Shaffih Dauda awaita wana Yanga Mazuzu

Shaffih Dauda awaita wana Yanga Mazuzu

Legend kabisa anajiona
Inaelekea Haji. Amemzidi sana Shaffii kwa kila kitu,ndiyo maana anamwandama sana kwa maneno ya kipumbavu.
Wana yanga wapo zaidi ya milioni kumi wewe mtu mmoja tu unajifanya una akili zaidi.
Acha ujinga Fanya kazi tunza familia yako.

Haji ile ni sehemu ya maisha yake kama ulivyo wewe siku yoyte waeza kwenda TBC, radio one nk.
Je tukuite mamluki.

ACHA HIZO SHAFFIH

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Inaelekea Haji. Amemzidi sana Shaffii kwa kila kitu,ndiyo maana anamwandama sana kwa maneno ya kipumbavu.
Wana yanga wapo zaidi ya milioni kumi wewe mtu mmoja tu unajifanya una akili zaidi.
Acha ujinga Fanya kazi tunza familia yako.

Haji ile ni sehemu ya maisha yake kama ulivyo wewe siku yoyte waeza kwenda TBC, radio one nk.
Je tukuite mamluki.

ACHA HIZO SHAFFIH

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Wewe ni utopolo nini maana umetoa povu ...
 
Shaffih Dauda anayejipambanua ni mchambuzi wa mpira wa miguu amewaita wana Yanga ni Mazuzu eti kwa kumkaribisha Manara ambaye alikuwa mwana Simba kama kirusi kwa Yanga.

Hii dhihaka wana Yanga mnakubaliana nayo?!

Wito,WANA YANGA WOTE SUSIENI KUNUNUA VIFAA VYA MICHEZO KWENYE MADUKA YAKE ILI LIWE FUNDISHO KWAKE!
Tena Mazuzu ni jepesi Yanga ni Machoko kumkaribisha Manara its over.
 
Shaffih Dauda anayejipambanua ni mchambuzi wa mpira wa miguu amewaita wana Yanga ni Mazuzu eti kwa kumkaribisha Manara ambaye alikuwa mwana Simba kama kirusi kwa Yanga.

Hii dhihaka wana Yanga mnakubaliana nayo?!

Wito,WANA YANGA WOTE SUSIENI KUNUNUA VIFAA VYA MICHEZO KWENYE MADUKA YAKE ILI LIWE FUNDISHO KWAKE!
Hana akili huyu shafii...anashindwa kujua mpira ni biashara.. Vipi yeye akiondoka leo clouds anataka wasafi FM au efm wasimpokee ?
 
Shaffih Dauda anayejipambanua ni mchambuzi wa mpira wa miguu amewaita wana Yanga ni Mazuzu eti kwa kumkaribisha Manara ambaye alikuwa mwana Simba kama kirusi kwa Yanga.

Hii dhihaka wana Yanga mnakubaliana nayo?!

Wito,WANA YANGA WOTE SUSIENI KUNUNUA VIFAA VYA MICHEZO KWENYE MADUKA YAKE ILI LIWE FUNDISHO KWAKE!
Mmenunua mara ngapi hadi msuse
 
Nyie mashabiki wa simba ama yanga huwa hamjielewi jamaa anawaambia ukweli mnamuona adui....simba aliwaambia ni underdog wakapaniki ukija kiuhalisia ni kauli ya kweli kabisa tatizo mnashikiwa akili na mapenzi ya hizo timu zenu.
 
Wewe mpumbavu mkubwa,hatakama alikuwa anaongea na Rais akiwa ikulu hana haki ya kuwaita wana yanga mazuzu.

Kama wewe unakubaliana nae basi ni wewe na familia yako ni mazuzu.

Sawa ya moto ni moto, asusiwe tu kiburi na ujivuni umtoke shenzi zake

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Sasa kama sio mazuzu unachukua albino alikuwa anakutukana kila siku
 
Shaffih Dauda anayejipambanua ni mchambuzi wa mpira wa miguu amewaita wana Yanga ni Mazuzu eti kwa kumkaribisha Manara ambaye alikuwa mwana Simba kama kirusi kwa Yanga.

Hii dhihaka wana Yanga mnakubaliana nayo?!

Wito,WANA YANGA WOTE SUSIENI KUNUNUA VIFAA VYA MICHEZO KWENYE MADUKA YAKE ILI LIWE FUNDISHO KWAKE!
Sio shafiih tu hata msukule wenu aliwasema uto wote hamna akili kasoro mzee kikwete na mzee manara 👇👇👇🤣

DA73CEFC-2C77-4976-9FC7-A04FA8E16307.jpeg
 
Shaffih hapatani na mashabiki wa ama Yanga au Simba...ili atrend anategemea kuzisema vibaya timu hizo kama alivyofanya wakati ule kwa kuiita Simba underdog...
Japo mie Yanga nadhani wana Simba walishasahau jamaa aliiponda Simba ila ilifika mbali kipindi kile ,ila ndo wachambuzi wetu michongo.
 
Back
Top Bottom