Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Then wanasheria wa utetezi watafute ushahidi kuonesha kama ni mwanachama, wakiweza hilo then ushahidi wake utatupiliwa mbali na yeye atashitakiwa kwa kuidanganya mahakamaWanachama wa CCM siku hizi wapo kwenye database. Ni rahisi kuprove uanachama wake kidigitali, siyo kama zamani kadi inatoka kianaligia.
Tour guide ama guide wa nini?We mfuasi wa kampuni ya Mbowe acha kuangaika usiku...mbowe atafungwa tu ni guide yule...mnakosea mnapo tafsiri hili swala la mbowe kisiasa...mbona ushahidi upo wazi sana kuliko hata zile kesi za Sabaya za kuunga unga ushahidi
Wewe kumbuka ulivyokua shuleni ukikariri ukifika kwenye mtihani inakuaje pale swali limeenda kinyume kidogo tu.CCM hawajui hata kumkaririsha shahidi uongo akautoe mahakamani nayo ni kazi inayohitaji uzoefu.
Pia walimu wao wakukaririsha nao hawajielewi hawajui kuna mambo ya kufuatilia nje ili kuondoa uwezekano wa mgongano kati ya kile atachoongea shahidi na uhalisia wa maisha yake mtaani.
Huy
We mfuasi wa kampuni ya Mbowe acha kuangaika usiku...mbowe atafungwa tu ni guide yule...mnakosea mnapo tafsiri hili swala la mbowe kisiasa...mbona ushahidi upo wazi sana kuliko hata zile kesi za Sabaya za kuunga unga ushahidi
Kama mnaona shahidi hafai siuende wewe. Yaani unajiona unaweza ujaji... Mbowe ni gaidi na atafungwa nyie endeleeni kuupiga....Hii inaitwa kukurupuka na kukosa watu walio serious kwenye uandaaji na utetezi wa kesi ya jinai. Kwa mahakama zilizo huru na ambazo zinajitegemea kilichofanywa na shahidi wa pili kinatosha kumfunga au kutaka Chama cha mapinduzi kinachotuhumiwa kutumia Polisi na wanachama wa chama hicho kuidanganya mahakama kufika mahakamani kujieleza kuhusu utata uliojitokeza juu ya ushahidi unaoendelea.
Katika ushahidi uliotolewa shahidi huyu wa pili amekana kutokuwa na affiliation na chama cha siasa. Lakini jamii au public ambayo inamjua shahidi imesambaza Taarifa zake zinazothibitisha kuwa alikuwa kada wa CCM.
Jambo la pili shahidi huyu imethibitika kwamba alikuwa mwajiriwa wa Sabaya lakini walihitilafiana kisha akakamatwa na kubambikiwa kesi ambayo baadaye ilifutwa. Leo anasimama mahakamani kusema kwamba alishirikishwa na Mbowe kumdhuru Sabaya. Huu ni ukakasi wa pili kuhusu credibility ya mahakama kumruhusu mtu Kama huyu kusimama mbele ya Jaji akajitungia. Story.
Lakini kwa kiburi baada ya kuona ushahidi wake unakinzana na ukweli wa akaunti yake ya Facebook amedelete akaunti hiyo. Je, hao waliompanga walishindwa kupitia hata account zake za mitandao ya kijamii kuona zinavyoweza kuathiri kesi jhii hadi anafika kutoa ushahidi? Huu uzembe mkubwa hivi unaashiria nn kuhusu umakini wa vyombo vya dola?
Lakini pia huyu bwana aliajiriwa kuwa msaidizi wa katibu wa CCM longido na hata alipohitilafiana na Sabaya alirejea huko, je huko alikoajiriwa mwajiri alimwajiri mtu aliyekinyume na itikadi ya chama ?
Ila pia uhusika wa Pole pole, Bashiru, Gambo na Dagaro unamtenganisha vipi na chama Tawala?
Kitu chakushangaza wakati anakamatwa alikutwa na dola zakutosha na tshs zakutosha ambazo anadai alitoka kuuza mbogamboga lakini mtu huyo anayetembea na zaidi ya milioni mbili mfukoni anasema alikuwa akipewa shs elfu hamsini na Mbowe.......huu ugaidi huu
Hii Ni fedhea nyingine kwa mahakama na Serikali ,tengenezeni mambo yenye logic siyo watu wa aina hii ambao wamekaririshwa.
ni gaidi au guideWe mfuasi wa kampuni ya Mbowe acha kuangaika usiku...mbowe atafungwa tu ni guide yule...mnakosea mnapo tafsiri hili swala la mbowe kisiasa...mbona ushahidi upo wazi sana kuliko hata zile kesi za Sabaya za kuunga unga ushahidi
Whatever the case, kama alisema sio mwanachama lakini ana nguo ya kijani maana yake nini? ni mkereketwa, kwa hiyo hata kama hakusema yeye ni mkereketwa lakini huo ndio ukweli, kuwa mkereketwa ni sawa na kuwa shabiki, kama shabiki wa Simba anavyovaa jezi ya timu yake lakini hana kadi ya uanachama wa klabu yake, nakufundisha uelewe sio kubisha bisha tu.Alisema siyo mwanachama, hakusema siyo mkereketwa!! Kama kadanganya ni kazi ya mawakili wa utetezi kuprove, ila huwezi kuprove uanachama wa mtu kwa sababu kavaa nguo za chama fulani cha siasa kwenye social medias! unaweza kuwa mkereketwa na siyo mwanachama pia!
Mbele ya sheria Mbowe na Sabaya wote ni sawa, hamna mwenye haki zaidi ya mwenzake kwenye jicho la sheria, mambo ya huyu ni muhalifu or siyo tunayajua sisi huku mtaani! Rekodi ya uhalifu inasaidia tu kupewa minimum/maximum adhabu pale unapokamatwa na kosa!
Kwa hiyo wewe unaamini yote aliyosema shahidi jana ni uongo??? And unaamini pia ukishakuwa na rekodi ya uhalifu basi watu wako wa karibu hawawezi kuwa mashahidi wa upande wako?? Acha ushabiki Chief
Ishu ni wewe kusema kadanganya yeye siyo mwanachama, kuvaa nguo za CCM haimaanishi wewe ni mwanachama wa CCM! Wanasheria wenu sasa wakaprove kuwa jamaa kadanganya yeye siyo mwanachama, siyo kuleta bla bla za picha za fbWhatever the case, kama alisema sio mwanachama lakini ana nguo ya kijani maana yake nini? ni mkereketwa, kwa hiyo hata kama hakusema yeye ni mkereketwa lakini huo ndio ukweli, kuwa mkereketwa ni sawa na kuwa shabiki, kama shabiki wa Simba anavyovaa jezi ya timu yake lakini hana kadi ya uanachama wa klabu yake, nakufundisha uelewe sio kubisha bisha tu.
Kuhusu Mbowe na Sabaya, Mbowe mpaja sasa ni mtuhumiwa, Sabaya ni mfungwa baada ya kukutwa na hatia, hawa wawili hawafanani, usihangaike kuwalinganisha.
Huyo shahidi akili fupi, sioni sababu yake kuogopa wakati jaji na yeye ni timu moja.Wewe kumbuka ulivyokua shuleni ukikariri ukifika kwenye mtihani inakuaje pale swali limeenda kinyume kidogo tu.
Alisema aliwahi kujihusisha na siasa na wanasiasa au hajawahi?Ishu ni wewe kusema kadanganya yeye siyo mwanachama, kuvaa nguo za CCM haimaanishi wewe ni mwanachama wa CCM! Wanasheria wenu sasa wakaprove kuwa jamaa kadanganya yeye siyo mwanachama, siyo kuleta bla bla za picha za fb
Nimemkataza Binti yangu asisome sharia, ni ujinga mtupu! Ataenda kufanya Health acha akawe Doctor tuHii kesi yaweza kuwa kesi rejewa vyuoni. Sijui itakuwaje kwa wanafunzi tarajali watakapokuwa wainaifanyia marejeo
Ndio nasikia hili Leo kutoka kwako! Mnapinga mambo kiboya sana sanaIshu ni wewe kusema kadanganya yeye siyo mwanachama, kuvaa nguo za CCM haimaanishi wewe ni mwanachama wa CCM! Wanasheria wenu sasa wakaprove kuwa jamaa kadanganya yeye siyo mwanachama, siyo kuleta bla bla za picha za fb
mambo hayo jamaniWe mfuasi wa kampuni ya Mbowe acha kuangaika usiku...mbowe atafungwa tu ni guide yule...mnakosea mnapo tafsiri hili swala la mbowe kisiasa...mbona ushahidi upo wazi sana kuliko hata zile kesi za Sabaya za kuunga unga ushahidi
nchi huru unasema ikombolewe na nani ? nchi gani inaweza kukombolewa mara mbili yaani mnajisumbua tu ushahidi uko wazi kabisa mbowe ametenda makosa wala msikomaze shingo ni muda tu unasubiriwa hukumu itoke na huyo wakili wenu anayejifanya msomi kibatala ndiyo anaichelewesha kwa maslahi yake binafsi kufungua vikesi vidogovidogo anawalisha maneno watuhumiwa kudanganya mahakama lakini jaji akawasitukia akatupilia mbali ndiyo maana kibatala hakubisha maana ajua alichokifanya kimegundulika mashahidi wameshamkaanga mbowe vyakutosha hachomoki hapoCCM imepofushwa na Mungu ili nchi ikombolewe
mbowe hachomoi hapo wenzie wameshamkaanga vizuri sana kosa lake ni kuwatelekeza walipokuwa ndani akajifanya hawajuiSio haja ya wafuasi wa gaidi Mbowe kulialia humu,yule hatoboi,ambieni ndugu zake waanze matanga
Mleta mada kwa hiyo mtu ukiajiriwa Chadema Kama dereva au mlinzi lazima uwe mwana Chadema?
Nimemkataza Binti yangu asisome sharia, ni ujinga mtupu! Ataenda kufanya Health acha akawe Doctor tu
Kuna mtu asiyejihusisha na siasa? Ishu ni moja tu, ni mwanachama or siyo mwanachama? Kujihusisha na chama fulani haimaanishi wewe ni mwanachama wa chama hicho! And kuwa mwanachama wa chama fulani haikunyimi haki ya kuwa shahidi wa kesi ambayo hiko chama kinahusishwa, ndiyo maana kuna kuapa na kuhojiwa na mawakili wa pande zote mbili! Ni kazi ya mawakili wenu "akili kubwa" kudhibitisha uongo wakeAlisema aliwahi kujihusisha na siasa na wanasiasa au hajawahi?
Mwenzio kafunga akaunti ya fb kwasababu anajua dhamira imemshtaki, wewe unaleta sound tu hapa.