Shaka Hamdu Shaka avunja ngome za ACT-Wazalendo na CUF Kaskazini Pemba

Shaka Hamdu Shaka avunja ngome za ACT-Wazalendo na CUF Kaskazini Pemba

Mwananchi Huru

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2021
Posts
2,128
Reaction score
1,896
......

Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Nec Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amevitikisa vyama vya Upizani vya ACT- Wazalendo na CUF katika Jimbo la Tumbe kijiji cha Chimba, Wilaya ya Micheweni Kaskazini Pemba.

Takribani jumla ya Wanachama 445 wamejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wakitokea vyama hivyo ambapo 45 walikabidhiwa kadi kwa niaba ya wenzao katika shuhuli ya ujenzi wa Taifa wa Tawi la CCM Chimba,

#Chama Imara
#KazIendelee

IMG-20220125-WA0024.jpg


IMG-20220125-WA0025.jpg


IMG-20220125-WA0026.jpg


IMG-20220125-WA0027.jpg
 
Watanzania walishachoshwa na janja janja ya Upinzani wa Tanzania,

Hebu Mwangalie Lipumba,
Hebu Mwangalie Zitto
Hebu Mwangalie Mbowe,

Wote hawa ni ntu za dili tu,

Njooni CCM chama halisi cha Watoto wa masikini,
 
Watanzania walishachoshwa na janja janja ya Upinzani wa Tanzania,

Hebu Mwangalie Lipumba...,
Umaskini sio ufahari.alafu unadanganya wenzako waendelee kua maskini uku wengine wakineemeka na familia zao.Watanzania wengi wanaelimika kwahiyo wanajua nyeupe ni ipi na nyeusi ni ipi ni swala la muda tu uko ccm mtatafutana.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amevitikisa vyama vya Upizani vya ACT- Wazalendo na CUF katika Jimbo la Tumbe kijiji cha Chimba, Wilaya ya Micheweni Kaskazini Pemba.

Takribani Wanachama 445 wamejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wakitoka vyama hivyo ambapo 45 walikabidhiwa kwa niaba wenzao katika shuhuli ya ujenzi wa Taifa wa Tawi la CCM Chimba

#Chama Imara
#KazIndelea

View attachment 2095594

View attachment 2095595

View attachment 2095596

View attachment 2095597
Kamanda WA Polisi Mkoa katoa kibali?
 
Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amevitikisa vyama vya Upizani vya ACT- Wazalendo na CUF katika Jimbo la Tumbe kijiji cha Chimba, Wilaya ya Micheweni Kaskazini Pemba...
Na vyama vya vingine vinaruhusiwa kufanya hivyooo?
 
Watanzania walishachoshwa na janja janja ya Upinzani wa Tanzania,

Hebu Mwangalie Lipumba,
Hebu Mwangalie Zitto
Hebu Mwangalie Mbowe,

Wote hawa ni ntu za dili tu,

Njooni CCM chama halisi cha Watoto wa masikini,
Tumechoka na CCM miaka 60 Nyumba za NYASI Nchi ina RASLIMALI KILA MKOA
tatizo la NCHI ni UWEZO Mdogo wa Viongozi kuongoza na SIASA CHAFU za KUBAMBIKIZIA KESI WAPINZANI
 
Duuh yaani wanatambulisha wachezaji wao wa kikosi B na C alafu wanajipongeza kwa usajili mpya!!

Zitto na ACT yake! Lipumba na CUF yake; si wafuasi watiifu na waunga juhudi kindaki ndaki hao??

NB: Hayo ni maoni nimepewa na bibi na mjukuu wake wa Kongwa!
 
Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amevitikisa vyama vya Upizani vya ACT- Wazalendo na CUF katika Jimbo la Tumbe kijiji cha Chimba, Wilaya ya Micheweni Kaskazini Pemba.

Takribani Wanachama 445 wamejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wakitoka vyama hivyo ambapo 45 walikabidhiwa kwa niaba wenzao katika shuhuli ya ujenzi wa Taifa wa Tawi la CCM Chimba

#Chama Imara
#KazIndelea

View attachment 2095594

View attachment 2095595

View attachment 2095596

View attachment 2095597
Huko Pemba ndo Waziri Masauni alimng'oa RPC kisa ACT walipewa kibali cha vikao vya ndani?
 
Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amevitikisa vyama vya Upizani vya ACT- Wazalendo na CUF katika Jimbo la Tumbe kijiji cha Chimba, Wilaya ya Micheweni Kaskazini Pemba.

Takribani Wanachama 445 wamejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wakitoka vyama hivyo ambapo 45 walikabidhiwa kwa niaba wenzao katika shuhuli ya ujenzi wa Taifa wa Tawi la CCM Chimba

#Chama Imara
#KazIndelea

View attachment 2095594

View attachment 2095595

View attachment 2095596

View attachment 2095597
Wao wafanye siasa na kutafuta wanachama ni poa, ila wapinzani wasubiri uchaguzi.
Mungu tunae mwabudu haja lala wala kusinzia.
Ccm mtafika mbinguni mkiwa mmechoka sana.
 
Wao wafanye siasa na kutafuta wanachama ni poa, ila wapinzani wasubiri uchaguzi.
Mungu tunae mwabudu haja lala wala kusinzia.
Ccm mtafika mbinguni mkiwa mmechoka sana.
Mmefanya wapi mikutano ya hadhara mkanyimwa?
 
ACT na CCM si ni chama moja acheni kuzuga.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Back
Top Bottom