Shahidi adai Padri Rwegoshora aliahidi kumpa V8 baba wa Mtoto Albino 'Asimwe'


Kanisa limemficha nani? Huyo Padro amevuliwa upadri na ameshitakiwa. Mbona ukatoliki unawahangaisha sana? Ukatoliki sio mali ya mtu kama mnavyodhani. Ndio maana unaendelea kuwepo na utakuwepo mpaka ukamilifu wa dahali.
 
Kitendo cha padre kutiwa hatianI kwa kosa la mauaji, huo ni udhalilishaji mkubwa kwa kanisa katoliki
Umeshasahau mara hii kuna mashehe wa uamsho walishakuwa na kesi ya ugaidi, wakaachiwa kwa msamaha??
 
'Mwenye jina la kiarabu ndio mchinjaji na wenye majina ya kigalatia ndio washikilia miguu na mikono' Nawaza tu kwa sauti ila hizi dini ni za kwenda nazo kwa akili sana. Hakuna kumwamwini padre wala shekhe kushinda na wanao.
 
Hawa watawa utaka pesa za nini ilhali hawana watoto na uhudumiwa na Kanisa Maisha yao yote!!.
Ushahidi usio wa kweli huu.
Huu ni uthibitisho wa wazi kabisa kwamba Kesi hii ni ya kupikwa, wala haina ukweli wowote ule.
 
Baba mpumbavu iyo v8 angeiendesha kwa madako yake , samahi mod ,tumia neno gum ,nimejikuta nipo na hasira sana aisee
 
Na mazuri mangapi wameshiriki pia? Kuna matatizo yaliyoletwa na watu. Kuna mazuri yaliyoletwa na watu pia. Msijisahaulishe

Ni sawa kuna mazuri, lakni mazuri yao hayawezi kufuta mabaya yao, vivyo hivyo mabaya yao hayawezi kufuta mazuri yao. Ila penye ukweli, lazima tuseme. Kanisa katoliki lilificha ukweli kuhusu watawa walio wanajisi watoto.
 
Kanisa limemficha nani? Huyo Padro amevuliwa upadri na ameshitakiwa. Mbona ukatoliki unawahangaisha sana? Ukatoliki sio mali ya mtu kama mnavyodhani. Ndio maana unaendelea kuwepo na utakuwepo mpaka ukamilifu wa dahali.

Mbona unajibu kwa mihemko ivoo
Fuatilia uone jinsi papa alivyoomba msamaha kwa maadhila yaliyosababishwa na watawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…