Shaffih Dauda awaita wana Yanga Mazuzu

Shaffih Dauda awaita wana Yanga Mazuzu

Ili wewe ufaidike kitu gani!?
Unajua saa zingine mnaiga mambo ya hovyo kutoka kwa watu wa hovyo na kuja nayo huku. Yaani akili za kitoto kabisa.

Nini kimetokea mpaka Shafi akasema hilo neno!?
Alikua akiongea na nani!?

Yaani unataka wana Yanga tuwe na akili za ki choko kama zako!?

Eti susieni!!

Yaani watu kama wewe ni kushika na kupiga makofi tu.

Na ukumbuke hili,ukitaka mwanao wa kike akudharau,bisi mshike chuchu zake.
Ugomvi wake na Manara hakupaswa kuwahusisha Wanayanga wote. Manara kamwambia yeye kuhusu Uzuzu yeye kasema Mazuzu ni Wanayanga waliompokea. Unatukanwa na VAGvsSPEAKER halafu unamwambia mpumbavu ni mama yako aliyezaa mtu mpumbavu kama wewe?
 
Kweli yanga mazuzu,Kakolanya ni mwanachama wa yanga?
Kwani kuwa msemaji lazima uwe mwanachama? Mbona una kiwango cha chini hivyo cha uelewa ndugu yangu? Halafu aliyekwambia Mimi Yanga Nani?
 
Shaffih Dauda anayejipambanua ni mchambuzi wa mpira wa miguu amewaita wana Yanga ni Mazuzu eti kwa kumkaribisha Manara ambaye alikuwa mwana Simba kama kirusi kwa Yanga.

Hii dhihaka wana Yanga mnakubaliana nayo?!

Wito,WANA YANGA WOTE SUSIENI KUNUNUA VIFAA VYA MICHEZO KWENYE MADUKA YAKE ILI LIWE FUNDISHO KWAKE!

Japo simfagilii huyo Shafiih ila naungana nae!
Yanga(utopolo) ni mazuzu na mazwazwa kweli kweli, hayana akili! Ni misukule...
 
Kwani kuwa msemaji lazima uwe mwanachama? Mbona una kiwango cha chini hivyo cha uelewa ndugu yangu? Halafu aliyekwambia Mimi Yanga Nani?
Kwa Simba na Yanga ni lazima uwe mwanachama.
 
clouds wanajifny much know sana, wao kukosoa kukejeli na kudhihaki kwao ndio uchambuzi, ndio maana kipind chao kimekosa mvuto siku hizi,pia naona ht TFF na bodi ya ligi hawapo karibu nao km wenzao wa EFM, kwanza cku United akifungwa wote wanakimbia wanamwacha yule binti tu
 
ILA MANARA MTOTO WA KARIAKOO KWELI KWELI.
KULIKO KUFA NA NJAA BORA NIHAMIE YANGA
 
Shaffih Dauda anayejipambanua ni mchambuzi wa mpira wa miguu amewaita wana Yanga ni Mazuzu eti kwa kumkaribisha Manara ambaye alikuwa mwana Simba kama kirusi kwa Yanga.

Hii dhihaka wana Yanga mnakubaliana nayo?!

Wito,WANA YANGA WOTE SUSIENI KUNUNUA VIFAA VYA MICHEZO KWENYE MADUKA YAKE ILI LIWE FUNDISHO KWAKE!
Kwani uongo?
 
Ili wewe ufaidike kitu gani!?
Unajua saa zingine mnaiga mambo ya hovyo kutoka kwa watu wa hovyo na kuja nayo huku. Yaani akili za kitoto kabisa.

Nini kimetokea mpaka Shafi akasema hilo neno!?
Alikua akiongea na nani!?

Yaani unataka wana Yanga tuwe na akili za ki choko kama zako!?

Eti susieni!!

Yaani watu kama wewe ni kushika na kupiga makofi tu.

Na ukumbuke hili,ukitaka mwanao wa kike akudharau,bisi mshike chuchu zake.
Wewe mpumbavu mkubwa,hatakama alikuwa anaongea na Rais akiwa ikulu hana haki ya kuwaita wana yanga mazuzu.

Kama wewe unakubaliana nae basi ni wewe na familia yako ni mazuzu.

Sawa ya moto ni moto, asusiwe tu kiburi na ujivuni umtoke shenzi zake

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Shaffih hapatani na mashabiki wa ama Yanga au Simba...ili atrend anategemea kuzisema vibaya timu hizo kama alivyofanya wakati ule kwa kuiita Simba underdog...
Kama kuna ukweli hivi .
 
Back
Top Bottom