Shahidi wa pili kesi ya Mbowe, Bw. Kaaya afunga akaunti ya facebook baada ukweli kuhusu uachama wake wa CCM kuwekwa wazi mitandaoni

Wanachama wa CCM siku hizi wapo kwenye database. Ni rahisi kuprove uanachama wake kidigitali, siyo kama zamani kadi inatoka kianaligia.
Then wanasheria wa utetezi watafute ushahidi kuonesha kama ni mwanachama, wakiweza hilo then ushahidi wake utatupiliwa mbali na yeye atashitakiwa kwa kuidanganya mahakama
 
We mfuasi wa kampuni ya Mbowe acha kuangaika usiku...mbowe atafungwa tu ni guide yule...mnakosea mnapo tafsiri hili swala la mbowe kisiasa...mbona ushahidi upo wazi sana kuliko hata zile kesi za Sabaya za kuunga unga ushahidi
Tour guide ama guide wa nini?
 
Wewe kumbuka ulivyokua shuleni ukikariri ukifika kwenye mtihani inakuaje pale swali limeenda kinyume kidogo tu.
 
Ni guide au gaidi? ubongo wako umejaa kamasi
We mfuasi wa kampuni ya Mbowe acha kuangaika usiku...mbowe atafungwa tu ni guide yule...mnakosea mnapo tafsiri hili swala la mbowe kisiasa...mbona ushahidi upo wazi sana kuliko hata zile kesi za Sabaya za kuunga unga ushahidi
 
Kama mnaona shahidi hafai siuende wewe. Yaani unajiona unaweza ujaji... Mbowe ni gaidi na atafungwa nyie endeleeni kuupiga....
 
We mfuasi wa kampuni ya Mbowe acha kuangaika usiku...mbowe atafungwa tu ni guide yule...mnakosea mnapo tafsiri hili swala la mbowe kisiasa...mbona ushahidi upo wazi sana kuliko hata zile kesi za Sabaya za kuunga unga ushahidi
ni gaidi au guide
 
Whatever the case, kama alisema sio mwanachama lakini ana nguo ya kijani maana yake nini? ni mkereketwa, kwa hiyo hata kama hakusema yeye ni mkereketwa lakini huo ndio ukweli, kuwa mkereketwa ni sawa na kuwa shabiki, kama shabiki wa Simba anavyovaa jezi ya timu yake lakini hana kadi ya uanachama wa klabu yake, nakufundisha uelewe sio kubisha bisha tu.

Kuhusu Mbowe na Sabaya, Mbowe mpaja sasa ni mtuhumiwa, Sabaya ni mfungwa baada ya kukutwa na hatia, hawa wawili hawafanani, usihangaike kuwalinganisha, sheria haiwezi kuwalinda watu wenye status isiyofanana, huyo Sabaya sasa hivi analindwa na sheria za magereza, kama kulala saa 9 alasiri.

Pia, kuhusu kumuamini mtu aliyewahi kufanya kazi na jambazi mimi siwezi, kwasababu inafahamika ulimwenguni kote, "birds of the same feather fly together" usiponielewa hapo tafuta mwalimu mwingine.
 
Ishu ni wewe kusema kadanganya yeye siyo mwanachama, kuvaa nguo za CCM haimaanishi wewe ni mwanachama wa CCM! Wanasheria wenu sasa wakaprove kuwa jamaa kadanganya yeye siyo mwanachama, siyo kuleta bla bla za picha za fb
 
Wewe kumbuka ulivyokua shuleni ukikariri ukifika kwenye mtihani inakuaje pale swali limeenda kinyume kidogo tu.
Huyo shahidi akili fupi, sioni sababu yake kuogopa wakati jaji na yeye ni timu moja.
 
Ishu ni wewe kusema kadanganya yeye siyo mwanachama, kuvaa nguo za CCM haimaanishi wewe ni mwanachama wa CCM! Wanasheria wenu sasa wakaprove kuwa jamaa kadanganya yeye siyo mwanachama, siyo kuleta bla bla za picha za fb
Alisema aliwahi kujihusisha na siasa na wanasiasa au hajawahi?

Mwenzio kafunga akaunti ya fb kwasababu anajua dhamira imemshtaki, wewe unaleta sound hapa.
 
Hii kesi yaweza kuwa kesi rejewa vyuoni. Sijui itakuwaje kwa wanafunzi tarajali watakapokuwa wainaifanyia marejeo
Nimemkataza Binti yangu asisome sharia, ni ujinga mtupu! Ataenda kufanya Health acha akawe Doctor tu
 
Ishu ni wewe kusema kadanganya yeye siyo mwanachama, kuvaa nguo za CCM haimaanishi wewe ni mwanachama wa CCM! Wanasheria wenu sasa wakaprove kuwa jamaa kadanganya yeye siyo mwanachama, siyo kuleta bla bla za picha za fb
Ndio nasikia hili Leo kutoka kwako! Mnapinga mambo kiboya sana sana

 
Sioni haja ya wafuasi wa gaidi Mbowe kulialia humu,yule hatoboi,ambieni ndugu zake waanze matanga
 
CCM imepofushwa na Mungu ili nchi ikombolewe
nchi huru unasema ikombolewe na nani ? nchi gani inaweza kukombolewa mara mbili yaani mnajisumbua tu ushahidi uko wazi kabisa mbowe ametenda makosa wala msikomaze shingo ni muda tu unasubiriwa hukumu itoke na huyo wakili wenu anayejifanya msomi kibatala ndiyo anaichelewesha kwa maslahi yake binafsi kufungua vikesi vidogovidogo anawalisha maneno watuhumiwa kudanganya mahakama lakini jaji akawasitukia akatupilia mbali ndiyo maana kibatala hakubisha maana ajua alichokifanya kimegundulika mashahidi wameshamkaanga mbowe vyakutosha hachomoki hapo
 
Alisema aliwahi kujihusisha na siasa na wanasiasa au hajawahi?

Mwenzio kafunga akaunti ya fb kwasababu anajua dhamira imemshtaki, wewe unaleta sound tu hapa.
Kuna mtu asiyejihusisha na siasa? Ishu ni moja tu, ni mwanachama or siyo mwanachama? Kujihusisha na chama fulani haimaanishi wewe ni mwanachama wa chama hicho! And kuwa mwanachama wa chama fulani haikunyimi haki ya kuwa shahidi wa kesi ambayo hiko chama kinahusishwa, ndiyo maana kuna kuapa na kuhojiwa na mawakili wa pande zote mbili! Ni kazi ya mawakili wenu "akili kubwa" kudhibitisha uongo wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…