Shaka Hamdu Shaka atuma neno kwa Freeman Mbowe amsifu Rais Samia

Shaka Hamdu Shaka atuma neno kwa Freeman Mbowe amsifu Rais Samia

Hivi hawa watu walitaka Mbowe aendelee kukaa jela? Ametolewa kelele, akikaa ndani kelele...Hivi watu wapo sawa sawa kweli. Mbowe mwenyewe ameridhia kukutana na Rais, sasa hao wanaoongea ongea ovyo wanataka nini?
Ameridhia kukutana akiwa jela fine.


Mbona kabla yakukamatwa Hangaya hakuridhia harakaharaka kama sasa.
 
Hivi hawa watu walitaka Mbowe aendelee kukaa jela? Ametolewa kelele, akikaa ndani kelele...Hivi watu wapo sawa sawa kweli. Mbowe mwenyewe ameridhia kukutana na Rais, sasa hao wanaoongea ongea ovyo wanataka nini?
1646546441005.png
 
View attachment 2140146

"Ibara ya 118 ya ilani ya uchaguzi ya CCM inaeleza Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, Chama Cha Mapinduzi kitaendelea kuheshimu na kulinda misingi ya demokrasia na haki za binadamu kwa ajili ya kudumisha umoja, amani na ustawi wa Taifa kwa kuzingatia Katiba ya Nchi"

"Namshkuru Mhe Freeman Mbowe kwa kuonesha uungwana kwa sababu amemshukuru Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kujali na amemuahidi kumpa ushirikiano kwa ustawi wa Tanzania. Hiyo ndio siasa safi na hiyo ndio Tanzania tunayojivunia"

"Chama Cha Mapinduzi kinawahakikishia watanzania kuwa kitaendelea kuisimamia Serikali izidi kuimarisha Uhuru wa maoni, misingi ya haki na demokrasia ili kujenga taifa lenye upendo, umoja, amani na mshikamano wakati wote."

"Siasa safi inahusisha uzalendo, utu, heshima na kuweka mbele maslahi ya Taifa kuliko chochote. Rais Samia ni kielelezo katika hili na ameendelea kuthibitisha dhamira yake ya kuijenga Tanzania moja yenye ustawi kwa wananchi wote. Tumpe ushirikiano."

" Lengo la CCM katika kipindi hiki ni kuhakikisha kuwa wananchi wanaendelea kupata haki kwa mtu mmoja mmoja na makundi
mbalimbali. Tunampongeza Rais Samia kwa kuendelea kutekeleza maelekezo haya ya ilani kikamilifu hakika Kazi inaendelea vyema."

Hakika kwa sasa ccm-tanzania ina msemaji anayezungumza kwa hekima,akili,busara,Utu na Utulivu na anazungumza vitu vinavyoeleweka kama Msemaji Wa Chama Tawala, Heko Mhe Shaka Hamdu Shaka kwa kukibeba na kukiheshimisha vema Chama Chetu

View attachment 2140126
05 Machi 2022
Gymkana, Dar Es Salama
#366zaSamia
#KaziKubwaImefanyika
#KaziIendelee

>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>[/I][/B]
Huyu jamaa atulie...
Wakati mwingine si lazima kila kitu uongee...

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Kama kweli mnaheshimu haki za binadam, kwa nini mnamtoa gaidi tu wakati wapo wengi tu wana kesi za ovyo.

Watoeni na hao basi au mkubali tu kuwa


Kesi ya Mwamba ilikuwa inaenda kuwavua nguo MACCM

Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
 
Kama kweli mnaheshimu haki za binadam, kwa nini mnamtoa gaidi tu wakati wapo wengi tu wana kesi za ovyo. Watoeni na hao basi au mkubali tu kuwa


Kesi ya Mwamba ilikuwa inaenda kuwavua nguo MACCM

Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
Unaelewa maana ya kuambiwa unakesi ya kujibu?
 
Kwa hiyo yeye ndiye aliyeratibu maongezi ya Rais na Mwenyekiti FAM jana au basi ndio walewale wanaona wawahi siti ya mbele kabisa kabla hajaongea mhusika akatema madini yote.
Shaka njaa nyingi ridhika ulipo.
Unaifahamu vizuri nafasi Ya Shaka,
 
View attachment 2140146

"Ibara ya 118 ya ilani ya uchaguzi ya CCM inaeleza Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, Chama Cha Mapinduzi kitaendelea kuheshimu na kulinda misingi ya demokrasia na haki za binadamu kwa ajili ya kudumisha umoja, amani na ustawi wa Taifa kwa kuzingatia Katiba ya Nchi"

"Namshkuru Mhe Freeman Mbowe kwa kuonesha uungwana kwa sababu amemshukuru Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kujali na amemuahidi kumpa ushirikiano kwa ustawi wa Tanzania. Hiyo ndio siasa safi na hiyo ndio Tanzania tunayojivunia"

"Chama Cha Mapinduzi kinawahakikishia watanzania kuwa kitaendelea kuisimamia Serikali izidi kuimarisha Uhuru wa maoni, misingi ya haki na demokrasia ili kujenga taifa lenye upendo, umoja, amani na mshikamano wakati wote."

"Siasa safi inahusisha uzalendo, utu, heshima na kuweka mbele maslahi ya Taifa kuliko chochote. Rais Samia ni kielelezo katika hili na ameendelea kuthibitisha dhamira yake ya kuijenga Tanzania moja yenye ustawi kwa wananchi wote. Tumpe ushirikiano."

" Lengo la CCM katika kipindi hiki ni kuhakikisha kuwa wananchi wanaendelea kupata haki kwa mtu mmoja mmoja na makundi
mbalimbali. Tunampongeza Rais Samia kwa kuendelea kutekeleza maelekezo haya ya ilani kikamilifu hakika Kazi inaendelea vyema."

Hakika kwa sasa ccm-tanzania ina msemaji anayezungumza kwa hekima,akili,busara,Utu na Utulivu na anazungumza vitu vinavyoeleweka kama Msemaji Wa Chama Tawala, Heko Mhe Shaka Hamdu Shaka kwa kukibeba na kukiheshimisha vema Chama Chetu

View attachment 2140126
05 Machi 2022
Gymkana, Dar Es Salama
#366zaSamia
#KaziKubwaImefanyika
#KaziIendelee

<<<<<<<<<<<<<<>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Kazi inafanyika
 
Duniani bila unafiki maisha hayaendi
😅😅😅
 
Back
Top Bottom