Whatever the case, kama alisema sio mwanachama lakini ana nguo ya kijani maana yake nini? ni mkereketwa, kwa hiyo hata kama hakusema yeye ni mkereketwa lakini huo ndio ukweli, kuwa mkereketwa ni sawa na kuwa shabiki, kama shabiki wa Simba anavyovaa jezi ya timu yake lakini hana kadi ya uanachama wa klabu yake, nakufundisha uelewe sio kubisha bisha tu.
Kuhusu Mbowe na Sabaya, Mbowe mpaja sasa ni mtuhumiwa, Sabaya ni mfungwa baada ya kukutwa na hatia, hawa wawili hawafanani, usihangaike kuwalinganisha.