Shafii Dauda ni mchambuzi uchwara, hafai hata kuchambua rede

Yule msomi amesomea accountancy...alishafanya kazi bank ila aliacha kwakua ana kipaji cha kuchambua..anajitahd kias fulani
 
Acha wivu wa kishamba....jaribu wewe tukuone....
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mechi dhidi ya Mtibwa ingekuwa wanaongoza wao na Mtibwa akasawazisha katika mazingira yale, hadi leo ingekuwa kelele dunia nzima na viti wangeng'oa tena. That is Simba.
Mbumbumbu fc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…