Mazala1331
New Member
- Mar 16, 2018
- 1
- 3
Mimi ni muumini wa watu wanaomaster variety of things na kubaki the best!
Messi anachojua ni Mpira tu tena wa ligi ya Spain!
Akijichanganya kula bata na totoz kama cr7 mwezi mmoja tu, ataishia kusajiliwa na Njombe Mji!
Kama kweli ni mfalme wa football ahame timu achilia mbali league tuone
ExactlyHuwezi kumfananisha Messi na uchafu unaoitwa Ronaldo
Niliwahi kusema huyu siyo mchambuzi kabisa [emoji23]Alitabiri PSG wangeshinda Santiago Bernabeu
Juzi akasema Juventus watakalisha Real madrid
Jana akasema Man city atamkalisha Liverpool
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huo ndio uchambuzi wake
Angekuwa anaBeti angefilisika tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanazi wa Messi mmesubiri leo atupie lakini katoka kapa!!
Hakuna goli wala assist!
Na bado Cr7 atamnyoosha mpaka anyoe sharubu!
Wewe hujui mpiraMimi ni muumini wa watu wanaomaster variety of things na kubaki the best!
Messi anachojua ni Mpira tu tena wa ligi ya Spain!
Akijichanganya kula bata na totoz kama cr7 mwezi mmoja tu, ataishia kusajiliwa na Njombe Mji!
Kama kweli ni mfalme wa football ahame timu achilia mbali league tuone
Basi hata Ronaldo hawezi mzidi messi labda wawe sawa na tena huyo Mzee aliyetangulia miaka miwili mbele nina mashaka nayeNi hisia zako tuu mkuu,
Ukweli messi ni mzuri tena sanaa,
Lkn Ronaldo ni zaidi yake kwa mafanikio yake, balon d'or wako sawa, na wakibeba tena msimu huu ni yake pia, yaani mesi hawezi mzidi cr7 labda wawe sawa.
Tunatafuta nani mkali kati yao shithole wewehuwa nawaza sana hivi unaanzaje kumchukia tu mtu ambaye hakujui, Humpunguzii mshahara wake,huongezi wala kupunguza furaha yake!!
Amekuzidi kila kitu yaani wewe ni Shithole [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Messi na Cr7 kila mmoja ana ubora wake na kila mmoja anastahili sifa zake.
Overhead kick bicycle goals ni nyingi sana zimeshafungwa,zingine Kali sana kuzidi hyo ya cr7. Messi ni Wa ajabu wewe kijanaKabla ya Mechi ya jana nilikua naamini Messi ni zaidi ya Ronaldo!
Kula 3-0!?Afanye kama Pep wa Man city
Ila ndo amekuwa man of the match umejiuliza ni kwa nini au hadi sahizi hujajua hilo?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanazi wa Messi mmesubiri leo atupie lakini katoka kapa!!
Hakuna goli wala assist!
Na bado Cr7 atamnyoosha mpaka anyoe sharubu!
Siyo lazimaHivi ili uone ubora wa Messi ni lazima umchukie Ronaldo?
Mshahara wa wiki tuu sisi wengine hata tufanye saving mpaka kufa bila kutunia hata cent hatufikishihuwa nawaza sana hivi unaanzaje kumchukia tu mtu ambaye hakujui, Humpunguzii mshahara wake,huongezi wala kupunguza furaha yake!!
Amekuzidi kila kitu yaani wewe ni Shithole [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Messi na Cr7 kila mmoja ana ubora wake na kila mmoja anastahili sifa zake.
Cr7 anachukua kiatu cha dhahabu yeye Man of the Matches!! [emoji23]Ila ndo amekuwa man of the match umejiuliza ni kwa nini au hadi sahizi hujajua hilo?
Mbona hata kichuya anaweza kuwa mchezaji bora Wa Africa Japo kuna kina sallah,mane,mahrez na wengineo? Japo hyo haitafanya yeye awe mchezaji mahiri kuliko hao nlowataja?Cr7 anachukua kiatu cha dhahabu yeye Man of the Matches!! [emoji23]
Sawa tu akomae..