Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwendokasi kwa vyovyote hapo dereva alikwepesha kwakeKwa habari zilizotufikia Punde kuwa gari ya usafirishaji Abiria Ya kampuni ya Shabiby Line, imegonga Lori la kontena kwa nyuma na kusababisha kifo cha mtu mmoja
View attachment 2931158
Ni ubinadamu tu, inatokea naturally. Huenda hata wewe ungefanya hivyo. Ni kama kumtoa mdudu anayetaka kuingia jichoni ghafla, huwa hakuna muda wa kufikiri, utashangaa tu mkono umejaribu kumzuia.Mwendokasi kwa vyovyote hapo dereva alikwepesha kwake
Msiwe mnaandika tu JF bila kufanya utafiti,kwa Idadi ya Mabasi yanayosafirisha abiria Nchi nzima kwa siku,ufinyu na ubovu wa barabara zetu hapa nchini,uchache wa Askari Polisi mabarabarani,NI UKWELI kwamba Ajali zinazotokea ni chache sana na hilo ni jambo la kumshukuru MunguINAUMA SANA
KUNA KITU KIMEPUNGUA KWENYE UKAGUZI BARABARANI?
MBONA KWA MZEE AJARI HAZIKUWA NYINGI HIVI?
Kwamba zilipaswa kutokea ngapi kwa utafiti wako.Msiwe mnaandika tu JF bila kufanya utafiti,kwa Idadi ya Mabasi yanayosafirisha abiria Nchi nzima kwa siku,ufinyu na ubovu wa barabara zetu hapa nchini,uchache wa Askari Polisi mabarabarani,NI UKWELI kwamba Ajali zinazotokea ni chache sana na hilo ni jambo la kumshukuru Mungu
Zinazotokea ni chache sanaKwamba zilipaswa kutokea ngapi kwa utafiti wako.
Usitufanye wajingaMsiwe mnaandika tu JF bila kufanya utafiti,kwa Idadi ya Mabasi yanayosafirisha abiria Nchi nzima kwa siku,ufinyu na ubovu wa barabara zetu hapa nchini,uchache wa Askari Polisi mabarabarani,NI UKWELI kwamba Ajali zinazotokea ni chache sana na hilo ni jambo la kumshukuru Mungu
Acha kutete vitu vya kijinga ndugu, madereva wengi wa mabus wako rough sana overtaking za hovyo sana huwa wanafanya na akikuona una kagari kadogo ndiyo anakuletea tu anajua utamkwepa. Ni risk saa uongozana na mabusZinazotokea ni chache sana
Sasa nilichotetea ni nini?una kiwango gani cha Elimu maana hata ulichoandika hakieleweki,ulitakiwa uandike uendeshaji mbaya wa madereva nao ni sababu inayosababisha ajali,mimi point yangu ni kwamba ajali bado ni chache kulinganisha na hali halisiAcha kutete vitu vya kijinga ndugu, madereva wengi wa mabus wako rough sana overtaking za hovyo sana huwa wanafanya na akikuona una kagari kadogo ndiyo anakuletea tu anajua utamkwepa. Ni risk saa uongozana na mabus
Ungeweka trh na muda kwenye maelezo however good workKwa habari zilizotufikia ni kuwa gari ya usafirishaji abiria ya kampuni ya Shabiby Line, imegonga lori la kontena kwa nyuma na kusababisha kifo cha mtu mmoja.
View attachment 2931158
No mkuu accident its someone fault, haina bahati mbaya, barabara mbovu na finyu, hazina alama zinazoonekana vema, human errors na speed za kijinga ni moja ya tatizo, traffic officer's Tanzania ni wengi mno,kutoka Dar hadi Tunduma almost 1000km,unakutana na check points zaidi ya 50!,kutoka Pretoria to cape Town almost 1400km, hakuna check point hata moja!,speed ipo controlled na speed camera's ,zingine zikipima muda uliotumia kuendesha from point A to B(hii nasi tungeweka pale Mikumi national park T1)Msiwe mnaandika tu JF bila kufanya utafiti,kwa Idadi ya Mabasi yanayosafirisha abiria Nchi nzima kwa siku,ufinyu na ubovu wa barabara zetu hapa nchini,uchache wa Askari Polisi mabarabarani,NI UKWELI kwamba Ajali zinazotokea ni chache sana na hilo ni jambo la kumshukuru Mungu
Wewe ni mnusurika wa ajali Mr.Mshana?!Mwendokasi kwa vyovyote hapo dereva alikwepesha kwake