Shahidi kesi ya Sabaya aieleza mahakama alivyotoa Sh90 milioni

Hujui DC ni mkubwa kuliko Takukuru awapo madarakani.
 
Enzi za yule aliyeko motoni sasa hivi Sabaya alikuwa untouchable.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mimi natamani wote waliofanya ushenzi kama huu wafikiwe na mkono wa sheria. Hamna cha Mwanamapinduzi chochote hapa…
 
Sabaya kawa kama anatoka South Sudan na Uvimbe nyuma unazidi kuongezeka! "Payments is here here"
 
Kibaraka wa jambazi pole Sana,hujui Sheria wewe,hata polisi unaweza kukiri kosa ili kukwepa kuteswa Ila mahakamani ukakana the same to mrosso na kosa la jinai halina limit hata angekaa miaka 40 ndio akasema
 
Sabaya ni mwanamapinduzi!? Mkuu hata kama una mahaba na General Lengay Ole Sabaya, usifike hatua hii ya kumuita mwanamapinduzi, wewe endeleza tu mahaba yako kimya kimya ikibidi. Kwa hivi unajiaibisha na huko mbele udhalimu wake unavyozidi kudhihirika, utapata aibu zaidi. Hizi kesi ni za Arusha tu, bado kuna za Moshi ambazo tayari ziko TAKUKURU Kilimanjaro, wanasubiri tu amalizane na huko Arusha ili wapate muda wa kulianzisha.
 
Ushahidi wa Jesca wa Sabaya una matege.
Wakili wa Sabaya anadhani tupo kwenye movie.

Yani dada wa watu amekubali kudanganya mahakama kuwa eti ile namba ya simu ya sabaya ni ya kwake ila alisajiliwa tu na sabaya 🤣🤣
Ukienda kwenye sheria za TCRA ni kosa la jinai kutumia line yenye usajili wa mtu mwingine.

Kwenye ile hukumu ya aliyokula miaka 30 sabaya alisema mahakama imuonee huruma kwa kuwa ameshatoa mahari kwa bi.jesca na anataka kumuoa ila leo jesca anasema ni mke wa sabaya wa ndoa tangu 2018 🤣
 
HUKU SABAYA KULE GAIDI MBOWE NALO LINANYEA NDOO MAMBO YANAENDA TU HUKU MTAANI WALA HATUNA HABARI NAO
Hujafa hujaumbika kama sio wewe basi Kizazi chako lazima kinyee ndoo Maneno yanaumba ndugu yangu
 
Jesca yupi huyo yule mtoto wa magufuli au ?
 
.. .aisee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…