Shaka Hamdu Shaka avunja ngome za ACT-Wazalendo na CUF Kaskazini Pemba

Shaka Hamdu Shaka avunja ngome za ACT-Wazalendo na CUF Kaskazini Pemba

Watanzania walishachoshwa na janja janja ya Upinzani wa Tanzania,

Hebu Mwangalie Lipumba,
Hebu Mwangalie Zitto
Hebu Mwangalie Mbowe,

Wote hawa ni ntu za dili tu,

Njooni CCM chama halisi cha Watoto wa masikini,
Kama mnajiamini kwa dhati haswaa huku Zanzibar weka uchaguzi huru na wa haki ...kura moja mtu mmoja kila anaestahili apewe stahili yake ...usichakachue matokeo tuone kama CCM haitofunga virago mchana kweupe!!
 
Kama mnajiamini kwa dhati haswaa huku Zanzibar weka uchaguzi huru na wa haki ...kura moja mtu mmoja kila anaestahili apewe stahili yake ...usichakachue matokeo tuone kama CCM haitofunga virago mchana kweupe!!
Unaongea kama wale makamanda uchwara wa ufipa.
 
Kama mnajiamini kwa dhati haswaa huku Zanzibar weka uchaguzi huru na wa haki ...kura moja mtu mmoja kila anaestahili apewe stahili yake ...usichakachue matokeo tuone kama CCM haitofunga virago mchana kweupe!!
Walifanya Hilo kosa kipindi Cha Shein. Mbona walirudia uchaguzi....
Huu wa 2020 walishajua joto ya jiwe.
Mapolisi Kama yote....
Nashindwa kuelewa. Kwa Nini Zanzibar wanafanya chaguzi wakati wanajua wataiba kura?? Wanamfurahisha kipofu Nani asiyeona Wala kusikia?
 
Walifanya Hilo kosa kipindi Cha Shein. Mbona walirudia uchaguzi....
Huu wa 2020 walishajua joto ya jiwe.
Mapolisi Kama yote....
Nashindwa kuelewa. Kwa Nini Zanzibar wanafanya chaguzi wakati wanajua wataiba kura?? Wanamfurahisha kipofu Nani asiyeona Wala kusikia?
Sisi Wazanzibari safari yetu ni ndefu na tulikotoka ni mbali ...hatutegemei Act pekee kuendelea na safari yetu!!
 
Watanzania walishachoshwa na janja janja ya Upinzani wa Tanzania,

Hebu Mwangalie Lipumba,
Hebu Mwangalie Zitto
Hebu Mwangalie Mbowe,

Wote hawa ni ntu za dili tu,

Njooni CCM chama halisi cha Watoto wa masikini,
Hatari na nusu,
 
......

Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Nec Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amevitikisa vyama vya Upizani vya ACT- Wazalendo na CUF katika Jimbo la Tumbe kijiji cha Chimba, Wilaya ya Micheweni Kaskazini Pemba.

Takribani jumla ya Wanachama 445 wamejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wakitokea vyama hivyo ambapo 45 walikabidhiwa kadi kwa niaba ya wenzao katika shuhuli ya ujenzi wa Taifa wa Tawi la CCM Chimba,

#Chama Imara
#KazIendelee

View attachment 2095594

View attachment 2095595

View attachment 2095596

View attachment 2095597
Kaza kaza Mkuu, Piga kazi
 
......

Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Nec Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amevitikisa vyama vya Upizani vya ACT- Wazalendo na CUF katika Jimbo la Tumbe kijiji cha Chimba, Wilaya ya Micheweni Kaskazini Pemba.

Takribani jumla ya Wanachama 445 wamejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wakitokea vyama hivyo ambapo 45 walikabidhiwa kadi kwa niaba ya wenzao katika shuhuli ya ujenzi wa Taifa wa Tawi la CCM Chimba,

#Chama Imara
#KazIendelee

View attachment 2095594

View attachment 2095595

View attachment 2095596

View attachment 2095597
Piga kazi
 
Watanzania walishachoshwa na janja janja ya Upinzani wa Tanzania,

Hebu Mwangalie Lipumba,
Hebu Mwangalie Zitto
Hebu Mwangalie Mbowe,

Wote hawa ni ntu za dili tu,

Njooni CCM chama halisi cha Watoto wa masikini,
Ni kweli ni chama cha watoto masikini na viongozi matajiri.
 
Back
Top Bottom