Shafih Dauda yuko Angola na Simba S.C, nimetokwa machozi

Shafih Dauda yuko Angola na Simba S.C, nimetokwa machozi

Ndicho ninacholalamika hicho,hayupo hapo kwa nia nzuri ila ana mtandao mkubwa sana wa wapiga deal ndani ya simba ambao lengo lao ni barbara atoke kwa kuifelisha simba,huyo ni attacking dog wao ,inaboa sana
Maisha yake ni kuripoti habari ya michezo..ili auze lazima aende kwenye habari kubwa(Simba)..mbona hajabaki huku kwa Mkapa.
 
Maisha yake ni kuripoti habari ya michezo..ili auze lazima aende kwenye habari kubwa(Simba)..mbona hajabaki huku kwa Mkapa.
usilolijua sawa na usiku wa giza, abaki taifa kwa interests gani? washkaji zake waliobaniwa mianya ya utapeli na upigaji hapo simba wako angola,wao furaha yao ni simba kufungwa ili washabiki ambao ndiyo nguzo pekee ya Barabara ukitoa Mo dewji wacharuke

Subiri tarehe 23 kama hawatafanya tena manuva yao utopolo watushindilie magoli jinsi kitakavyoinuka, majitu hayo kwa upande wa media mtu wao ndiye huyo ambaye hapo kwenye picha anashirikishwa hadi mipango ya ndaaani kuhusu kesho

Akirudi bongo utasikia SIMBA MNA HAKIKA HUKO NDANI KUKO SHWARI? UTASIKIA , KAZI YAKE KUSAFIRISAFIRI TU KUPIGAPIGA PICHA NA KUPAKA LIPSTICK.....GOD DAMN IT

kamwe hutaona jemdari said kaenda sudan na kupiga picha ya hivi na kina Hersi lazima kuweka mipaka na makanjanja yasiyojiheshimu
 
usilolijua sawa na usiku wa giza, abaki taifa kwa interests gani? washkaji zake waliobaniwa mianya ya utapeli na upigaji hapo simba wako angola...
Maelezo mengi..kwani anaingia kwenye pitch kucheza?
 
Huyo kaenda kama media officer bhn we tulia mzee...hivi hujui kama huyo shafii ni simba lia lia sema anamsimnaga babra kwa kumnyima tenda ya jezi
 
njaakalihatari jamaa una chuki tu shafih sasa hapo anamfelisha vipi babra mzeee??? Ina maana anawaambia wachezani wacheze chini ya kiwango?? Acheni chuki zisizo na msingi mzeee .kama unamchikia shafih mchukie ww peke yako usilazimishe watu wengine wamchukie
 
Haki ya Mungu walahi Mungu amlinde tu Barbara Gonzalez anao maadui wa waziwazi wa Simba wako ndanindani kabisa wakishirikiana na makanjanja mazoefu...
Huyu bwege si kafungiwa huyu au kufungiwa ni Manara tu?
 
huyu jamaa ana roho mbaya sana akishirikiana na mshkaji wake ambaye simba wanamuona ni mwenzao yuko kwenye hiyo picha, hajaenda burebure kaenda kuharibu huyu ,wachezaji wajiongeze sasa kukaa naye mbali
Njaa kali kwanza kaka
 
Simba sio wajinga mipango Yao haivuji kizembe na tunamjua vizur yeye ni snitch
 
Afu CEO simuoni huko au amepigwa pin na hayo majamaa
 
njaakalihatari jamaa una chuki tu shafih sasa hapo anamfelisha vipi babra mzeee??? Ina maana anawaambia wachezani wacheze chini ya kiwango?? Acheni chuki zisizo na msingi mzeee .kama unamchikia shafih mchukie ww peke yako usilazimishe watu wengine wamchukie
Soma hizo comments za kwenye picha ni za insta au nenda page yake ya instagram ujioneee comments za hasira
 
Afu CEO simuoni huko au amepigwa pin na hayo majamaa
Mababa ya ten pasenti yanatisha mnoo yako na kijana wao wa media wanayemtumia kumu attack barbara hadi lipstick yake inasimangwa na kanjanja
 
Haki ya Mungu walahi Mungu amlinde tu Barbara Gonzalez anao maadui wa waziwazi wa Simba wako ndanindani kabisa wakishirikiana na makanjanja mazoefu.

Lile jitu linalokesha kusambaza fake news za Simba left and right liko Angola tayari na inavyoonekana hadi mipango ya ndani ya Simba linashirikishwa.

Kama tu Tabata lina kashfa ya kizembe ya fedha ndogo (milioni 20) za ubingwa wa Ndondo Cup kina Ali Kiba wakakataa proposal yake, sembuse de Agosto walitumie kufanya SABOTAGE KAMBINI HAPO?

CEO ana maadui wengi sana nje na ndani na hapo kwenye picha kuna rafiki yake mkubwa sana Shaffih eti naye ni mjumbe wa bodi.

Matumaini yamepungua sana nilipoona hii picha, wachezaji embu kwa leo na kesho kaeni mbali na hili jamaa hata mkono msilipe kabisa..agh inatia hasira sana.

View attachment 2380863
Una chuki binafsi na huyo jamaa
 
Una chuki binafsi na huyo jamaa
Basi tuko wengi zoom hiyo picha soma comments halafu nenda page yake ya instagram alipopost picha kahesabu wana simba wenye chuki naye kama utawamaliza
 
njaakalihatari jamaa una chuki tu shafih sasa hapo anamfelisha vipi babra mzeee??? Ina maana anawaambia wachezani wacheze chini ya kiwango?? Acheni chuki zisizo na msingi mzeee .kama unamchikia shafih mchukie ww peke yako usilazimishe watu wengine wamchukie
hayo maoni yako kawaambie na hawa raia sababu wako wengi sana wenye maoni kama yangu kuhusu hilo li jamaa

chuki 1.JPG
chuki 2.JPG
 
Haki ya Mungu walahi Mungu amlinde tu Barbara Gonzalez, ana maadui wa wazi wazi wa Simba wako ndani ndani kabisa wakishirikiana na makanjanja mazoefu.

Lile jitu linalokesha kusambaza habari za uongo za Simba kushoto na kulia liko Angola tayari na inavyoonekana hadi mipango ya ndani ya Simba linashirikishwa.

Kama tu Tabata lina kashfa ya kizembe ya fedha ndogo (milioni 20) za ubingwa wa Ndondo Cup, kina Ali Kiba wakakataa pendekezo lake, sembuse De Agosto walitumie kufanya hujuma kambini hapo?

CEO ana maadui wengi sana nje na ndani na hapo kwenye picha kuna rafiki yake mkubwa sana Shaffih, eti naye ni mjumbe wa bodi!

Matumaini yamepungua sana nilipoona hii picha, wachezaji embu kwa leo na kesho kaeni mbali na hili jamaa, hata mkono msilipe kabisa. Argh, inatia hasira sana.

View attachment 2380863
Shafii ni Simba uyo ata usiwe na waswas lunyasi kabisa uyo dam dam ndo maana hakuna mwenye waswas nae hapo,
Matatzo mwngne yote mi ya kimsalahi tu kawaida katka.maisha kutofautiana
 
Wengi mnapenda izi timu ila hamzifuatili kabisa ,,..
Shafii kashasave Hadi kwenye kamati ya usajili ya Simba enzi za nyange kaburu..
Wapiga kelele wengi kwenye mpira wetu driving force yao ni maslahi yao au ya watu flani wanaojificha nyuma yao kutetea maslahi yao ...
Shaffih (Simba was Lia Lia ) -kassim dewji Mambo ya jezi
Jemedari(yanga damu huyu) -
Mpinga Gsm,kuminywa maslahi binafsi ndani ya timu
 
Wengi mnapenda izi timu ila hamzifuatili kabisa ,,..
Shafii kashasave Hadi kwenye kamati ya usajili ya Simba enzi za nyange kaburu..
Wapiga kelele wengi kwenye mpira wetu driving force yao ni maslahi yao au ya watu flani wanaojificha nyuma yao kutetea maslahi yao ...
Shaffih (Simba was Lia Lia ) -kassim dewji Mambo ya jezi
Jemedari(yanga damu huyu) -
Mpinga Gsm,kuminywa maslahi binafsi ndani ya timu
namjua vizuri sana tokaenzi hizo mwembamba anacheza ndondo za kukodiwa na nilikuwa namuona team ya mntaani kwetu mickocheni inaitwa mikovilla, najua hata alicheza simba ile mbovu ya 2001 ...zote hizo siyo sababu kwamba hana NIA OVU
Tena ndiyo hatari kabisa maana kwenye huu uzi nimesema hujuma ya kumuhujuma CEO nia ya watu wa ndani kabisaa na kwenye hiyo picha hapo wapo, sasa yeye ku serve kwenye kamati za usajili siyo hoja,YEYE NA WENZAKE WA TENI PASENTI NI WABAYA SANA KULIKO WATU WANAOITWA MASHABIKI HOYAHOYA MASHABIKI MAANDAZI
 
Back
Top Bottom