Halafu mkishasusaShaffih Dauda anayejipambanua ni mchambuzi wa mpira wa miguu amewaita wana Yanga ni Mazuzu eti kwa kumkaribisha Manara ambaye alikuwa mwana Simba kama kirusi kwa Yanga.
Hii dhihaka wana Yanga mnakubaliana nayo?!
Wito,WANA YANGA WOTE SUSIENI KUNUNUA VIFAA VYA MICHEZO KWENYE MADUKA YAKE ILI LIWE FUNDISHO KWAKE!
Anatafuta kulogwa ?Shaffih Dauda anayejipambanua ni mchambuzi wa mpira wa miguu amewaita wana Yanga ni Mazuzu eti kwa kumkaribisha Manara ambaye alikuwa mwana Simba kama kirusi kwa Yanga.
Hii dhihaka wana Yanga mnakubaliana nayo?!
Wito,WANA YANGA WOTE SUSIENI KUNUNUA VIFAA VYA MICHEZO KWENYE MADUKA YAKE ILI LIWE FUNDISHO KWAKE!
Angalia yasikukute ya MUSIBAShaffih Dauda anayejipambanua ni mchambuzi wa mpira wa miguu amewaita wana Yanga ni Mazuzu eti kwa kumkaribisha Manara ambaye alikuwa mwana Simba kama kirusi kwa Yanga.
Hii dhihaka wana Yanga mnakubaliana nayo?!
Wito,WANA YANGA WOTE SUSIENI KUNUNUA VIFAA VYA MICHEZO KWENYE MADUKA YAKE ILI LIWE FUNDISHO KWAKE!
Tena mazuzu haswaYanga kwa hili la kumkaribisha manara tumekuwa mazuzu...
Tradition haijazingatiwa hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
tupe uzoefu mkuu, ulipomshika mwanao chuchu kisanga kilikuwaje.Ili wewe ufaidike kitu gani!?
Unajua saa zingine mnaiga mambo ya hovyo kutoka kwa watu wa hovyo na kuja nayo huku. Yaani akili za kitoto kabisa.
Nini kimetokea mpaka Shafi akasema hilo neno!?
Alikua akiongea na nani!?
Yaani unataka wana Yanga tuwe na akili za ki choko kama zako!?
Eti susieni!!
Yaani watu kama wewe ni kushika na kupiga makofi tu.
Na ukumbuke hili,ukitaka mwanao wa kike akudharau,bisi mshike chuchu zake.
Ni chawa alafu ana bichwa kubwa mpaka nywele zinashindwa kuotaHuyu shafii ni nani kwan?
Hakuiponda alisema ukweli si ilikuwa underdogJapo mie Yanga nadhani wana Simba walishasahau jamaa aliiponda Simba ila ilifika mbali kipindi kile ,ila ndo wachambuzi wetu michongo.
Ni kweli ni mazuzu hilo halina ubishiShaffih Dauda anayejipambanua ni mchambuzi wa mpira wa miguu amewaita wana Yanga ni Mazuzu eti kwa kumkaribisha Manara ambaye alikuwa mwana Simba kama kirusi kwa Yanga.
Hii dhihaka wana Yanga mnakubaliana nayo?!
Wito,WANA YANGA WOTE SUSIENI KUNUNUA VIFAA VYA MICHEZO KWENYE MADUKA YAKE ILI LIWE FUNDISHO KWAKE!