Shahidi adai Padri Rwegoshora aliahidi kumpa V8 baba wa Mtoto Albino 'Asimwe'

Shahidi adai Padri Rwegoshora aliahidi kumpa V8 baba wa Mtoto Albino 'Asimwe'

NIMEMKUMBUKA ASKOFU KODA. AISEEE.........ALIKUWA ZAIDI YA SHETANI.
 
Ni sawa kuna mazuri, lakni mazuri yao hayawezi kufuta mabaya yao, vivyo hivyo mabaya yao hayawezi kufuta mazuri yao. Ila penye ukweli, lazima tuseme. Kanisa katoliki lilificha ukweli kuhusu watawa walio wanajisi watoto.

Unajua kama hakuna dini yenye wafuasi, bila matatizo haya unayoyaongea?
 
Back
Top Bottom