Shafii Dauda na Dahuu wateuliwa jumuiya ya wazazi CCM mkoa wa Dar es Salaam

CCM na makokoro yao!
Huwa hawahitaji akili wala utashi, akili utazikuta hukohuko!
 
Ila hata Kama CCM imechoka itamteua Lucas Mwashamba kwenye kitengo gani?. Lazima tuwe wa kweli. Labda ateuliwe kwenye kitengo Cha kuosha na kutunza mbwa wa mawaziri.
Ila huyu Mwashambwa kawa mwiba mkali kwa CHADEMA tawi la JF.
 
Tunakushukuru sana kwa kuendelea kutupatia taarifa za mambo mazuri yanayoendelea kwenye chama pendwa CCM. Hakika unakitendea haki chama chako cha watoa taarifa. Endelea na moyo huohuo wa kutuhabarisha kuhusu CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…