Shaka : Baada ya kifo cha Hayati Dkt Magufuli,wale wote Waliombeza Rais Samia Ujenzi wa miradi ya kimkakati leo wanaumbuka, Wami ilikuwa 47% leo 89.2%

Mimi ni mwana ccm! Niko Dodoma!! Pole sana mkurugenzi. Yaani kama uko kwenye timu ya watu wasiojulikana, basi tambua fika umeshanikosa.

Muda huu niko zangu Burundi huku na jamaa zangu akina Nkurunzinza. Nimeitika wito wa mzee wa tozo.
๐Ÿ˜‚
 
..Shaka ana tabia na maneno ya kike kuliko wanawake wenyewe.

..mwanaume hawezi kutoka nyumbani kwake kwenda kutoa kauli kama hizi alizotoa Shaka.
 
Sukuma gang mtamtaja sana huyu dikteta, na mtamwandika sana huyu dikteta lkn kamwe hafufuki na hatakumbukwa na yeyote.

Aliuwa, aliteka na alipora mali za watu, hakuna anayetaka hata kulisikia jina la jiwe.
 
Sukuma gang mtamtaja sana huyu dikteta, na mtamwandika sana huyu dikteta lkn kamwe hafufuki na hatakumbukwa na yeyote.

Aliuwa, aliteka na alipora mali za watu, hakuna anayetaka hata kulisikia jina la jiwe.
Wewe ni mjinga tu mavi wewe
 
M
Sukuma gang mtamtaja sana huyu dikteta, na mtamwandika sana huyu dikteta lkn kamwe hafufuki na hatakumbukwa na yeyote.

Aliuwa, aliteka na alipora mali za watu, hakuna anayetaka hata kulisikia jina la jiwe.
Na wewe ulikufa wanasemaje huko uliko kuzimu
 
Ndani ya mwaka mmja Raia Samia amemaliza huo mradi ulioanza kujengwa miaka 4 iliyopita..

Na anazidi kuwaumbua kwenye sekta zoote,ajira hadi kilimo na miradi mingine mipya mingi..
 
Mimi ni mwana ccm! Niko Dodoma!! Pole sana mkurugenzi. Yaani kama uko kwenye timu ya watu wasiojulikana, basi tambua fika umeshanikosa.

Muda huu niko zangu Burundi huku na jamaa zangu akina Nkurunzinza. Nimeitika wito wa mzee wa tozo.
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€Nimecheka kwa sauti aise
 
Mama anatisha aise tuache maneno mengi,

#We proud of Mama Samia
Soma vibao hivi hapa Chini,anachapa barabara za lami Rukwa na iko hivyo mikoa yote ๐Ÿ‘‡
 

Attachments

  • IMG_20220918_130159_873.jpg
    830.5 KB · Views: 6
  • IMG_20220917_125932_315.jpg
    1.2 MB · Views: 5
  • IMG_20220918_121950_104.jpg
    817 KB · Views: 6
  • IMG_20220917_125942_512.jpg
    1 MB · Views: 5

Mie nilijua ni bonge la daraja la kisasa kama tunayoyaona nchi za nje au hata kama hilo la Tanzanite Dar es Salaam. Kumbe la kawaida sana. Ila tunashukuru kwa daraja imara
 


Aisee..
Kama uko hapo, nipe namba ya huyu dada, au ndio wewe..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ