CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
Ni Chaka cha woteNi kweli ni chama cha watoto masikini na viongozi matajiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Chaka cha woteNi kweli ni chama cha watoto masikini na viongozi matajiri.
Ni kweli ni chama cha watoto masikini na viongozi matajiri.
Unaongea kama wale makamanda uchwara wa ufipa.
Sio kweliNi kweli ni chama cha watoto masikini na viongozi matajiri.
😍😍Hakika Rais Samia ameletwa Tanzania kuliponya Taifa,
Kitendo cha kukutana na Tundu Lissu Brussels Ubelgiji ni kiwango cha juu kabisa cha Uzalendo kwa Taifa,
Tumuunge mkono Rais wetu kwa haya kwani anastahili sana,
Safi Shaka,......
Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Nec Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amevitikisa vyama vya Upizani vya ACT- Wazalendo na CUF katika Jimbo la Tumbe kijiji cha Chimba, Wilaya ya Micheweni Kaskazini Pemba.
Takribani jumla ya Wanachama 445 wamejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wakitokea vyama hivyo ambapo 45 walikabidhiwa kadi kwa niaba ya wenzao katika shuhuli ya ujenzi wa Taifa wa Tawi la CCM Chimba,
#Chama Imara
#KazIendelee
View attachment 2095594
View attachment 2095595
View attachment 2095596
View attachment 2095597
Unaakili sana,Watanzania walishachoshwa na janja janja ya Upinzani wa Tanzania,
Hebu Mwangalie Lipumba,
Hebu Mwangalie Zitto
Hebu Mwangalie Mbowe,
Wote hawa ni ntu za dili tu,
Njooni CCM chama halisi cha Watoto wa masikini,
Nakubaliana na wewe kwa 100%Watanzania walishachoshwa na janja janja ya Upinzani wa Tanzania,
Hebu Mwangalie Lipumba,
Hebu Mwangalie Zitto
Hebu Mwangalie Mbowe,
Wote hawa ni ntu za dili tu,
Njooni CCM chama halisi cha Watoto wa masikini,
Wamechoshwa na CCM miaka 60 Maji kichwaniWatanzania walishachoshwa na janja janja ya Upinzani wa Tanzania,
Hebu Mwangalie Lipumba,
Hebu Mwangalie Zitto
Hebu Mwangalie Mbowe,
Wote hawa ni ntu za dili tu,
Njooni CCM chama halisi cha Watoto wa masikini,
wapi huko,?Wamechoshwa na CCM miaka 60 Maji kichwani