Shaffih Dauda awaita wana Yanga Mazuzu

Shaffih Dauda awaita wana Yanga Mazuzu

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Shaffih Dauda anayejipambanua ni mchambuzi wa mpira wa miguu amewaita wana Yanga ni Mazuzu eti kwa kumkaribisha Manara ambaye alikuwa mwana Simba kama kirusi kwa Yanga.

Hii dhihaka wana Yanga mnakubaliana nayo?!

Wito,WANA YANGA WOTE SUSIENI KUNUNUA VIFAA VYA MICHEZO KWENYE MADUKA YAKE ILI LIWE FUNDISHO KWAKE!
 
Shaffih Dauda anayejipambanua ni mchambuzi wa mpira wa miguu amewaita wana Yanga ni Mazuzu eti kwa kumkaribisha Manara ambaye alikuwa mwana Simba kama kirusi kwa Yanga.

Hii dhihaka wana Yanga mnakubaliana nayo?!

Wito,WANA YANGA WOTE SUSIENI KUNUNUA VIFAA VYA MICHEZO KWENYE MADUKA YAKE ILI LIWE FUNDISHO KWAKE!
Mdomo Mali yake.
 
Shaffih hapatani na mashabiki wa ama Yanga au Simba...ili atrend anategemea kuzisema vibaya timu hizo kama alivyofanya wakati ule kwa kuiita Simba underdog...
Dawa yake ni kususia duka lake
 
Shaffih Dauda anayejipambanua ni mchambuzi wa mpira wa miguu amewaita wana Yanga ni Mazuzu eti kwa kumkaribisha Manara ambaye alikuwa mwana Simba kama kirusi kwa Yanga.

Hii dhihaka wana Yanga mnakubaliana nayo?!

Wito,WANA YANGA WOTE SUSIENI KUNUNUA VIFAA VYA MICHEZO KWENYE MADUKA YAKE ILI LIWE FUNDISHO KWAKE!
Ili wewe ufaidike kitu gani!?
Unajua saa zingine mnaiga mambo ya hovyo kutoka kwa watu wa hovyo na kuja nayo huku. Yaani akili za kitoto kabisa.

Nini kimetokea mpaka Shafi akasema hilo neno!?
Alikua akiongea na nani!?

Yaani unataka wana Yanga tuwe na akili za ki choko kama zako!?

Eti susieni!!

Yaani watu kama wewe ni kushika na kupiga makofi tu.

Na ukumbuke hili,ukitaka mwanao wa kike akudharau,bisi mshike chuchu zake.
 
Ili wewe ufaidike kitu gani!?
Unajua saa zingine mnaiga mambo ya hovyo kutoka kwa watu wa hovyo na kuja nayo huku. Yaani akili za kitoto kabisa.

Nini kimetokea mpaka Shafi akasema hilo neno!?
Alikua akiongea na nani!?

Yaani unataka wana Yanga tuwe na akili za ki choko kama zako!?

Eti susieni!!

Yaani watu kama wewe ni kushika na kupiga makofi tu.

Na ukumbuke hili,ukitaka mwanao wa kike akudharau,bisi mshike chuchu zake.
Choko ila wewe nichokolee
 
Back
Top Bottom