4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Kazi kipimo cha utu, mnamshambulia uyu ndugu kisa tu amewapiga spana mawaziri ? kesho kutwa ngoja nikanywe soda kwa hotel ya mdogo wake, acheni upumbavuMbona hajawai kwenda kwao uarabuni, au hamjui baba yake halisi anakotokea huko uarabuni!?
Kwani kasema uwongo,, hujui nape ndo alikuwa natumika kukutana na wajumbe wa Hkuu na mkutano mkuu mikoani kufikisha mipango ya January..lakini zaidi kwenye kifuatilia simu usalama walikama mipango mizima ya kumukwamisha mama ili wachukue wao kwa kusema eti ni Mzanzabri hana uchungu na BaraSiku hizi umekewa ukiwasema sana wanasiasa wenzio na wakati mwingine hata Serikali. Hoteli Esperenza ya ndugu yako imekuwa kiini cha kupika majungu na wewe mwenyewe ukishiriki.
Siku hizi umekuwa wazi sana kuonesha namna ulivyojaa rohombaya na tamaa za utajiri ambao sio halali kivileeeee! Siku umempiga Mfanyakazi wako pale kwenye kituo chako cha mafuta kilichopo kwenye Kituo chako cha mabasi na kutishia kufuata bastola yako kwenye gari ndiyo ilikuwa mwanzo wa mimi kufuatilia mwenendo wako. Mbaya zaidi una majidai sana wewe. Mbona matajiri wa kweli hawana hali ya kujikweza na kutaka kutambulika kama wewe. Ni ajabu sana yaani kuleta tu mabasi mapya eti hadi yatangazwe na akina Mjakuwu. Majikwezo tu wala hamna cha maana.
eti Mpandisha mishahara kwanini wanatuchukia maskini? au kwa sababu hujawapandishia mishahara mkuu?Tatizo lake ni kusema anayoamini ni ya kweli?
Umasikini huzaa chuki.eti Mpandisha mishahara kwanini wanatuchukia maskini? au kwa sababu hujawapandishia mishahara mkuu?
Watoto huhesabiwa kupitia kwa baba na sio mama, au ni matrilineal ?Mkakuguru huyo
Baba mwarabu mama mkaguru
Ova
Jamaa ana mabasi 500 nasikia.mbunge tu mabasi kibao hivi akiwa raisi si morogoro inawekewa injini na matairi inatembea
Hawa hiyo ngozi dawa yao ipo jikoniSiku umempiga Mfanyakazi wako pale kwenye kituo chako cha mafuta kilichopo kwenye Kituo chako cha mabasi na kutishia kufuata bastola yako kwenye gari ndiyo ilikuwa mwanzo wa mimi kufuatilia mwenendo wako
Wewe ni CHAWA wa MtumbuliwaSiku hizi umekewa ukiwasema sana wanasiasa wenzio na wakati mwingine hata Serikali. Hoteli Esperenza ya ndugu yako imekuwa kiini cha kupika majungu na wewe mwenyewe ukishiriki.
Siku hizi umekuwa wazi sana kuonesha namna ulivyojaa rohombaya na tamaa za utajiri ambao sio halali kivileeeee! Siku umempiga Mfanyakazi wako pale kwenye kituo chako cha mafuta kilichopo kwenye Kituo chako cha mabasi na kutishia kufuata bastola yako kwenye gari ndiyo ilikuwa mwanzo wa mimi kufuatilia mwenendo wako. Mbaya zaidi una majidai sana wewe. Mbona matajiri wa kweli hawana hali ya kujikweza na kutaka kutambulika kama wewe. Ni ajabu sana yaani kuleta tu mabasi mapya eti hadi yatangazwe na akina Mjakuwu. Majikwezo tu wala hamna cha maana.
Napenda sana Shabiny anavyowachana Wanasiasa Uchwara including mawaziri. Kweli nimeamini, pesa inamwongezea mtu kujiamini.Siku hizi umekewa ukiwasema sana wanasiasa wenzio na wakati mwingine hata Serikali. Hoteli Esperenza ya ndugu yako imekuwa kiini cha kupika majungu na wewe mwenyewe ukishiriki.
Siku hizi umekuwa wazi sana kuonesha namna ulivyojaa rohombaya na tamaa za utajiri ambao sio halali kivileeeee! Siku umempiga Mfanyakazi wako pale kwenye kituo chako cha mafuta kilichopo kwenye Kituo chako cha mabasi na kutishia kufuata bastola yako kwenye gari ndiyo ilikuwa mwanzo wa mimi kufuatilia mwenendo wako. Mbaya zaidi una majidai sana wewe. Mbona matajiri wa kweli hawana hali ya kujikweza na kutaka kutambulika kama wewe. Ni ajabu sana yaani kuleta tu mabasi mapya eti hadi yatangazwe na akina Mjakuwu. Majikwezo tu wala hamna cha maana.
Aisee mna kazi,yaani utadhani you are walking demons kwa tabia zenu,za hovyo hovyo hizi.This is complete evil.You think of the World and materialism only,no, mnahitaji mabadiliko tena makubwa.Tafuta amani na watu wote mkuu,this is not the way.Siku hizi umekewa ukiwasema sana wanasiasa wenzio na wakati mwingine hata Serikali. Hoteli Esperenza ya ndugu yako imekuwa kiini cha kupika majungu na wewe mwenyewe ukishiriki.
Siku hizi umekuwa wazi sana kuonesha namna ulivyojaa rohombaya na tamaa za utajiri ambao sio halali kivileeeee! Siku umempiga Mfanyakazi wako pale kwenye kituo chako cha mafuta kilichopo kwenye Kituo chako cha mabasi na kutishia kufuata bastola yako kwenye gari ndiyo ilikuwa mwanzo wa mimi kufuatilia mwenendo wako. Mbaya zaidi una majidai sana wewe. Mbona matajiri wa kweli hawana hali ya kujikweza na kutaka kutambulika kama wewe. Ni ajabu sana yaani kuleta tu mabasi mapya eti hadi yatangazwe na akina Mjakuwu. Majikwezo tu wala hamna cha maana.
Kwa sio mtanganyika uyooo asitufanye sis mabwege......
Arabs mtulie inch siyo yenu hiii
Shabiby kafanyaje sasa wengine mnatumwa na mafisadi humuSiku hizi umekewa ukiwasema sana wanasiasa wenzio na wakati mwingine hata Serikali. Hoteli Esperenza ya ndugu yako imekuwa kiini cha kupika majungu na wewe mwenyewe ukishiriki.
Siku hizi umekuwa wazi sana kuonesha namna ulivyojaa rohombaya na tamaa za utajiri ambao sio halali kivileeeee! Siku umempiga Mfanyakazi wako pale kwenye kituo chako cha mafuta kilichopo kwenye Kituo chako cha mabasi na kutishia kufuata bastola yako kwenye gari ndiyo ilikuwa mwanzo wa mimi kufuatilia mwenendo wako. Mbaya zaidi una majidai sana wewe. Mbona matajiri wa kweli hawana hali ya kujikweza na kutaka kutambulika kama wewe. Ni ajabu sana yaani kuleta tu mabasi mapya eti hadi yatangazwe na akina Mjakuwu. Majikwezo tu wala hamna cha maana.
Na bado mkamteua kuwa mbunge?!Shabiby kauza meno ya tembo, hayo magari yake yana machozi ya tembo wetu