Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Msuva na samata wameingia mechi ikiwa ishaisha kwa waarabu. Wanaongoza 2-0 na baadae kidogo Tanzania akapata red card. Hawa waarabu wanacheza ulaya ambapo wanalipwa hela nyingi sana lazima wahifadhi nguvu hawawezi kuendelea kutumia nguvu kubwa wakati ambao tayari mechi ipo upande wao kiushindi.kuna kitu niliona japo mimi sio mchambuzi. baada msuva na mbwana samatta kuingia game ilibadilika sana wangeanza mwanzo waarabu wangeambulia droo. wakina kibu waje kumalizia
taifa stars imeshaanza kuwa ya kiccm siajabu ni nape na makamba wamepanga kikosi.
Uwanja wa mkapa umejengwa kipindi cha vyama vingiHivyo viwanja vimejengwa wakati nchi ni ya chama kimoja hivyo shuguri za serikali na Chama zilikuwa hazitenganishwi.
Kilichokuwa kinafanyika Bei ya vinywaji via, soda zilikuwa zinaongeza labda shilingi 2 na pesa ya ziada inaenda kwenye ujenzi.
Waliokuwa wakichangia ni wananchi wore.
Watanzania ni watu wa kupenda amsha amsha we ushangai vituo vya daladala mabasi yameandikwa yanapokwenda yupo kondakta wa kumuuliza lakini bado kuna wapiga debeHivi watanzania huwa hamuwezi kuchambua mpira wenyewe mpk muwafuate hao mnawaita wachambuzi ? Mutu anatoa maoni yake yeye km yeye mnamuita mchambuzi
Hahahahahaha,sawa sawaWatanzania ni watu wa kupenda amsha amsha we ushangai vituo vya daladala mabasi yameandikwa yanapokwenda yupo kondakta wa kumuuliza lakini bado kuna wapiga debe
Binti Unamchukia bacca kisa zile 5?Huyo Edo hana tofauti na wale jamaa wa mwisho wa reli.
Mimi naona kocha ni mjanja sana anatumia hizi mechi ambazo anajua hatufiki popote kufanya rotation ili afanye scoutong vyema,
Nani alijua kuwa bacca ni mpumbavu?
Sina akili ya kitumwa kama yako.Kuwa mzalendo mkuu......bila ccm inawezekana usingekuwa hewani humu jf
Kibu Denis, Fei Toto, hapo vpUlivyo na roho ya usimba umemuona Mwamnyeto tu kosa lake lipi
alifanya makusudi ili tusiisumbue morroko. nchi yake. huyu kocha wa kufukuza.Hii list ya Jana ya wachezaji ... kocha alipangiwa na nani?
Yaani unaacha mastaa wako nje?"[emoji47][emoji47]..... Shafii
Msuva sub
Samata sub
Job sub ....kukamilisha ukuta wa yericko
Feitoto.....nje
Mudathiri .....sub
Kibu ......ndani
Hata kama mpira una maajabu ....but haiwezi kuwa kirahisi hiviView attachment 2821324
Tumekufa kiuogaMwalim aliona morocco michezo yao ipoje ndio maana akaona asianze na mastaa ambao wangeufanya mchezo ukachemka na kusababisha kufungwa mabao mengi zaidi
kifupi mwalim alitambua mapema morocco kwa vyovyote walikua wanatoka na arama 3
nampongeza mwalimu kwa kuliona hilo na kufanikiwa kupunguza idadi ya mabao, nazani wangeanzia wakina msuva na samatta tungefungwa magoli zaidi ya hayo mawili.
exaliothyuda
jf____geita
Wangekuwa wanasema Kocha alichagua kikosi kizuri.Nadhani hayo maoni na maswali yamekuja baada ya dk 90 kuisha!
Fikiria kama Starts wangeshinda, unadhani wangekuwa wanasemaje baada ya dk 90?
Vijana kama nyie ni hasara Kwa taifaSina akili ya kitumwa kama yako. View attachment 2821574
kocha si raia wa moroko au?Ni raia wa Morocco....au alibet
Sio tumejikaririsha. Morocco wapo vizuri hata kitakwimu kulinganisha na sisi. Mpira hauna janja janja, mambo yapo wazi.Hakuna balaa lolote tumejikaririsha kuwa hatuwawezi
CCM imemfanyia nini mamako, kwa akili zako za kipumbavu hivyo utaendelea kuwa maskini na ukoo wako mkitafuta wa kumlaumukuna kitu niliona japo mimi sio mchambuzi. baada msuva na mbwana samatta kuingia game ilibadilika sana wangeanza mwanzo waarabu wangeambulia droo. wakina kibu waje kumalizia
taifa stars imeshaanza kuwa ya kiccm siajabu ni nape na makamba wamepanga kikosi.
uwanja wa Mkapa ni wa ccm au serikali?Uwanja wa mkapa umejengwa kipindi cha vyama vingi