Shabiby yapata ajali usiku wa kuamkia leo, mmoja afariki

Shabiby yapata ajali usiku wa kuamkia leo, mmoja afariki

Ghost MVP

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2022
Posts
439
Reaction score
736
Kwa habari zilizotufikia ni kuwa gari ya usafirishaji abiria ya kampuni ya Shabiby Line, imegonga lori la kontena kwa nyuma na kusababisha kifo cha mtu mmoja.

photo_2024-03-11_10-41-36.jpg
 
INAUMA SANA

KUNA KITU KIMEPUNGUA KWENYE UKAGUZI BARABARANI?

MBONA KWA MZEE AJARI HAZIKUWA NYINGI HIVI?
Msiwe mnaandika tu JF bila kufanya utafiti,kwa Idadi ya Mabasi yanayosafirisha abiria Nchi nzima kwa siku,ufinyu na ubovu wa barabara zetu hapa nchini,uchache wa Askari Polisi mabarabarani,NI UKWELI kwamba Ajali zinazotokea ni chache sana na hilo ni jambo la kumshukuru Mungu
 
Msiwe mnaandika tu JF bila kufanya utafiti,kwa Idadi ya Mabasi yanayosafirisha abiria Nchi nzima kwa siku,ufinyu na ubovu wa barabara zetu hapa nchini,uchache wa Askari Polisi mabarabarani,NI UKWELI kwamba Ajali zinazotokea ni chache sana na hilo ni jambo la kumshukuru Mungu
Kwamba zilipaswa kutokea ngapi kwa utafiti wako.
 
Msiwe mnaandika tu JF bila kufanya utafiti,kwa Idadi ya Mabasi yanayosafirisha abiria Nchi nzima kwa siku,ufinyu na ubovu wa barabara zetu hapa nchini,uchache wa Askari Polisi mabarabarani,NI UKWELI kwamba Ajali zinazotokea ni chache sana na hilo ni jambo la kumshukuru Mungu
Usitufanye wajinga

Sio ubovu wa barabara ni ubovu wa madereva
 
Acha kutete vitu vya kijinga ndugu, madereva wengi wa mabus wako rough sana overtaking za hovyo sana huwa wanafanya na akikuona una kagari kadogo ndiyo anakuletea tu anajua utamkwepa. Ni risk saa uongozana na mabus
Sasa nilichotetea ni nini?una kiwango gani cha Elimu maana hata ulichoandika hakieleweki,ulitakiwa uandike uendeshaji mbaya wa madereva nao ni sababu inayosababisha ajali,mimi point yangu ni kwamba ajali bado ni chache kulinganisha na hali halisi
 
Hii wiki imeanza vibaya

Jana ajali ya coaster na Lori la kokoto, watu 9 wameripotiwa kufariki Dunia

Leo Tena ajali ya Shabiby na Lori la mizigo.

Tuendelee kuomba mwisho mwema, maana muda wowote unaweza kuaga maisha kupitia hizo ajali ama sababu nyinginezo 🙌😭
 
Msiwe mnaandika tu JF bila kufanya utafiti,kwa Idadi ya Mabasi yanayosafirisha abiria Nchi nzima kwa siku,ufinyu na ubovu wa barabara zetu hapa nchini,uchache wa Askari Polisi mabarabarani,NI UKWELI kwamba Ajali zinazotokea ni chache sana na hilo ni jambo la kumshukuru Mungu
No mkuu accident its someone fault, haina bahati mbaya, barabara mbovu na finyu, hazina alama zinazoonekana vema, human errors na speed za kijinga ni moja ya tatizo, traffic officer's Tanzania ni wengi mno,kutoka Dar hadi Tunduma almost 1000km,unakutana na check points zaidi ya 50!,kutoka Pretoria to cape Town almost 1400km, hakuna check point hata moja!,speed ipo controlled na speed camera's ,zingine zikipima muda uliotumia kuendesha from point A to B(hii nasi tungeweka pale Mikumi national park T1)
 
Back
Top Bottom