3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
Kwa hiyo ndiyo litakuwa jina jipya sasa hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ka kombe ka mbao ila umesahau FA MNYAMA ALIVYOKUBEMENDAVipi kuhusu kale kamoko ka ngao ya hisani
Ugomvi wake na Manara hakupaswa kuwahusisha Wanayanga wote. Manara kamwambia yeye kuhusu Uzuzu yeye kasema Mazuzu ni Wanayanga waliompokea. Unatukanwa na VAGvsSPEAKER halafu unamwambia mpumbavu ni mama yako aliyezaa mtu mpumbavu kama wewe?Ili wewe ufaidike kitu gani!?
Unajua saa zingine mnaiga mambo ya hovyo kutoka kwa watu wa hovyo na kuja nayo huku. Yaani akili za kitoto kabisa.
Nini kimetokea mpaka Shafi akasema hilo neno!?
Alikua akiongea na nani!?
Yaani unataka wana Yanga tuwe na akili za ki choko kama zako!?
Eti susieni!!
Yaani watu kama wewe ni kushika na kupiga makofi tu.
Na ukumbuke hili,ukitaka mwanao wa kike akudharau,bisi mshike chuchu zake.
Kwani kuwa msemaji lazima uwe mwanachama? Mbona una kiwango cha chini hivyo cha uelewa ndugu yangu? Halafu aliyekwambia Mimi Yanga Nani?Kweli yanga mazuzu,Kakolanya ni mwanachama wa yanga?
Shaffih Dauda anayejipambanua ni mchambuzi wa mpira wa miguu amewaita wana Yanga ni Mazuzu eti kwa kumkaribisha Manara ambaye alikuwa mwana Simba kama kirusi kwa Yanga.
Hii dhihaka wana Yanga mnakubaliana nayo?!
Wito,WANA YANGA WOTE SUSIENI KUNUNUA VIFAA VYA MICHEZO KWENYE MADUKA YAKE ILI LIWE FUNDISHO KWAKE!
Kwa Simba na Yanga ni lazima uwe mwanachama.Kwani kuwa msemaji lazima uwe mwanachama? Mbona una kiwango cha chini hivyo cha uelewa ndugu yangu? Halafu aliyekwambia Mimi Yanga Nani?
Vipi kale kamoko ka fa pale kigoma[emoji848]Vipi kuhusu kale kamoko ka ngao ya hisani
Una hela za kununua au unaongea tuu??Dawa yake ni kususia duka lake
Kwani uongo?Shaffih Dauda anayejipambanua ni mchambuzi wa mpira wa miguu amewaita wana Yanga ni Mazuzu eti kwa kumkaribisha Manara ambaye alikuwa mwana Simba kama kirusi kwa Yanga.
Hii dhihaka wana Yanga mnakubaliana nayo?!
Wito,WANA YANGA WOTE SUSIENI KUNUNUA VIFAA VYA MICHEZO KWENYE MADUKA YAKE ILI LIWE FUNDISHO KWAKE!
Wewe mpumbavu mkubwa,hatakama alikuwa anaongea na Rais akiwa ikulu hana haki ya kuwaita wana yanga mazuzu.Ili wewe ufaidike kitu gani!?
Unajua saa zingine mnaiga mambo ya hovyo kutoka kwa watu wa hovyo na kuja nayo huku. Yaani akili za kitoto kabisa.
Nini kimetokea mpaka Shafi akasema hilo neno!?
Alikua akiongea na nani!?
Yaani unataka wana Yanga tuwe na akili za ki choko kama zako!?
Eti susieni!!
Yaani watu kama wewe ni kushika na kupiga makofi tu.
Na ukumbuke hili,ukitaka mwanao wa kike akudharau,bisi mshike chuchu zake.
Noma [emoji28][emoji28]
Kama kuna ukweli hivi .Shaffih hapatani na mashabiki wa ama Yanga au Simba...ili atrend anategemea kuzisema vibaya timu hizo kama alivyofanya wakati ule kwa kuiita Simba underdog...
Legend kabisa anajionaShafii anajiona godfather sana kwenye soka la bongo..