Shaka ahani msiba wa Mwele Malecela

Shaka ahani msiba wa Mwele Malecela

Kwny hii ndoa nakumbuka Best man alikuwa Hayati Mzee Kitwana Kondo na Mshenga alikuwa Mzee Ally Hassan Mwinyi
Alioa mke mwingine (Anne Kilango), naona ndoa imemrudisha kwenye ujana...wanaume ni wadhaifu, hamuuwezi upweke.

Mungu Ampe Subira huyu Baba, na amlipe Kwa hii mitihani anayopitia, kuzika mtoto sio Jambo la mchezo, Mzee tunaweza kumuona Yuko Sawa nje, Ila maumivu anayopitia kwa ndani ni Kama nafsi iliyokufa na kukata tamaa....tumkumbuke kwenye maombi yetu.
 
Kwny hii ndoa nakumbuka Best man alikuwa Hayati Mzee Kitwana Kondo na Mshenga alikuwa Mzee Ally Hassan Mwinyi
Kumbe alikuwa na washauri wenye busara, amefanya busara kumuoa mtu mzima mwenzie anayeijua ndoa....angeoa hawa slay queen's wanaovizia urithi angekuwa ameshakongoroka Kwa stress na matumizi makubwa ya vumbi la Kongo.
 
Alioa mke mwingine (Anne Kilango), naona ndoa imemrudisha kwenye ujana...wanaume ni wadhaifu, hamuuwezi upweke.

Mungu Ampe Subira huyu Baba, na amlipe Kwa hii mitihani anayopitia, kuzika mtoto sio Jambo la mchezo, Mzee tunaweza kumuona Yuko Sawa nje, Ila maumivu anayopitia kwa ndani ni Kama nafsi iliyokufa na kukata tamaa....tumkumbuke kwenye maombi yetu.
Amemuoa Kilango miaka 20 iliyopita Wacha maneno
 
Alioa mke mwingine (Anne Kilango), naona ndoa imemrudisha kwenye ujana...wanaume ni wadhaifu, hamuuwezi upweke.

Mungu Ampe Subira huyu Baba, na amlipe Kwa hii mitihani anayopitia, kuzika mtoto sio Jambo la mchezo, Mzee tunaweza kumuona Yuko Sawa nje, Ila maumivu anayopitia kwa ndani ni Kama nafsi iliyokufa na kukata tamaa....tumkumbuke kwenye maombi yetu.
Le Mutuz Mobimba Nye Nye Nye yupo
 
Back
Top Bottom