Shaffi kwa nini humkubali Ronaldo?

Shaffi kwa nini humkubali Ronaldo?

Mimi ni muumini wa watu wanaomaster variety of things na kubaki the best!
Messi anachojua ni Mpira tu tena wa ligi ya Spain!
Akijichanganya kula bata na totoz kama cr7 mwezi mmoja tu, ataishia kusajiliwa na Njombe Mji!
Kama kweli ni mfalme wa football ahame timu achilia mbali league tuone

Hii point ya kuhama timu waga ni ya wapuuzi, mtu kama anajua, ni anajua tu.
Ila sio uwapeleke Cr7 au Messi huko Bolton wanderers!! Hawawezi kupafom vizuri maana hata wao wamefika hapo kutokana na kuzungukwa na watu wanaojua mpira, tena world class players
 
Alitabiri PSG wangeshinda Santiago Bernabeu
Juzi akasema Juventus watakalisha Real madrid
Jana akasema Man city atamkalisha Liverpool
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huo ndio uchambuzi wake
Angekuwa anaBeti angefilisika tu
Niliwahi kusema huyu siyo mchambuzi kabisa [emoji23]
 
Messi amezoea kufunga Group Stages tu
Knock out Stage sio kiviile.... mara moja moja tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanazi wa Messi mmesubiri leo atupie lakini katoka kapa!!
Hakuna goli wala assist!
Na bado Cr7 atamnyoosha mpaka anyoe sharubu!
 
Mimi ni muumini wa watu wanaomaster variety of things na kubaki the best!
Messi anachojua ni Mpira tu tena wa ligi ya Spain!
Akijichanganya kula bata na totoz kama cr7 mwezi mmoja tu, ataishia kusajiliwa na Njombe Mji!
Kama kweli ni mfalme wa football ahame timu achilia mbali league tuone
Wewe hujui mpira
 
Ni hisia zako tuu mkuu,
Ukweli messi ni mzuri tena sanaa,
Lkn Ronaldo ni zaidi yake kwa mafanikio yake, balon d'or wako sawa, na wakibeba tena msimu huu ni yake pia, yaani mesi hawezi mzidi cr7 labda wawe sawa.
Basi hata Ronaldo hawezi mzidi messi labda wawe sawa na tena huyo Mzee aliyetangulia miaka miwili mbele nina mashaka naye
 
huwa nawaza sana hivi unaanzaje kumchukia tu mtu ambaye hakujui, Humpunguzii mshahara wake,huongezi wala kupunguza furaha yake!!
Amekuzidi kila kitu yaani wewe ni Shithole [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Messi na Cr7 kila mmoja ana ubora wake na kila mmoja anastahili sifa zake.
Tunatafuta nani mkali kati yao shithole wewe
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanazi wa Messi mmesubiri leo atupie lakini katoka kapa!!
Hakuna goli wala assist!
Na bado Cr7 atamnyoosha mpaka anyoe sharubu!
Ila ndo amekuwa man of the match umejiuliza ni kwa nini au hadi sahizi hujajua hilo?
 
huwa nawaza sana hivi unaanzaje kumchukia tu mtu ambaye hakujui, Humpunguzii mshahara wake,huongezi wala kupunguza furaha yake!!
Amekuzidi kila kitu yaani wewe ni Shithole [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Messi na Cr7 kila mmoja ana ubora wake na kila mmoja anastahili sifa zake.
Mshahara wa wiki tuu sisi wengine hata tufanye saving mpaka kufa bila kutunia hata cent hatufikishi
 
Ila ndo amekuwa man of the match umejiuliza ni kwa nini au hadi sahizi hujajua hilo?
Cr7 anachukua kiatu cha dhahabu yeye Man of the Matches!! [emoji23]
Sawa tu akomae..
 
Shafih a.k.a giggs huyu MTU uzuri Mpira wa ushindani kacheza na ana upenda ,naye ni left foot km mess ( muumini wa Orthodox style ) so kumponda ronaldo itakua kawaida
 
Cr7 anachukua kiatu cha dhahabu yeye Man of the Matches!! [emoji23]
Sawa tu akomae..
Mbona hata kichuya anaweza kuwa mchezaji bora Wa Africa Japo kuna kina sallah,mane,mahrez na wengineo? Japo hyo haitafanya yeye awe mchezaji mahiri kuliko hao nlowataja?
 
Back
Top Bottom