Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 2,128
- 1,896
- Thread starter
- #41
Kama vipi msifie Mbowe itapendezaNani alisifiwa Kama mwendazake?
Sasa hivi hatakusikia jina lake hamtaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama vipi msifie Mbowe itapendezaNani alisifiwa Kama mwendazake?
Sasa hivi hatakusikia jina lake hamtaki
You are rightKama vipi msifie Mbowe itapendeza
🤣🤣You are right
Kama mnajiamini kwa dhati haswaa huku Zanzibar weka uchaguzi huru na wa haki ...kura moja mtu mmoja kila anaestahili apewe stahili yake ...usichakachue matokeo tuone kama CCM haitofunga virago mchana kweupe!!Watanzania walishachoshwa na janja janja ya Upinzani wa Tanzania,
Hebu Mwangalie Lipumba,
Hebu Mwangalie Zitto
Hebu Mwangalie Mbowe,
Wote hawa ni ntu za dili tu,
Njooni CCM chama halisi cha Watoto wa masikini,
Unaongea kama wale makamanda uchwara wa ufipa.Kama mnajiamini kwa dhati haswaa huku Zanzibar weka uchaguzi huru na wa haki ...kura moja mtu mmoja kila anaestahili apewe stahili yake ...usichakachue matokeo tuone kama CCM haitofunga virago mchana kweupe!!
Unawajua Wapemba vizuri wewe au unawasikia kwa watu tuHuyu bwana ni mtu na nusu, Kazi nzuri Shaka
Haijalishi ...weka ngoma huru uwanjani uone kitakachotokeaUnaongea kama wale makamanda uchwara wa ufipa.
Endelea kujibaraguza.Haijalishi ...weka ngoma huru uwanjani uone kitakachotokea
Walifanya Hilo kosa kipindi Cha Shein. Mbona walirudia uchaguzi....Kama mnajiamini kwa dhati haswaa huku Zanzibar weka uchaguzi huru na wa haki ...kura moja mtu mmoja kila anaestahili apewe stahili yake ...usichakachue matokeo tuone kama CCM haitofunga virago mchana kweupe!!
Sisi Wazanzibari safari yetu ni ndefu na tulikotoka ni mbali ...hatutegemei Act pekee kuendelea na safari yetu!!Walifanya Hilo kosa kipindi Cha Shein. Mbona walirudia uchaguzi....
Huu wa 2020 walishajua joto ya jiwe.
Mapolisi Kama yote....
Nashindwa kuelewa. Kwa Nini Zanzibar wanafanya chaguzi wakati wanajua wataiba kura?? Wanamfurahisha kipofu Nani asiyeona Wala kusikia?
Usiruke ruke .. janja janja ya nini weka mzigo uwanjaniEndelea kujibaraguza.
Hakuna cha mzigo wala nini.Usiruke ruke .. janja janja ya nini weka mzigo uwanjani
Kazi iendeleechapa kazi Shaka
Hatari na nusu,Watanzania walishachoshwa na janja janja ya Upinzani wa Tanzania,
Hebu Mwangalie Lipumba,
Hebu Mwangalie Zitto
Hebu Mwangalie Mbowe,
Wote hawa ni ntu za dili tu,
Njooni CCM chama halisi cha Watoto wa masikini,
Wameungana lini?ACT na CCM si ni chama moja acheni kuzuga.
Kaza kaza Mkuu, Piga kazi......
Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Nec Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amevitikisa vyama vya Upizani vya ACT- Wazalendo na CUF katika Jimbo la Tumbe kijiji cha Chimba, Wilaya ya Micheweni Kaskazini Pemba.
Takribani jumla ya Wanachama 445 wamejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wakitokea vyama hivyo ambapo 45 walikabidhiwa kadi kwa niaba ya wenzao katika shuhuli ya ujenzi wa Taifa wa Tawi la CCM Chimba,
#Chama Imara
#KazIendelee
View attachment 2095594
View attachment 2095595
View attachment 2095596
View attachment 2095597
Piga kazi......
Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Nec Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amevitikisa vyama vya Upizani vya ACT- Wazalendo na CUF katika Jimbo la Tumbe kijiji cha Chimba, Wilaya ya Micheweni Kaskazini Pemba.
Takribani jumla ya Wanachama 445 wamejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wakitokea vyama hivyo ambapo 45 walikabidhiwa kadi kwa niaba ya wenzao katika shuhuli ya ujenzi wa Taifa wa Tawi la CCM Chimba,
#Chama Imara
#KazIendelee
View attachment 2095594
View attachment 2095595
View attachment 2095596
View attachment 2095597
Ni kweli ni chama cha watoto masikini na viongozi matajiri.Watanzania walishachoshwa na janja janja ya Upinzani wa Tanzania,
Hebu Mwangalie Lipumba,
Hebu Mwangalie Zitto
Hebu Mwangalie Mbowe,
Wote hawa ni ntu za dili tu,
Njooni CCM chama halisi cha Watoto wa masikini,