Shaffi kwa nini humkubali Ronaldo?

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,634
Reaction score
7,015
Nimeona Insta akimlinganisha na Rooney kwa goli alilolifunga jana!Kwa nini huwa humkubali huyu jamaa wakati mi naona ana takwimu za kutisha?
Unapenda kuleta uswahili na umekuwa ukiongoza sana kwenye kumponda huyu jamaa ukimlinganisha na wachezaji wengine.
 
Hamkubali sababu kuna messiah of football..!

Siyo yeye tu, ata mimi ningemkubali Ronaldo in absence of Lionel Messi.
 
Mimi ni muumini wa watu wanaomaster variety of things na kubaki the best!
Messi anachojua ni Mpira tu tena wa ligi ya Spain!
Akijichanganya kula bata na totoz kama cr7 mwezi mmoja tu, ataishia kusajiliwa na Njombe Mji!
Kama kweli ni mfalme wa football ahame timu achilia mbali league tuone
 
Huwezi kumfananisha Messi na uchafu unaoitwa Ronaldo
Ni hisia zako tuu mkuu,
Ukweli messi ni mzuri tena sanaa,
Lkn Ronaldo ni zaidi yake kwa mafanikio yake, balon d'or wako sawa, na wakibeba tena msimu huu ni yake pia, yaani mesi hawezi mzidi cr7 labda wawe sawa.
 
huwa nawaza sana hivi unaanzaje kumchukia tu mtu ambaye hakujui, Humpunguzii mshahara wake,huongezi wala kupunguza furaha yake!!
Amekuzidi kila kitu yaani wewe ni Shithole [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Messi na Cr7 kila mmoja ana ubora wake na kila mmoja anastahili sifa zake.
 
Kwa goli la Jana dunia ili overreact tu...
Lile ni goli la kawaida kila siku watu wanafunga tena katika mazingira magumu.
Lakini kisa Jana aliefunga ni Ronaldo basi people were all over licking his arsehole...

ndo uyazoee tu ayo mkuu. Dunia ndio inavokwenda.
 
Kabla ya Mechi ya jana nilikua naamini Messi ni zaidi ya Ronaldo!
 
Afanye kama Pep wa Man city
 
Goli la tikitaka hata mechi za mchangani watu wanafunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…