Shahidi wa pili kesi ya Mbowe, Bw. Kaaya afunga akaunti ya facebook baada ukweli kuhusu uachama wake wa CCM kuwekwa wazi mitandaoni

Shahidi wa pili kesi ya Mbowe, Bw. Kaaya afunga akaunti ya facebook baada ukweli kuhusu uachama wake wa CCM kuwekwa wazi mitandaoni

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Hii inaitwa kukurupuka na kukosa watu walio serious kwenye uandaaji na utetezi wa kesi ya jinai. Kwa mahakama zilizo huru na ambazo zinajitegemea kilichofanywa na shahidi wa pili kinatosha kumfunga au kutaka Chama cha mapinduzi kinachotuhumiwa kutumia Polisi na wanachama wa chama hicho kuidanganya mahakama kufika mahakamani kujieleza kuhusu utata uliojitokeza juu ya ushahidi unaoendelea.

Katika ushahidi uliotolewa shahidi huyu wa pili amekana kutokuwa na affiliation na chama cha siasa. Lakini jamii au public ambayo inamjua shahidi imesambaza Taarifa zake zinazothibitisha kuwa alikuwa kada wa CCM.

Jambo la pili shahidi huyu imethibitika kwamba alikuwa mwajiriwa wa Sabaya lakini walihitilafiana kisha akakamatwa na kubambikiwa kesi ambayo baadaye ilifutwa. Leo anasimama mahakamani kusema kwamba alishirikishwa na Mbowe kumdhuru Sabaya. Huu ni ukakasi wa pili kuhusu credibility ya mahakama kumruhusu mtu Kama huyu kusimama mbele ya Jaji akajitungia. Story.

Lakini kwa kiburi baada ya kuona ushahidi wake unakinzana na ukweli wa akaunti yake ya Facebook amedelete akaunti hiyo. Je, hao waliompanga walishindwa kupitia hata account zake za mitandao ya kijamii kuona zinavyoweza kuathiri kesi jhii hadi anafika kutoa ushahidi? Huu uzembe mkubwa hivi unaashiria nn kuhusu umakini wa vyombo vya dola?

Lakini pia huyu bwana aliajiriwa kuwa msaidizi wa katibu wa CCM longido na hata alipohitilafiana na Sabaya alirejea huko, je huko alikoajiriwa mwajiri alimwajiri mtu aliyekinyume na itikadi ya chama ?

Ila pia uhusika wa Pole pole, Bashiru, Gambo na Dagaro unamtenganisha vipi na chama Tawala?

Kitu chakushangaza wakati anakamatwa alikutwa na dola zakutosha na tshs zakutosha ambazo anadai alitoka kuuza mbogamboga lakini mtu huyo anayetembea na zaidi ya milioni mbili mfukoni anasema alikuwa akipewa shs elfu hamsini na Mbowe.......huu ugaidi huu

Hii Ni fedhea nyingine kwa mahakama na Serikali ,tengenezeni mambo yenye logic siyo watu wa aina hii ambao wamekaririshwa.
 
We mfuasi wa kampuni ya Mbowe acha kuangaika usiku...mbowe atafungwa tu ni guide yule...mnakosea mnapo tafsiri hili swala la mbowe kisiasa...mbona ushahidi upo wazi sana kuliko hata zile kesi za Sabaya za kuunga unga ushahidi
 
We mfuasi wa kampuni ya mbowe acha kuangaika usiku...mbowe atafungwa tu ni guide yule...mnakosea mnapo tafsiri hili swala la mbowe kisiasa...mbona ushahidi upo wazi sana kuliko hata zile kesi za Sabaya za kuunga unga ushahidi
Mungu ni mwema!Mungu ni wetu sote.Mungu siyo wa CCM tu.

Nikumbushe tu MBOWE akifungwa nadhani itakufuraha kwako,kwa kuwa utakuwa umepona magonjwa yote yanayokuandama,Mbowe akifungwa tatizo la kiuchumi kwako itakuwa historian tena.Mbowe akifungwa mama yako hawezi kuuguwa tena ugonjwa wa kansa.Mbowe akifungwa kisukari na shinikizo la damu itakuwa historian kwenu.Mbowe akifungwa familia na ukoo wenu wote hautakuwa na watoto vilaza darasani.

Mungu kama aishivyo na akuhukumu yeye mwenyewe sawa sawa na matendo na maneno yako.
 
Mungu ni mwema!Mungu ni wetu sote.Mungu siyo wa CCM tu.

Nikumbushe tu MBOWE akifungwa nadhani itakufuraha kwako,kwa kuwa utakuwa umepona magonjwa yote yanayokuandama,Mbowe akifungwa tatizo la kiuchumi kwako itakuwa historian tena.Mbowe akifungwa mama yako hawezi kuuguwa tena ugonjwa wa kansa.Mbowe akifungwa kisukari na shinikizo la damu itakuwa historian kwenu.Mbowe akifungwa familia na ukoo wenu wote hautakuwa na watoto vilaza darasani.

Mungu kama aishivyo na akuhukumu yeye mwenyewe sawa sawa na matendo na maneno yako.
Acha hoja za kitoto sana kwenye mambo ya facts ya kwamba mbowe ni guide..yapaswa hata kesho asomewe hukumu anaisumbua mahakam
 
Hii inaitwa kukurupuka na kukosa watu walio serious kwenye uandaaji na utetezi wa kesi ya jinai. Kwa mahakama zilizo huru na ambazo zinajitegemea kilichofanywa na shahidi wa pili kinatosha kumfunga au kutaka chama Cha mapinduzi kinachotuhumiwa kutumia Polisi na wanachama wa chama hicho kuidanganya mahakama kufika mahakamani kujieleza kuhusu utata uliojitokeza juu ya ushahidi unaoendelea.

Katika ushahidi uliotolewa shahidi huyu wa pili amekana kutokuwa na affiliation na chama Cha siasa. Lakini jamii au public ambayo inamjua shahidi imesambaza Taarifa zake zinazothibitisha kuwa alikuwa kada wa CCM.

Jambo la pili shahidi huyu imethibitika kwamba alikuwa mwajiriwa wa jambaz Sabaya lakini walihitilafiana Kisha akakamatwa na kubambikiwa kesi ambayo baadaye ilifutwa. Leo anasimama mahakamani kusema kwamba alishirikishwa na Mbowe kumdhuru sabaya. Huu Ni ukakasi wa pili kuhusu credibility ya mahakama kumruhusu mtu Kama huyu kusimama mbele ya Jaji akajitungia. Story.

Lakini kwa kiburi baada ya kuona ushahidi wake unakinzana na ukweli wa akaunti yake ya Facebook amedelete akaunti hiyo. Je, hao waliompanga walishindwa kupitia hata account zake za mitandao ya kijamii kuona zinavyoweza kuathiri kesi jhii hadi anafika kutoa ushahidi? Huu uzembe mkubwa hivi unaashiria nn kuhusu umakini wa vyombo vya dola?

Lakini pia huyu bwana aliajiriwa kuwa msaidizi wa katibu wa CCM longido na hata alipohitilafiana na Sabaya alirejea huko, je huko alikoajiriwa mwajiri alimwajiri mtu aliyekinyume na itikadi ya chama ?

Ila pia uhusika wa Pole pole, Bashiru, Gambo na Dagaro unamtenganisha vipi na chama Tawala?

Kitu chakushangaza wakati anakamatwa alikutwa na dola zakutosha na tshs zakutosha ambazo anadai alitoka kuuza mbogamboga lakini mtu huyo anayetembea na zaidi ya milioni mbili mfukoni anasema alikuwa akipewa shs elfu hamsini na Mbowe.......huu ugaidi huu

Hii Ni fedhea nyingine kwa mahakama na Serikali ,tengenezeni mambo yenye logic siyo watu wa aina hii ambao wamekaririshwa.
CCM imepofushwa na Mungu ili nchi ikombolewe
 
Hii inaitwa kukurupuka na kukosa watu walio serious kwenye uandaaji na utetezi wa kesi ya jinai. Kwa mahakama zilizo huru na ambazo zinajitegemea kilichofanywa na shahidi wa pili kinatosha kumfunga au kutaka chama Cha mapinduzi kinachotuhumiwa kutumia Polisi na wanachama wa chama hicho kuidanganya mahakama kufika mahakamani kujieleza kuhusu utata uliojitokeza juu ya ushahidi unaoendelea.

Katika ushahidi uliotolewa shahidi huyu wa pili amekana kutokuwa na affiliation na chama Cha siasa. Lakini jamii au public ambayo inamjua shahidi imesambaza Taarifa zake zinazothibitisha kuwa alikuwa kada wa CCM.

Jambo la pili shahidi huyu imethibitika kwamba alikuwa mwajiriwa wa jambaz Sabaya lakini walihitilafiana Kisha akakamatwa na kubambikiwa kesi ambayo baadaye ilifutwa. Leo anasimama mahakamani kusema kwamba alishirikishwa na Mbowe kumdhuru sabaya. Huu Ni ukakasi wa pili kuhusu credibility ya mahakama kumruhusu mtu Kama huyu kusimama mbele ya Jaji akajitungia. Story.

Lakini kwa kiburi baada ya kuona ushahidi wake unakinzana na ukweli wa akaunti yake ya Facebook amedelete akaunti hiyo. Je, hao waliompanga walishindwa kupitia hata account zake za mitandao ya kijamii kuona zinavyoweza kuathiri kesi jhii hadi anafika kutoa ushahidi? Huu uzembe mkubwa hivi unaashiria nn kuhusu umakini wa vyombo vya dola?

Lakini pia huyu bwana aliajiriwa kuwa msaidizi wa katibu wa CCM longido na hata alipohitilafiana na Sabaya alirejea huko, je huko alikoajiriwa mwajiri alimwajiri mtu aliyekinyume na itikadi ya chama ?

Ila pia uhusika wa Pole pole, Bashiru, Gambo na Dagaro unamtenganisha vipi na chama Tawala?

Kitu chakushangaza wakati anakamatwa alikutwa na dola zakutosha na tshs zakutosha ambazo anadai alitoka kuuza mbogamboga lakini mtu huyo anayetembea na zaidi ya milioni mbili mfukoni anasema alikuwa akipewa shs elfu hamsini na Mbowe.......huu ugaidi huu

Hii Ni fedhea nyingine kwa mahakama na Serikali ,tengenezeni mambo yenye logic siyo watu wa aina hii ambao wamekaririshwa.
Hadi hapo Tanzania itakapojinasua na CCM hii, hapo ndipo tutaanza moja kwenda mbele. Vinginevyo na CCM ya namna hiitutakuwa tunazungukia humo kwa humo bila ya kwenda popote.

CCM imejidhihirisha moja kwa moja kwamba ndiye adui mkubwa wa Tanzania kwa sasa hivi.
 
We mfuasi wa kampuni ya mbowe acha kuangaika usiku...mbowe atafungwa tu ni guide yule...mnakosea mnapo tafsiri hili swala la mbowe kisiasa...mbona ushahidi upo wazi sana kuliko hata zile kesi za Sabaya za kuunga unga ushahidi
Samia ameanua ajiulize atarudi zanzibar kwa boti au atapiga mbizi credibility yake ni zero anajionyesha ni mtu mkatili mwenye chuki na dictetor kampe pongezi basi
 
Acha hoja za kitoto sana kwenye mambo ya facts ya kwamba mbowe ni guide..yapaswa hata kesho asomewe hukumu anaisumbua mahakam
Wewe ni Malaya wa kisiasa ,akili yako imekaa kimalaya Malaya huwezi kuelewa.Bila CCM huwezi kuishi
 
Acha hoja za kitoto sana kwenye mambo ya facts ya kwamba mbowe ni guide..yapaswa hata kesho asomewe hukumu anaisumbua mahakam
Wewe ni Malaya wa kisiasa ,akili yako imekaa kimalaya Malaya huwezi kuelewa.Bila CCM huwezi kuishi
 
Acha hoja za kitoto sana kwenye mambo ya facts ya kwamba mbowe ni guide..yapaswa hata kesho asomewe hukumu anaisumbua mahakam
Hivi nikweli kabisa kwa mtazamo na uelewa wako kwa kinachoendelea mahakamani unasadiki kuyaongea haya? Au wewe niwale matomaso? Kwamba unacho kijua ndivyo lasivyo ushuhudie mwenyewe? Hata kama hatujui sheria au hatuna uelewa jamaa zako wana toa povu hadi ina keraa. Kupotezeana muda kwa mambo ya ajabu kabisaa.
 
chama kinacho kaa mda mrefu madarakani siku zote kinakuwa adui ili kubaki madarakani
 
Je Yale mawasiliano anayosema alikuwa akifanya na mbowe Yana ukweli wowote.na kuna wakati anasema mbowe alimtumia hela huyo kaaya.
 
Back
Top Bottom