JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Kama yupo upo nae siwezi kukubishia.😃Hayo unajua wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama yupo upo nae siwezi kukubishia.😃Hayo unajua wewe
Kutana na uteuzi wa usiku mneneKatibu mwenezi wa CCM Taifa ndugu Shaka A. Shaka na siku chache baadaye mwanamama Ditopile waliutangazia umma kuwa Jumapili hii tutege macho na masikio Ikulu, maana Mhe Rais atakuja na jambo zito Sana
Mimi nasubiria bila kuchoka, natamani mhe Rais amalize haraka shughuli anayoifanya pale Dodoma ya kuzindua Mpango wa kupambana Uviko-19 ili aende kwenye tukio tuliloahidiwa na Shaka pamoja na Ditopile
Nitasikitika Sana kama Shaka na mwenzake Ditopile watakuwa waliuhadaa umma kwa jambo lisilokuwepo. Hii itakuwa ni kuibagaza taasisi ya Urais na Rais mwenyewe.
Kanunua ndege 5Katibu mwenezi wa CCM Taifa ndugu Shaka A. Shaka na siku chache baadaye mwanamama Ditopile waliutangazia umma kuwa Jumapili hii tutege macho na masikio Ikulu, maana Mhe Rais atakuja na jambo zito Sana
Mimi nasubiria bila kuchoka, natamani mhe Rais amalize haraka shughuli anayoifanya pale Dodoma ya kuzindua Mpango wa kupambana Uviko-19 ili aende kwenye tukio tuliloahidiwa na Shaka pamoja na Ditopile
Nitasikitika Sana kama Shaka na mwenzake Ditopile watakuwa waliuhadaa umma kwa jambo lisilokuwepo. Hii itakuwa ni kuibagaza taasisi ya Urais na Rais mwenyewe.
Uteuzi upi tena mkuu??
Katibu mwenezi wa CCM Taifa ndugu Shaka A. Shaka na siku chache baadaye mwanamama Ditopile waliutangazia umma kuwa Jumapili hii tutege macho na masikio Ikulu, maana Mhe Rais atakuja na jambo zito Sana
Mimi nasubiria bila kuchoka, natamani mhe Rais amalize haraka shughuli anayoifanya pale Dodoma ya kuzindua Mpango wa kupambana Uviko-19 ili aende kwenye tukio tuliloahidiwa na Shaka pamoja na Ditopile
Nitasikitika Sana kama Shaka na mwenzake Ditopile watakuwa waliuhadaa umma kwa jambo lisilokuwepo. Hii itakuwa ni kuibagaza taasisi ya Urais na Rais mwenyewe.
Ppra ilishakufa??Labda kutangaza Zabuni zote za Covid ziwe kwa single source
Hongereni sana maafisa wa PMU wa Halmashauri zote kwa kifanikiwa kwny hili
Porojo hizo, bunge linazhirikishwa??Hujasikia kwa mh.Rais akitoa hotuba ya mrejesho wa Urais wake kwa miezi 6 iliyopita na atakachofanya kwa miezi 6 ijayo?
Una matatizo ulijia jambo zito ni kulipua makombora kama ya Kim?
Miezi 6 ajira rasmi 29,900 ..nani aliajiri kama mama?
Shirika la nyumba litaanza upya kumalizia mradi wa Kawe uliokufa,regency na morroco..
Wastaafu wamelipwa mafao sh.1.45 Tilioni nk
Kubwa.zaidi miezi 6 ijayo hakuna kupeleka madawati shule wala kuchangishana michango pesa ipo,sekta ya Afya ndio kabisaa vituo vya afya 150 vinajengwa na vingine vingi vitaanza baada ya kuzindua mpango wa leo..
Ni hivi kiufupi amefauli pakubwa imagine uwekezaji wa Til 5 miradi zaidi ya 3,000 vitatoa ajira rasmi zaidi ya 42,000 ..Hapo vipi?
Nani kama Samia? Samia hoyeee
Amenisikitisha sana huyu mkuu,hapo ni sawa na kumsikiliza lusinde akikupa somo la uchumiMkuu mbona unaheshima kubwa sana hapa jamvini?
Tangu lini Shaka akawa na jambo lililotimilika?
Chaka chakaShaka shaka
Daaaa umeonaeeeeeeee?Amenisikitisha sana huyu mkuu,hapo ni sawa na kumsikiliza lusinde akikupa somo la uchumi
Oxford ya lumumba🤣🤣🤣Dead are of no use to the living. Kila la heri.
Twaweza walifanya utafiti wakagundua ya kwamba wafuasi wa ccm 90% ni mbumbumbu. Huyu ni miongoni mwa hiyo 90%Oxford ya lumumba🤣🤣🤣
Ungeandika kiswahili tu, kiingereza hakikupendiDead are of no use to the living. Kila la heri.
Pamoja na makosa ya lugha, huwa naeleweka na wenye lugha yao. Tatizo la kiingereza ni tatizo letu sisi waswahili, waingereza na wamerakani hawana shida na hilo, si tatizo kwao kama lilivyo kwetu sisi.Oxford ya lumumba🤣🤣🤣
There is nothing wrong with that statement. Tatizo ni wewe, unaamini unakifahamu kingereza kuliko waingereza🤣Ungeandika kiswahili tu, kiingereza hakikupendi