Shafii Dauda: Kocha wa stars hiki kikosi alipangiwa na nani?

Shafii Dauda: Kocha wa stars hiki kikosi alipangiwa na nani?

kuna kitu niliona japo mimi sio mchambuzi. baada msuva na mbwana samatta kuingia game ilibadilika sana wangeanza mwanzo waarabu wangeambulia droo. wakina kibu waje kumalizia


taifa stars imeshaanza kuwa ya kiccm siajabu ni nape na makamba wamepanga kikosi.
Msuva na samata wameingia mechi ikiwa ishaisha kwa waarabu. Wanaongoza 2-0 na baadae kidogo Tanzania akapata red card. Hawa waarabu wanacheza ulaya ambapo wanalipwa hela nyingi sana lazima wahifadhi nguvu hawawezi kuendelea kutumia nguvu kubwa wakati ambao tayari mechi ipo upande wao kiushindi.
 
Hivyo viwanja vimejengwa wakati nchi ni ya chama kimoja hivyo shuguri za serikali na Chama zilikuwa hazitenganishwi.
Kilichokuwa kinafanyika Bei ya vinywaji via, soda zilikuwa zinaongeza labda shilingi 2 na pesa ya ziada inaenda kwenye ujenzi.
Waliokuwa wakichangia ni wananchi wore.
Uwanja wa mkapa umejengwa kipindi cha vyama vingi
 
Mwalim aliona morocco michezo yao ipoje ndio maana akaona asianze na mastaa ambao wangeufanya mchezo ukachemka na kusababisha kufungwa mabao mengi zaidi

kifupi mwalim alitambua mapema morocco kwa vyovyote walikua wanatoka na arama 3

nampongeza mwalimu kwa kuliona hilo na kufanikiwa kupunguza idadi ya mabao, nazani wangeanzia wakina msuva na samatta tungefungwa magoli zaidi ya hayo mawili.

exaliothyuda
jf____geita
 
Nadhani game plan ya Mwalimu, ilikuwa ni kuanza na wachezaji wanao kaba sana, na walio tayari kugongana sana na wapizani, Samara na Msuva sio wakabaji wazuri, na hawapendi kungongana sana.
Kwa kifupi tuheshimu mipango ya Mwalimu, Kwa Morroco hii kama timu haikabi sana unaweza kupingwa goli za aibu
 
Kikosi cha jana kilikuwa bora sana.
Huwezi kulinganisha na mechi ya kwanza. Mapungufu madogo kwa kipa.
Wazee wanaojiita wazoefu hawatakiwi tena stars.
 
Kuwa mzalendo mkuu......bila ccm inawezekana usingekuwa hewani humu jf
Sina akili ya kitumwa kama yako.
JamiiForums1389173211.jpg
 
Hii list ya Jana ya wachezaji ... kocha alipangiwa na nani?
Yaani unaacha mastaa wako nje?"[emoji47][emoji47]..... Shafii

Msuva sub
Samata sub
Job sub ....kukamilisha ukuta wa yericko
Feitoto.....nje
Mudathiri .....sub
Kibu ......ndani

Hata kama mpira una maajabu ....but haiwezi kuwa kirahisi hiviView attachment 2821324
alifanya makusudi ili tusiisumbue morroko. nchi yake. huyu kocha wa kufukuza.
 
Mwalim aliona morocco michezo yao ipoje ndio maana akaona asianze na mastaa ambao wangeufanya mchezo ukachemka na kusababisha kufungwa mabao mengi zaidi

kifupi mwalim alitambua mapema morocco kwa vyovyote walikua wanatoka na arama 3

nampongeza mwalimu kwa kuliona hilo na kufanikiwa kupunguza idadi ya mabao, nazani wangeanzia wakina msuva na samatta tungefungwa magoli zaidi ya hayo mawili.

exaliothyuda
jf____geita
Tumekufa kiuoga
 
kuna kitu niliona japo mimi sio mchambuzi. baada msuva na mbwana samatta kuingia game ilibadilika sana wangeanza mwanzo waarabu wangeambulia droo. wakina kibu waje kumalizia


taifa stars imeshaanza kuwa ya kiccm siajabu ni nape na makamba wamepanga kikosi.
CCM imemfanyia nini mamako, kwa akili zako za kipumbavu hivyo utaendelea kuwa maskini na ukoo wako mkitafuta wa kumlaumu
 
Back
Top Bottom