha mafuta kilichopo kwenye Kituo chako cha mabasi na kutishia kufuata bastola yako kwenye gari ndiyo ilikuwa mwanzo wa mimi kufuatilia mwenendo wako. Mbaya zaidi una majidai sana wewe. Mbona matajiri wa kweli hawana hali ya kujikweza na kutaka kutambulika kama wewe. Ni ajabu sana yaani kuleta tu mabasi mapya eti hadi yatangazwe na akina Mjakuwu. Majikwezo tu wala hamna cha maana.
Shabiby kafanyaje sasa wengine mnatumwa na mafisadi humu
 
Back
Top Bottom