Dongo La Kiemba
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 1,830
- 1,263
Naomba kujua, marehemu alikuwa ameolewa? Kama ndio kwanini familia ya mme isihusike zaidi na shughuli hizi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajichubui jamani, mwenzenu hapigwi na jua huyo, Chezea viete full Ac...Kama Polepole makunyanzi yaliisha akarudi ujanani unategemea handsome Shaka atakuaje?Shaka aache Sasa kujichubua uso
DaaahAmelia wapi hapo!!? Upuuzi tu,mnafikiri jf ni kipeperushi cha uhuru?
Mkuu una maana alikuwa anagombea Urais huku bado hajaolewa?Madem wasomi wanachelewa sana kuolewa.
Kwani si ameolewa? Mbona hazikwi kwa mmewe?Mwili wa Dk Mwele utasafirishwa na kufika jumanne au jumatano.
Atazikwa kijijini kwao Mvumi Dodoma, utaratibu utakapojulikana wazi.
Hajichubui jamani, mwenzenu hapigwi na jua huyo, Chezea viete full Ac...Kama Polepole makunyanzi yaliisha akarudi ujanani unategemea handsome Shaka atakuaje?
Literature hiyo ndugu! Ulitaka umuone akilia na kuruka juu kama mmasai....😀😀😀🙏🙏🙏Amelia wapi hapo!!? Upuuzi tu,mnafikiri jf ni kipeperushi cha uhuru?
Nihuyo Mama nadhaniHivi mama Mwele ni nani?
OkayNihuyo Mama nadhani
Hapana, Mama Mwele alishafariki, huyo mama hapo Anne Kilango Malechela, ni mama wa kambo....Nihuyo Mama nadhani
Mzee Malecela ndo second born baada ya lemutuz...😔😔😔Hivi marehemu na Lemutuzi nani alikuwa mkubwa?
Sio mtoto sema watoto ameshazika watano na mke juu,mi huwa namuonea sana hurumaAlioa mke mwingine (Anne Kilango), naona ndoa imemrudisha kwenye ujana...wanaume ni wadhaifu, hamuuwezi upweke.
Mungu Ampe Subira huyu Baba, na amlipe Kwa hii mitihani anayopitia, kuzika mtoto sio Jambo la mchezo, Mzee tunaweza kumuona Yuko Sawa nje, Ila maumivu anayopitia kwa ndani ni Kama nafsi iliyokufa na kukata tamaa....tumkumbuke kwenye maombi yetu.
Siyo wanahusika UN/ WHO,Mkuu Zaidi?Naomba kujua, marehemu alikuwa ameolewa? Kama ndio kwanini familia ya mme isihusike zaidi na shughuli hizi!