Shabiby hata wewe huna lolote, you are taking advantage TU!

Shabiby hata wewe huna lolote, you are taking advantage TU!

Siku hizi umekewa ukiwasema sana wanasiasa wenzio na wakati mwingine hata Serikali. Hoteli Esperenza ya ndugu yako imekuwa kiini cha kupika majungu na wewe mwenyewe ukishiriki.
Siku hizi umekuwa wazi sana kuonesha namna ulivyojaa rohombaya na tamaa za utajiri ambao sio halali kivileeeee! Siku umempiga Mfanyakazi wako pale kwenye kituo chako cha mafuta kilichopo kwenye Kituo chako cha mabasi na kutishia kufuata bastola yako kwenye gari ndiyo ilikuwa mwanzo wa mimi kufuatilia mwenendo wako. Mbaya zaidi una majidai sana wewe. Mbona matajiri wa kweli hawana hali ya kujikweza na kutaka kutambulika kama wewe. Ni ajabu sana yaani kuleta tu mabasi mapya eti hadi yatangazwe na akina Mjakuwu. Majikwezo tu wala hamna cha maana.
Na wewe hupendi akijivunia chake?
 
Kwani kuisema serikali ni kujikweza na hao anaowasema kwani kawasingizia anyway ni watoto wa mama mmoja ngoja mparuane
 
Kwani kuisema serikali ni kujikweza na hao anaowasema kwani kawasingizia anyway ni watoto wa mama mmoja ngoja mparuane
 
Siku hizi umekewa ukiwasema sana wanasiasa wenzio na wakati mwingine hata Serikali. Hoteli Esperenza ya ndugu yako imekuwa kiini cha kupika majungu na wewe mwenyewe ukishiriki.
Siku hizi umekuwa wazi sana kuonesha namna ulivyojaa rohombaya na tamaa za utajiri ambao sio halali kivileeeee! Siku umempiga Mfanyakazi wako pale kwenye kituo chako cha mafuta kilichopo kwenye Kituo chako cha mabasi na kutishia kufuata bastola yako kwenye gari ndiyo ilikuwa mwanzo wa mimi kufuatilia mwenendo wako. Mbaya zaidi una majidai sana wewe. Mbona matajiri wa kweli hawana hali ya kujikweza na kutaka kutambulika kama wewe. Ni ajabu sana yaani kuleta tu mabasi mapya eti hadi yatangazwe na akina Mjakuwu. Majikwezo tu wala hamna cha maana.
Adui mkubwa wa taifa ni umasikini ,ujinga unasingiziwa tu
 
Kwani kasema uwongo,, hujui nape ndo alikuwa natumika kukutana na wajumbe wa Hkuu na mkutano mkuu mikoani kufikisha mipango ya January..lakini zaidi kwenye kifuatilia simu usalama walikama mipango mizima ya kumukwamisha mama ili wachukue wao kwa kusema eti ni Mzanzabri hana uchungu na Bara
We Muhongo sana , msiwatwishe zigo zito watu hawa.
 
Shabiby kafanyaje sasa wengine mnatumwa na mafisadi humu
Upo ukweli katika comment yako kwa kuwa kwa kiasi fulani anawachachafya mafisadi.However considering his background, sikulitegea hili,nilitegemea ale nao sahani moja.
 
Mbona hajawai kwenda kwao uarabuni, au hamjui baba yake halisi anakotokea huko uarabuni!?
Kwao tanzania sio uarabuni kuwa na rangi nyeusi haukupi uhalali wa wewe kuwa mtanzania na wewe nenda kwenu burundi,mungu alimuumba adamu na eva wakiwa watu weupe na akawaambia wakazaane waitawale dunia tanzania ikiwa ndani ya dunia wewe ulizaliwa na nani? Ikiwa adamu na eva weupe nchi gani umeambiwa na mungu ya kwako
 
Aisee mna kazi,yaani utadhani you are walking demons kwa tabia zenu,za hovyo hovyo hizi.This is complete evil.You think of the World and materialism only,no, mnahitaji mabadiliko tena makubwa.Tafuta amani na watu wote mkuu,this is not the way.
Ungeona namna alimvyonyanyasa yule mfanykazi wake mlinzi pale kwenye kituo chake cha mafuta, usingeweza kuwa na comment kama hiyo. Mie mwenyewe mtu wa amani sana lakini siku hiyo ustaarabu ulinipotea kabisa. Huwezi kaa ukavumilia mnyonge akipigwa makofi kirahisi na mtu kwa kuwa tu huyo mtu ni tajiri na hawezki kufanywa chochote!
 
Siku hizi umekewa ukiwasema sana wanasiasa wenzio na wakati mwingine hata Serikali. Hoteli Esperenza ya ndugu yako imekuwa kiini cha kupika majungu na wewe mwenyewe ukishiriki.
Siku hizi umekuwa wazi sana kuonesha namna ulivyojaa rohombaya na tamaa za utajiri ambao sio halali kivileeeee! Siku umempiga Mfanyakazi wako pale kwenye kituo chako cha mafuta kilichopo kwenye Kituo chako cha mabasi na kutishia kufuata bastola yako kwenye gari ndiyo ilikuwa mwanzo wa mimi kufuatilia mwenendo wako. Mbaya zaidi una majidai sana wewe. Mbona matajiri wa kweli hawana hali ya kujikweza na kutaka kutambulika kama wewe. Ni ajabu sana yaani kuleta tu mabasi mapya eti hadi yatangazwe na akina Mjakuwu. Majikwezo tu wala hamna cha maana.
Sasa tatizo lako ni nini hasa?
 
Ungeona namna alimvyonyanyasa yule mfanykazi wake mlinzi pale kwenye kituo chake cha mafuta, usingeweza kuwa na comment kama hiyo. Mie mwenyewe mtu wa amani sana lakini siku hiyo ustaarabu ulinipotea kabisa. Huwezi kaa ukavumilia mnyonge akipigwa makofi kirahisi na mtu kwa kuwa tu huyo mtu ni tajiri na hawezki kufanywa chochote!
Hufanyi uovu kwa kuwa mtu mwingine kafanya uovu mkuu,hapana,tunalipa baya kwa jema.
 
Back
Top Bottom