Shaka aagiza DCs & DEDs wote wahakikishe mkandarasi analipa madeni yote kwa watoa huduma kabla ya kumtumbua

Shaka aagiza DCs & DEDs wote wahakikishe mkandarasi analipa madeni yote kwa watoa huduma kabla ya kumtumbua

CM 1774858

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
5,621
Reaction score
5,029

Chama kinachotetea masilahi ya wanyonge wote bila kujali itikadi zao za kisiasa na kidini cha Mapinduzi kimewataka wakuu wote wa Mikoa, Wilaya na wakurugenzi wa Halmashauri kote nchini kuhakikisha wanalinda maslahi ya wananchi wanaofanyakazi na wakandarasi kama watoa huduma.

Kauli hiyo imetolewa na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Mhe Shaka Hamdu Shaka wilayani Kaliua mkoa wa Tabora. Shaka ametoa kauli hii baada ya kusimamishwa wakati akikagua ujenzi wa barabara ya Ushokora pamoja na kusikiliza kero mbalimbali za wananchi.

Mama mmoja alitoa malalamiko yake mbele ya Shaka, akimuomba amsaidie kupata haki yake kutoka kwa Mkandarasi(jina linahifadhiwa) ambaye baada ya kandarasi yake kusitishwa na halmashauri akaondoka na deni la mama huyo, kitendo ambacho kimemfanya kufilisika kibiashara.

Akiongea kwa uchungu Shaka amewataka waliopewa dhamani wasimamie masilahi ya watoto hawa wa masikini wanaorudishwa nyuma kwa faida za watu walioshindwa majukumu yao.
 
Vipi kuhusu wale watoto wa kichina wanaozagaa huko vijijini?Hao wakandarasi wachukuliwe hatua kwa kutuchafulia breed yetu
Nimecheka kwa sauti aiseee, ila hayo ni makunaliano sasa, Acha tupate na sisi macotractor wazawa wa kichina 😆
 
CCM hii ya Shaka inastahili pongezi,Hawa wakandarasi hasa wa kigeni ni kama miungu watu, wanaweza wakamfanya chochote raia na hakuna hatua inachukuliwa
Shaka ni jembe Sana aise, kifupi mwenezi anachapa kazi kwelikweli
 
Machadema yatasema wakandarasi wanaonewa ,Nchi ngumu mno hii
 
View attachment 2327010
Chama kinachotetea masilahi ya wanyonge wote bila kujali itikadi zao za kisiasa na kidini cha Mapinduzi kimewataka wakuu wote wa Mikoa, Wilaya na wakurugenzi wa Halmashauri kote nchini kuhakikisha wanalinda maslahi ya wananchi wanaofanyakazi na wakandarasi kama watoa huduma,

Kauli hiyo imetolewa na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Mhe Shaka Hamdu Shaka wWlayani Kaliua mkoa wa Tabora,
Shaka ametoa kauli hii baada ya kusimamishwa wakati akikagua ujenzi wa barabara ya Ushokora pamoja na kusikiliza kero mbalimbali za wananchi.

Mama mmoja alitoa malalamiko yake mbele ya Shaka akimuomba amsaidie kupata haki yake kutoka kwa Mkandarasi (jina linahifadhiwa ) ambaye baada ya kandarasi yake kusitishwa na Halmashauri akaondoka na deni la mama huyo, kitendo ambacho kimemfanya kufilisika kibiashara.

Akiongea kwa uchungu Shaka amewataka waliopewa dhamani wasimamie masilahi ya watoto hawa wa masikini wanaorudishwa nyuma kwa faida za watu walioshindwa majukumu yao,
Sio sehemu yake kutoa maagizo,
Wapo wenye madaraka yao,lakini kwa vile Hilo lichama ni kikundi Cha kijambazi Cha kiuni,kimeiteka nchi,kila kiongozi wake anaona ana madaraka ya kutoa maagizo,nchi ipo "captured"ni wahuni wachache,ipo held at "ransom"upuuzi kama huu uwezi kuusikia kwenye nchi zilizo endelea kidemokrasia,sasa hv ma ccm yanaumwa vichwa yakiangalia kinachotokea Kenya,project ya Raisi aliyepo imeshindwa,taasisi zinaendelea kufanya kazi kwa mujibu wa sheria, sio kusubili maagizo kutoka juu, Rais mteule kapatikana,security organs tayari zimetuma security details kwenye makazi yake,sio kusubili maagizo ya waziri Wala Raisi!!Richa ya kwamba waziri wa ulinzi alyepo Matiangi,alikuwa haivi na Ruto,lakini kwenye mambo ya nchi,ubinafsi unawekwa Kando.
 
Sio sehemu yake kutoa maagizo,
Wapo wenye madaraka yao,lakini kwa vile Hilo lichama ni kikundi Cha kijambazi Cha kiuni,kimeiteka nchi,kila kiongozi wake anaona ana madaraka ya kutoa maagizo,nchi ipo "captured"ni wahuni wachache,ipo held at "ransom"upuuzi kama huu uwezi kuusikia kwenye nchi zilizo endelea kidemokrasia,sasa hv ma ccm yanaumwa vichwa yakiangalia kinachotokea Kenya,project ya Raisi aliyepo imeshindwa,taasisi zinaendelea kufanya kazi kwa mujibu wa sheria,sio kusubili maagizo kutoka juu,Raisi mteule kapatikana,security organs tayari zimetuma security details kwenye makazi yake,sio kusubili maagizo ya waziri Wala Raisi!!Richa ya kwamba waziri wa ulinzi alyepo Matiangi,alikuwa haivi na Ruto,lakini kwenye mambo ya nchi,ubinafsi unawekwa Kando.
Unamaana, Shaka kama kiongozi wa Chama kilichoshinda uchaguzi na kupewa ilani ya kuitekeleza hawezi kuielekeza serikali?
 
View attachment 2327010
Chama kinachotetea masilahi ya wanyonge wote bila kujali itikadi zao za kisiasa na kidini cha Mapinduzi kimewataka wakuu wote wa Mikoa, Wilaya na wakurugenzi wa Halmashauri kote nchini kuhakikisha wanalinda maslahi ya wananchi wanaofanyakazi na wakandarasi kama watoa huduma,

Kauli hiyo imetolewa na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Mhe Shaka Hamdu Shaka wWlayani Kaliua mkoa wa Tabora,
Shaka ametoa kauli hii baada ya kusimamishwa wakati akikagua ujenzi wa barabara ya Ushokora pamoja na kusikiliza kero mbalimbali za wananchi.

Mama mmoja alitoa malalamiko yake mbele ya Shaka akimuomba amsaidie kupata haki yake kutoka kwa Mkandarasi (jina linahifadhiwa ) ambaye baada ya kandarasi yake kusitishwa na Halmashauri akaondoka na deni la mama huyo, kitendo ambacho kimemfanya kufilisika kibiashara.

Akiongea kwa uchungu Shaka amewataka waliopewa dhamani wasimamie masilahi ya watoto hawa wa masikini wanaorudishwa nyuma kwa faida za watu walioshindwa majukumu yao,
Kampuni zenyewe 98% ni za wanaccm
 
Back
Top Bottom