Shaka Hamdu Shaka aisifu mahakama ya Tanzania kesi ya Freeman Mbowe

Shaka Hamdu Shaka aisifu mahakama ya Tanzania kesi ya Freeman Mbowe

Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM-Taifa Mhe Shaka Hamdu Shaka aisifu Mahakama kesi ya Freeman Mbowe, asisitiza Serikali ya Rais Samia ni ya kidemokrasia na inajali Uhuru wa Mahakama


"Hakuna kama Samia"


"Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo.

Niwaambie huo ndio Uhuru wa Mahakama na ndio Utawala wa Sheria kama msingi wa Demokrasia ya kweli chini ya utawala wa CCM na serikali makini inayoongozwa na Rais hodari, jasiri na mwenye uthubutu Mhe Samia Suluhu Hassan.

Katika nchi za kidekta haya tunayoyaona leo Mahakama za Tanzania huko hayapo " alisisitiza Shaka

View attachment 1941361
Shaka Hamdu Shaka

Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi
Ziara Katibu Mkuu CCM

16 Septemba, 2021 Lindi.
CCM imepata viongozi mahiri sana, tunajivunia sana kama Taifa,
 

Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM-Taifa Mhe Shaka Hamdu Shaka aisifu Mahakama kesi ya Freeman Mbowe, asisitiza Serikali ya Rais Samia ni ya kidemokrasia na inajali Uhuru wa Mahakama


"Hakuna kama Samia"


"Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo.

Niwaambie huo ndio Uhuru wa Mahakama na ndio Utawala wa Sheria kama msingi wa Demokrasia ya kweli chini ya utawala wa CCM na serikali makini inayoongozwa na Rais hodari, jasiri na mwenye uthubutu Mhe Samia Suluhu Hassan.

Katika nchi za kidekta haya tunayoyaona leo Mahakama za Tanzania huko hayapo " alisisitiza Shaka

View attachment 1941361
Shaka Hamdu Shaka

Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi
Ziara Katibu Mkuu CCM

16 Septemba, 2021 Lindi.
KAZIIENDELEE
 

Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM-Taifa Mhe Shaka Hamdu Shaka aisifu Mahakama kesi ya Freeman Mbowe, asisitiza Serikali ya Rais Samia ni ya kidemokrasia na inajali Uhuru wa Mahakama


"Hakuna kama Samia"


"Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo.

Niwaambie huo ndio Uhuru wa Mahakama na ndio Utawala wa Sheria kama msingi wa Demokrasia ya kweli chini ya utawala wa CCM na serikali makini inayoongozwa na Rais hodari, jasiri na mwenye uthubutu Mhe Samia Suluhu Hassan.

Katika nchi za kidekta haya tunayoyaona leo Mahakama za Tanzania huko hayapo " alisisitiza Shaka

View attachment 1941361
Shaka Hamdu Shaka

Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi
Ziara Katibu Mkuu CCM

16 Septemba, 2021 Lindi.
Kiongozi
 
 
Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM-Taifa Mhe Shaka Hamdu Shaka aisifu Mahakama kesi ya Freeman Mbowe, asisitiza Serikali ya Rais Samia ni ya kidemokrasia na inajali Uhuru wa Mahakama

"Hakuna kama Samia"


"Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo.

Niwaambie huo ndio Uhuru wa Mahakama na ndio Utawala wa Sheria kama msingi wa Demokrasia ya kweli chini ya utawala wa CCM na serikali makini inayoongozwa na Rais hodari, jasiri na mwenye uthubutu Mhe Samia Suluhu Hassan.

Katika nchi za kidekta haya tunayoyaona leo Mahakama za Tanzania huko hayapo " alisisitiza Shaka

View attachment 1941361
Shaka Hamdu Shaka

Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi
Ziara Katibu Mkuu CCM

16 Septemba, 2021 Lindi.
Kazi iendelee
 
Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM-Taifa Mhe Shaka Hamdu Shaka aisifu Mahakama kesi ya Freeman Mbowe, asisitiza Serikali ya Rais Samia ni ya kidemokrasia na inajali Uhuru wa Mahakama

"Hakuna kama Samia"


"Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo.

Niwaambie huo ndio Uhuru wa Mahakama na ndio Utawala wa Sheria kama msingi wa Demokrasia ya kweli chini ya utawala wa CCM na serikali makini inayoongozwa na Rais hodari, jasiri na mwenye uthubutu Mhe Samia Suluhu Hassan.

Katika nchi za kidekta haya tunayoyaona leo Mahakama za Tanzania huko hayapo " alisisitiza Shaka

View attachment 1941361
Shaka Hamdu Shaka

Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi
Ziara Katibu Mkuu CCM

16 Septemba, 2021 Lindi.
Huyu bwana anawapa shida sana CHADEMA Tz
 
Back
Top Bottom