Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Usihangaike na wajingaAcha kupotosha Dr Slaa aliondoka mwenyewe CHADEMA Tena hadharani. Na ndiye aliyempokea Lowassa CHADEMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usihangaike na wajingaAcha kupotosha Dr Slaa aliondoka mwenyewe CHADEMA Tena hadharani. Na ndiye aliyempokea Lowassa CHADEMA
Kama yule jamaa alipoonekana kwenye picha akimfungia kamba za viatu mtoto pendwa akakumbukwa u-DC !!😂CCM ina wenyewe.Born town Gang
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila hata Kama CCM imechoka itamteua Lucas Mwashamba kwenye kitengo gani?. Lazima tuwe wa kweli. Labda ateuliwe kwenye kitengo Cha kuosha na kutunza mbwa wa mawaziri.
😅🤣😀😁😅🤣😀😀Connection CCM Ina Kinyaa Sana SanaHapo kwa Dahuu ndio nimepasuka mbavu. Kweli CCM inafuga danguro. Wamrejeshe Makonda kazini.
😃😄😁😅😅🤣🤣😀😀😀🤣Mwananchi gani ana hamu yakuisikiliza CCM ? . Kwanza nendeni mkalipe Deni la DCB, shauri yenu
Ngoja tuilete tena hiyo pichaKama yule jamaa alipoonekana kwenye picha akimfungia kamba za viatu mtoto pendwa akakumbukwa u-DC !!😂
CHAMA CHA MAJAMBAZIHebu angalia mchango wa hawa halafu fananisha na kipara kipya au Kamanda Asiyechoka
View attachment 2846603
Hawa eti wameteuliwa kwenye Jumuiya ya Wazazi , huku Magonjwa Mtambuka na Lucas mwashambwa wametoswa !
Hata hivyo sisi wengine tulishaonya mapema sana kwamba CCM ina wenyewe, lakini hatukueleweka.
========
Shafii Dauda ateuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Michezo, utamaduni na Mazingira ya Jumuiya ya wazazi ya CCM mkoa wa Dar es Salaam, leo Baraza la wazazi mkoa laridhia uteuzi wa wa mjumbe huyo, baraza liliofanyika chini ya Mwenyekiti ced Khadija Ally Said katika ukumbi wa Iddi Nyundo manispaa ya Temeke na Mgeni Rasmi akiwa Prof Adolf Mkenda Waziri Wa Elimu Sayansi na Teknolojia.
Pia baraza limemteua Husna Abdul maarufu kama Dahuu kuwa mjumbe wa kamati ya habari na mawasiliano ya Jumuiya ya wazazi mkoa wa DSM.
Kuna yule CHAWA huwa anaweka na Namba ya Simu kurahisisha Mawasiliano vipi yeye suala la TEUZI au hana SIFA?Hebu angalia mchango wa hawa halafu fananisha na kipara kipya au Kamanda Asiyechoka
View attachment 2846603
Hawa eti wameteuliwa kwenye Jumuiya ya Wazazi , huku Magonjwa Mtambuka na Lucas mwashambwa wametoswa !
Hata hivyo sisi wengine tulishaonya mapema sana kwamba CCM ina wenyewe, lakini hatukueleweka.
========
Shafii Dauda ateuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Michezo, utamaduni na Mazingira ya Jumuiya ya wazazi ya CCM mkoa wa Dar es Salaam, leo Baraza la wazazi mkoa laridhia uteuzi wa wa mjumbe huyo, baraza liliofanyika chini ya Mwenyekiti ced Khadija Ally Said katika ukumbi wa Iddi Nyundo manispaa ya Temeke na Mgeni Rasmi akiwa Prof Adolf Mkenda Waziri Wa Elimu Sayansi na Teknolojia.
Pia baraza limemteua Husna Abdul maarufu kama Dahuu kuwa mjumbe wa kamati ya habari na mawasiliano ya Jumuiya ya wazazi mkoa wa DSM.
Wenyewe kina. Nani Sasa ccm Ni ya watu wote any body can be any oneCCM ina wenyewe.Born town Gang
Use brain. Habari za wanaCCM zinanihusu?Hebu angalia mchango wa hawa halafu fananisha na kipara kipya au Kamanda Asiyechoka
View attachment 2846603
Hawa eti wameteuliwa kwenye Jumuiya ya Wazazi , huku Magonjwa Mtambuka na Lucas mwashambwa wametoswa !
Hata hivyo sisi wengine tulishaonya mapema sana kwamba CCM ina wenyewe, lakini hatukueleweka.
========
Shafii Dauda ateuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Michezo, utamaduni na Mazingira ya Jumuiya ya wazazi ya CCM mkoa wa Dar es Salaam, leo Baraza la wazazi mkoa laridhia uteuzi wa wa mjumbe huyo, baraza liliofanyika chini ya Mwenyekiti ced Khadija Ally Said katika ukumbi wa Iddi Nyundo manispaa ya Temeke na Mgeni Rasmi akiwa Prof Adolf Mkenda Waziri Wa Elimu Sayansi na Teknolojia.
Pia baraza limemteua Husna Abdul maarufu kama Dahuu kuwa mjumbe wa kamati ya habari na mawasiliano ya Jumuiya ya wazazi mkoa wa DSM.
Habari za chama chako cha ccm zitakosaje kukuhusu wewe mamluki ?Use brain. Habari za wanaCCM zinanihusu?
Hivi wanaangalia weledi wa mtu au ilimradi liende? Mbona wanapeleka umbea umbea kwenye chama, sijaona mtu sahihi kabisa kati ya hao wa2 , ndio maana sasa kila mtu anakimbilia kwenye kusikika redioni iwe ni mtangazaji au mpiga soga. Sishangai sasa kila taaluma ya mtu yeyote akili na matarajio yake akimbilie kwenye sihasa kupitia njia yyte ile. Inch inaenda kubaya sana, hasa unapohamisha tasnia hata ya ulinzi wa nchi ukaihamishia kwenye SiasaKidumu Chama cha Mapinduzi
Unatafuta mume?Habari za chama chako cha ccm zitakosaje kukuhusu wewe mamluki ?