Told the information is different with insightWatu wanasema huyo aliepewa kadi nyekundu alifanya jitihada za makusud kupata kadi hyo
Ndo maana wazee wa timu walikaa kando.Naam, hayo ndio majukumu yake kama Mkurugenzi wa uwekezaji (Michezo) pale GSM.
Lakini pia ndio Rais wa Yanga Afrika
Mh, unaifahamu elimu yake?? Au umeamua kuchangamsha genge!shafii la 7. elimu
Unafiki wake uko wapi hapoUnaweza kuwa na akili pamoja na unafiki. Kuwa na akili haimaanishi kukosa unafiki.
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
ila jamaa naye kapambana sana iliapewe nyekundu angalau nyuma mwiko wapate migoliHiki ndicho alichopost katika page yake ya twitterView attachment 3114625
shafii kaishiia secondary tena KAFELI, so elimu yake la 7 ndo completed. am sureMh, unaifahamu elimu yake?? Au umeamua kuchangamsha genge!
chawa nini?? 💀 watu mpo attached sana na dumb people mna josahau kutumia akiliMh, unaifahamu elimu yake?? Au umeamua kuchangamsha genge!
course gani tuje na list?? maana form 4 failure yuleN8mesoma darasa mojana shafii IFM mwaka 2001-2004 hajui kiingereza ila akili anazo acha kumsingizia,na amecheza npira sana tu
Hiyo mikataba ya timu nyingi zinazodhaminiwa na GSM nani anasign kama sio Eng Hersi ambae ni Rais wa Yanga?!GSM kudhamini timu nyingi ligi kuu sio tatizo maana hata Ulaya tunaona Emirates kudhamini Arsenal,Psg, Ac Milan etc ila mambo ya Ulaya ni tofauti na Africa, huku timu nyingi ziko taabani wachezaji wengi hawalipwi vizur hivyo kushindwa kukidhi mahitaji Yao wanacheza lengo kusajiliwa Yanga/Simba sasa watu kama hawa ukiwa kama mdhamini ukawapa ofa kidgo tu ili wajilegeze wafungwe ni kitu kidgo sana TFF wanapaswa kuliangalia hili kwa umakini la sivyo ligi itakuwa ya ovyo na ya upande mmoja.
Ulitaka kusema nini?Hiyo mikataba ya timu nyingi zinazodhaminiwa na GSM nani anasign kama sio Eng Hersi ambae ni Rais wa Yanga?!
Kweli familia yule mchezaji wa pamba kuna Dalili alitumwa apate kadi nyekundu, golikipa goli kwa kwanza aliruka kwa kuzuga tuHiki ndicho alichopost katika page yake ya twitterView attachment 3114625
Sio kweli kipindi hicho Clouds walikuwa Kitega Uchumi building jirani na IFM ndio akakutanishwa na Ruge maana wazee wao walikuwa wanajuana wahaya wale wana Phd saba,Shafii kasoma Insurance,na alujuwa timu ya chuo ,alijywa anakuwasha aswaa mi nikiwa golikipa nadaka zaidi ya Camara,sema mi sikumaliza nikakimbilia nchi fulani hivicourse gani tuje na list?? maana form 4 failure yule
chuo gani, lini kamaliza?? mimi najua form 4× alifeli au cheti feki alitumiaSio kweli kipindi hicho Clouds walikuwa Kitega Uchumi building jirani na IFM ndio akakutanishwa na Ruge maana wazee wao walikuwa wanajuana wahaya wale wana Phd saba,Shafii kasoma Insurance,na alujuwa timu ya chuo ,alijywa anakuwasha aswaa mi nikiwa golikipa nadaka zaidi ya Camara,sema mi sikumaliza nikakimbilia nchi fulani hivi
Mbona mgumu kuelewa ninekwambia IFMchuo gani, lini kamaliza?? mimi najua form 4× alifeli au cheti feki alitumia
Nakuuliza tena una uhakika au ndiyo yaleyale fuata upepo?shafii kaishiia secondary tena KAFELI
Halafu wewe ni :chawa nini??