kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Akitoa maoni yake jana katika kipindi cha sports extra, alitilia shaka maamuzi ya kamati iliyoamua kuwajadili waamuzi na kuwalaumu kwa kushindwa kuumudu mchezo wa Simba na Yanga.
Akienda mbali zaidi kwa kusema eti maamuzi hayo yanachukuliwa kwa kuwa wajumbe wengi ni wapenzi wa Simba.Huu ni uchochezi na amekuwa akifanya fitina nyingi za namna hii dhidi ya Simba.
Anachokitafuta hatukijui lakini ajue ameshaeleweka msimamo wake dhidi ya Simba na si vizuri kuendelea kuprovoke wapenzi wa Simba kwa kutumia majungu pasipokuwa na sababu za kisayansi.
Hafai kuyafanya haya katika media kama Clouds.Anaweza akafanya haya katika blog yake tu.
Akienda mbali zaidi kwa kusema eti maamuzi hayo yanachukuliwa kwa kuwa wajumbe wengi ni wapenzi wa Simba.Huu ni uchochezi na amekuwa akifanya fitina nyingi za namna hii dhidi ya Simba.
Anachokitafuta hatukijui lakini ajue ameshaeleweka msimamo wake dhidi ya Simba na si vizuri kuendelea kuprovoke wapenzi wa Simba kwa kutumia majungu pasipokuwa na sababu za kisayansi.
Hafai kuyafanya haya katika media kama Clouds.Anaweza akafanya haya katika blog yake tu.