babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Blaaa ,blaaa si tupo tu hapa tunawasubiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnataka muendeleze uonezi halafu watu watulie tu??.CHADEMA ni kunguru hafugiki, Hongera Sana Rais Samia,
Wewe ni zaidi ya Rais, Wewe ni mtumishi wa Mungu,
Wanamsifu nani?Achana nao huu uzi ni wa mataga wanashindana kusifu hawana kitu vjana wadogo ila maisha ya pangu pakavu tia mchuzi
Ameridhia kukutana akiwa jela fine.Hivi hawa watu walitaka Mbowe aendelee kukaa jela? Ametolewa kelele, akikaa ndani kelele...Hivi watu wapo sawa sawa kweli. Mbowe mwenyewe ameridhia kukutana na Rais, sasa hao wanaoongea ongea ovyo wanataka nini?
Rais Samia anao moyo wa kibinadamu,Ameridhia kukutana akiwa jela fine.
Mbona kabla yakukamatwa Hangaya hakuridhia harakaharaka kama sasa.
Hivi hawa watu walitaka Mbowe aendelee kukaa jela? Ametolewa kelele, akikaa ndani kelele...Hivi watu wapo sawa sawa kweli. Mbowe mwenyewe ameridhia kukutana na Rais, sasa hao wanaoongea ongea ovyo wanataka nini?
Wakati mwingine si lazima kila kitu uongee...View attachment 2140146
"Ibara ya 118 ya ilani ya uchaguzi ya CCM inaeleza Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, Chama Cha Mapinduzi kitaendelea kuheshimu na kulinda misingi ya demokrasia na haki za binadamu kwa ajili ya kudumisha umoja, amani na ustawi wa Taifa kwa kuzingatia Katiba ya Nchi"
"Namshkuru Mhe Freeman Mbowe kwa kuonesha uungwana kwa sababu amemshukuru Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kujali na amemuahidi kumpa ushirikiano kwa ustawi wa Tanzania. Hiyo ndio siasa safi na hiyo ndio Tanzania tunayojivunia"
"Chama Cha Mapinduzi kinawahakikishia watanzania kuwa kitaendelea kuisimamia Serikali izidi kuimarisha Uhuru wa maoni, misingi ya haki na demokrasia ili kujenga taifa lenye upendo, umoja, amani na mshikamano wakati wote."
"Siasa safi inahusisha uzalendo, utu, heshima na kuweka mbele maslahi ya Taifa kuliko chochote. Rais Samia ni kielelezo katika hili na ameendelea kuthibitisha dhamira yake ya kuijenga Tanzania moja yenye ustawi kwa wananchi wote. Tumpe ushirikiano."
" Lengo la CCM katika kipindi hiki ni kuhakikisha kuwa wananchi wanaendelea kupata haki kwa mtu mmoja mmoja na makundi
mbalimbali. Tunampongeza Rais Samia kwa kuendelea kutekeleza maelekezo haya ya ilani kikamilifu hakika Kazi inaendelea vyema."
Hakika kwa sasa ccm-tanzania ina msemaji anayezungumza kwa hekima,akili,busara,Utu na Utulivu na anazungumza vitu vinavyoeleweka kama Msemaji Wa Chama Tawala, Heko Mhe Shaka Hamdu Shaka kwa kukibeba na kukiheshimisha vema Chama Chetu
View attachment 2140126
05 Machi 2022
Gymkana, Dar Es Salama
#366zaSamia
#KaziKubwaImefanyika
#KaziIendelee
Huyu jamaa atulie...>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>[/I][/B]
Wengine ndio kazi zao kuongea unatakaje wasiongee
Unaelewa maana ya kuambiwa unakesi ya kujibu?Kama kweli mnaheshimu haki za binadam, kwa nini mnamtoa gaidi tu wakati wapo wengi tu wana kesi za ovyo. Watoeni na hao basi au mkubali tu kuwa
Kesi ya Mwamba ilikuwa inaenda kuwavua nguo MACCM
Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
SawaNgoja tuone...
Unaifahamu vizuri nafasi Ya Shaka,Kwa hiyo yeye ndiye aliyeratibu maongezi ya Rais na Mwenyekiti FAM jana au basi ndio walewale wanaona wawahi siti ya mbele kabisa kabla hajaongea mhusika akatema madini yote.
Shaka njaa nyingi ridhika ulipo.
Kazi inafanyikaView attachment 2140146
"Ibara ya 118 ya ilani ya uchaguzi ya CCM inaeleza Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, Chama Cha Mapinduzi kitaendelea kuheshimu na kulinda misingi ya demokrasia na haki za binadamu kwa ajili ya kudumisha umoja, amani na ustawi wa Taifa kwa kuzingatia Katiba ya Nchi"
"Namshkuru Mhe Freeman Mbowe kwa kuonesha uungwana kwa sababu amemshukuru Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kujali na amemuahidi kumpa ushirikiano kwa ustawi wa Tanzania. Hiyo ndio siasa safi na hiyo ndio Tanzania tunayojivunia"
"Chama Cha Mapinduzi kinawahakikishia watanzania kuwa kitaendelea kuisimamia Serikali izidi kuimarisha Uhuru wa maoni, misingi ya haki na demokrasia ili kujenga taifa lenye upendo, umoja, amani na mshikamano wakati wote."
"Siasa safi inahusisha uzalendo, utu, heshima na kuweka mbele maslahi ya Taifa kuliko chochote. Rais Samia ni kielelezo katika hili na ameendelea kuthibitisha dhamira yake ya kuijenga Tanzania moja yenye ustawi kwa wananchi wote. Tumpe ushirikiano."
" Lengo la CCM katika kipindi hiki ni kuhakikisha kuwa wananchi wanaendelea kupata haki kwa mtu mmoja mmoja na makundi
mbalimbali. Tunampongeza Rais Samia kwa kuendelea kutekeleza maelekezo haya ya ilani kikamilifu hakika Kazi inaendelea vyema."
Hakika kwa sasa ccm-tanzania ina msemaji anayezungumza kwa hekima,akili,busara,Utu na Utulivu na anazungumza vitu vinavyoeleweka kama Msemaji Wa Chama Tawala, Heko Mhe Shaka Hamdu Shaka kwa kukibeba na kukiheshimisha vema Chama Chetu
View attachment 2140126
05 Machi 2022
Gymkana, Dar Es Salama
#366zaSamia
#KaziKubwaImefanyika
#KaziIendelee
<<<<<<<<<<<<<<>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Nchi inaendeshwa kama mechi ya chandimu.NUKUU ZA KATIBU WA NEC - ITIKADI NA UENEZI WA CCM TAIFA NDG. SHAKA HAMDU AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI MARA BAADA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KUZINDUA JENGO LA MAKAO MAKUU YA BENKI YA CRDB JIJINI DAR ES SALAAM, LEO MACHI 05,2022 .
#ChamaImara
#KaziIendeleeView attachment 2140435View attachment 2140438View attachment 2140440View attachment 2140441View attachment 2140442
Acha kelele, Hakuna Rais kama SamiaNchi inaendeshwa kama mechi ya chandimu.
Kama huu wako sio,Duniani bila unafiki maisha hayaendi
😅😅😅