Shaffih Dauda mnafki sana

Shaffih Dauda mnafki sana

Edo Kumwembe naye mnafiki, eti eeh?

1728017639769.png
 
GSM kudhamini timu nyingi ligi kuu sio tatizo maana hata Ulaya tunaona Emirates kudhamini Arsenal,Psg, Ac Milan etc ila mambo ya Ulaya ni tofauti na Africa, huku timu nyingi ziko taabani wachezaji wengi hawalipwi vizur hivyo kushindwa kukidhi mahitaji Yao wanacheza lengo kusajiliwa Yanga/Simba sasa watu kama hawa ukiwa kama mdhamini ukawapa ofa kidgo tu ili wajilegeze wafungwe ni kitu kidgo sana TFF wanapaswa kuliangalia hili kwa umakini la sivyo ligi itakuwa ya ovyo na ya upande mmoja.
 
GSM kudhamini timu nyingi ligi kuu sio tatizo maana hata Ulaya tunaona Emirates kudhamini Arsenal,Psg, Ac Milan etc ila mambo ya Ulaya ni tofauti na Africa, huku timu nyingi ziko taabani wachezaji wengi hawalipwi vizur hivyo kushindwa kukidhi mahitaji Yao wanacheza lengo kusajiliwa Yanga/Simba sasa watu kama hawa ukiwa kama mdhamini ukawapa ofa kidgo tu ili wajilegeze wafungwe ni kitu kidgo sana TFF wanapaswa kuliangalia hili kwa umakini la sivyo ligi itakuwa ya ovyo na ya upande mmoja.
Hiyo mikataba ya timu nyingi zinazodhaminiwa na GSM nani anasign kama sio Eng Hersi ambae ni Rais wa Yanga?!
 
course gani tuje na list?? maana form 4 failure yule
Sio kweli kipindi hicho Clouds walikuwa Kitega Uchumi building jirani na IFM ndio akakutanishwa na Ruge maana wazee wao walikuwa wanajuana wahaya wale wana Phd saba,Shafii kasoma Insurance,na alujuwa timu ya chuo ,alijywa anakuwasha aswaa mi nikiwa golikipa nadaka zaidi ya Camara,sema mi sikumaliza nikakimbilia nchi fulani hivi
 
Sio kweli kipindi hicho Clouds walikuwa Kitega Uchumi building jirani na IFM ndio akakutanishwa na Ruge maana wazee wao walikuwa wanajuana wahaya wale wana Phd saba,Shafii kasoma Insurance,na alujuwa timu ya chuo ,alijywa anakuwasha aswaa mi nikiwa golikipa nadaka zaidi ya Camara,sema mi sikumaliza nikakimbilia nchi fulani hivi
chuo gani, lini kamaliza?? mimi najua form 4× alifeli au cheti feki alitumia
 
Hivi tunataka kusema kwamba ile kadi nyekundu wameonewa?
 
shafii kaishiia secondary tena KAFELI
Nakuuliza tena una uhakika au ndiyo yaleyale fuata upepo?

Halafu nani aliyekudanganya kuwa ukipata one au two ndiyo una akili?? Mfano wewe hapo umepata daraja la kwanza unahisi una akili?? Halafu elimu yenyewe ya Tanzania!
 
Back
Top Bottom