Suala siyo dhambi kufanyika au la. Shida ni kanisa kushiriki kuwaficha mabaladhuli wanaowalawiti watoto. Kwa miongo mingi, kanisa lilizima tuhuma za mapadri na watawa wengine za kuwanajisi watoto. Mpaka vyombo vya kimataifa vilipo ingilia kati ndipo Papa akaomba msamaha kwa wahanga wote.
Hawa ni majanga sana, ukiacha kulawiti watoto, wameshiriki kikamilifu vita nyingi duniani kutia ndani vita ya kikabila ya Rwanda.
Umeshasahau mara hii kuna mashehe wa uamsho walishakuwa na kesi ya ugaidi, wakaachiwa kwa msamaha??Kitendo cha padre kutiwa hatianI kwa kosa la mauaji, huo ni udhalilishaji mkubwa kwa kanisa katoliki
Kweli wanakuwa hawana watoto??Hawa watawa utaka pesa za nini ilhali hawana watoto na uhudumiwa na Kanisa Maisha yao yote!!.
UKIJADILI UPADRI,NI JAMBO LA HAKIKA KUWA HAWANA WATOTO.Kweli anakuwa hawana watoto??
Mimi huwa na shaka na hili Kwakweli
Hmmm!UKIJADILI UPADRI,NI JAMBO LA HAKIKA KUWA HAWANA WATOTO.
Peleka ushahidi wako wa kweli basi🙂Ushahidi usio wa kweli huu.
Wengi wao wana vibanda umiza na watoto juu.Hawa watawa utaka pesa za nini ilhali hawana watoto na uhudumiwa na Kanisa Maisha yao yote!!.
angesema zawadi kutoka kanisani, ila sasa wese angetoa wapi au angeliuzaBaba mtoto nyumba ya udongo hilo V8 angesema amepatia wapi
Kwa kazi ganiangesema zawadi kutoka kanisani, ila sasa wese angetoa wapi au angeliuza
Wa ukweli ni upi...Ushahidi usio wa kweli huu.
Katibu wa baraza la maaskofu anasubiri nini kutoa tamko kuhusu huyo padiri? Huenda anaona sawa tu! Ni aibu kwa kanisa.
Upande wa Jamhuri katika kesi ya mauaji ya mtoto mwenye ualbino, Asimwe Novath (2) umewasilisha maelezo ya ushahidi katika hatua ya awali, ukieleza utakuwa na mashahidi 52 na vielelezo 37.
Katika maelezo hayo ya ushahidi, mmoja wa mashahidi ameeleza mbinu iliyotumiwa na washtakiwa kumpora mtoto huyo na kutokomea, pia ikitajwa ahadi ya gari aina ya Toyota V8, maarufu kama shangingi, kwa baba wa mtoto.
Asimwe aliporwa na watu wasiojulikana akiwa nyumbani kwao Kijiji cha Bulamula, Kata ya Kamachumu wilayani Muleba mkoani Kagera, Mei 30, 2024 saa 2:00 usiku na kutokomea naye kusikojulikana.
Siku 17 baadaye mabaki ya mwili wake yalipatikana yakiwa yamefungwa kwenye mfuko wa sandarusi (kiroba) na kutelekezwa chini ya kalavati lililoko Barabara ya Makongora, Kitongoji Kabyonda, Kata ya Ruhanga wilayani humo.
Pia Soma:
- Kanisa Katoliki Jimbo la Bukoba limemsimamisha Padre Rwegoshora kufuatia tuhuma za kuhusika mauaji ya Asimwe Novath
Siku kadhaa baadaye, Jeshi la Polisi lilitoa taarifa ya kuwashikilia watu tisa akiwemo baba wa marehemu, Novath Venanth na Padri Elpidius Rwegoshora na kuwafungulia kesi ya mauaji namba 17740/2024, katika Mahakama ya Wilaya ya Bukoba mkoani humo.
Washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni Nurdini Masudi, Ramadhani Selestine, Rweyangira Alphonce, Dastan Bruchard, Faswiu Athuman, Gozbert Alikad na Desdery Everigist wote wakazi wa mkoani Kagera.
Hawa watawa utaka pesa za nini ilhali hawana watoto na uhudumiwa na Kanisa Maisha yao yote!!.
Huu ni uthibitisho wa wazi kabisa kwamba Kesi hii ni ya kupikwa, wala haina ukweli wowote ule.Ushahidi usio wa kweli huu.
TruePesa ni shetani
Baba mpumbavu iyo v8 angeiendesha kwa madako yake , samahi mod ,tumia neno gum ,nimejikuta nipo na hasira sana aiseeUpande wa Jamhuri katika kesi ya mauaji ya mtoto mwenye ualbino, Asimwe Novath (2) umewasilisha maelezo ya ushahidi katika hatua ya awali, ukieleza utakuwa na mashahidi 52 na vielelezo 37.
Katika maelezo hayo ya ushahidi, mmoja wa mashahidi ameeleza mbinu iliyotumiwa na washtakiwa kumpora mtoto huyo na kutokomea, pia ikitajwa ahadi ya gari aina ya Toyota V8, maarufu kama shangingi, kwa baba wa mtoto.
Asimwe aliporwa na watu wasiojulikana akiwa nyumbani kwao Kijiji cha Bulamula, Kata ya Kamachumu wilayani Muleba mkoani Kagera, Mei 30, 2024 saa 2:00 usiku na kutokomea naye kusikojulikana.
Siku 17 baadaye mabaki ya mwili wake yalipatikana yakiwa yamefungwa kwenye mfuko wa sandarusi (kiroba) na kutelekezwa chini ya kalavati lililoko Barabara ya Makongora, Kitongoji Kabyonda, Kata ya Ruhanga wilayani humo.
Pia Soma:
- Kanisa Katoliki Jimbo la Bukoba limemsimamisha Padre Rwegoshora kufuatia tuhuma za kuhusika mauaji ya Asimwe Novath
Siku kadhaa baadaye, Jeshi la Polisi lilitoa taarifa ya kuwashikilia watu tisa akiwemo baba wa marehemu, Novath Venanth na Padri Elpidius Rwegoshora na kuwafungulia kesi ya mauaji namba 17740/2024, katika Mahakama ya Wilaya ya Bukoba mkoani humo.
Washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni Nurdini Masudi, Ramadhani Selestine, Rweyangira Alphonce, Dastan Bruchard, Faswiu Athuman, Gozbert Alikad na Desdery Everigist wote wakazi wa mkoani Kagera.
Mtupe basi ukweli tuujue, wajuvi wa mambo.Huu ni uthibitisho wa wazi kabisa kwamba Kesi hii ni ya kupikwa, wala haina ukweli wowote ule.
Na mazuri mangapi wameshiriki pia? Kuna matatizo yaliyoletwa na watu. Kuna mazuri yaliyoletwa na watu pia. Msijisahaulishe
Kanisa limemficha nani? Huyo Padro amevuliwa upadri na ameshitakiwa. Mbona ukatoliki unawahangaisha sana? Ukatoliki sio mali ya mtu kama mnavyodhani. Ndio maana unaendelea kuwepo na utakuwepo mpaka ukamilifu wa dahali.