Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 2,128
- 1,896
Umaskini sio ufahari.alafu unadanganya wenzako waendelee kua maskini uku wengine wakineemeka na familia zao.Watanzania wengi wanaelimika kwahiyo wanajua nyeupe ni ipi na nyeusi ni ipi ni swala la muda tu uko ccm mtatafutana.Watanzania walishachoshwa na janja janja ya Upinzani wa Tanzania,
Hebu Mwangalie Lipumba...,
Kamanda WA Polisi Mkoa katoa kibali?Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amevitikisa vyama vya Upizani vya ACT- Wazalendo na CUF katika Jimbo la Tumbe kijiji cha Chimba, Wilaya ya Micheweni Kaskazini Pemba.
Takribani Wanachama 445 wamejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wakitoka vyama hivyo ambapo 45 walikabidhiwa kwa niaba wenzao katika shuhuli ya ujenzi wa Taifa wa Tawi la CCM Chimba
#Chama Imara
#KazIndelea
View attachment 2095594
View attachment 2095595
View attachment 2095596
View attachment 2095597
Na vyama vya vingine vinaruhusiwa kufanya hivyooo?Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amevitikisa vyama vya Upizani vya ACT- Wazalendo na CUF katika Jimbo la Tumbe kijiji cha Chimba, Wilaya ya Micheweni Kaskazini Pemba...
Mikutano ya nje ya vyama vya siasa imeruhusiwa?
Tumechoka na CCM miaka 60 Nyumba za NYASI Nchi ina RASLIMALI KILA MKOAWatanzania walishachoshwa na janja janja ya Upinzani wa Tanzania,
Hebu Mwangalie Lipumba,
Hebu Mwangalie Zitto
Hebu Mwangalie Mbowe,
Wote hawa ni ntu za dili tu,
Njooni CCM chama halisi cha Watoto wa masikini,
Yani umasikini wako ndiyo deal la ccmπ€£π€£Watanzania walishachoshwa na janja janja ya Upinzani wa Tanzania,
Hebu Mwangalie Lipumba,
Hebu Mwangalie Zitto
Hebu Mwangalie Mbowe,
Wote hawa ni ntu za dili tu,
Njooni CCM chama halisi cha Watoto wa masikini,
Watanzania walishachoshwa na janja janja ya Upinzani wa Tanzania,
Hebu Mwangalie Lipumba,
Hebu Mwangalie Zitto..
Tunakagua utekelezaji wa Ilani
Mtoe weweMbowe yupo mahabusu anakaribia mwaka Sasa, hivyo mtoe kwenye hiyo list yako.
Ona sasa akili zenu,Hivi wewe ukiitwa "MPUMBAVU " " KUBWA JINGA " Utakasrika???πππ
Huko Pemba ndo Waziri Masauni alimng'oa RPC kisa ACT walipewa kibali cha vikao vya ndani?Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amevitikisa vyama vya Upizani vya ACT- Wazalendo na CUF katika Jimbo la Tumbe kijiji cha Chimba, Wilaya ya Micheweni Kaskazini Pemba.
Takribani Wanachama 445 wamejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wakitoka vyama hivyo ambapo 45 walikabidhiwa kwa niaba wenzao katika shuhuli ya ujenzi wa Taifa wa Tawi la CCM Chimba
#Chama Imara
#KazIndelea
View attachment 2095594
View attachment 2095595
View attachment 2095596
View attachment 2095597
Wao wafanye siasa na kutafuta wanachama ni poa, ila wapinzani wasubiri uchaguzi.Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amevitikisa vyama vya Upizani vya ACT- Wazalendo na CUF katika Jimbo la Tumbe kijiji cha Chimba, Wilaya ya Micheweni Kaskazini Pemba.
Takribani Wanachama 445 wamejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wakitoka vyama hivyo ambapo 45 walikabidhiwa kwa niaba wenzao katika shuhuli ya ujenzi wa Taifa wa Tawi la CCM Chimba
#Chama Imara
#KazIndelea
View attachment 2095594
View attachment 2095595
View attachment 2095596
View attachment 2095597
Mmefanya wapi mikutano ya hadhara mkanyimwa?Wao wafanye siasa na kutafuta wanachama ni poa, ila wapinzani wasubiri uchaguzi.
Mungu tunae mwabudu haja lala wala kusinzia.
Ccm mtafika mbinguni mkiwa mmechoka sana.
Subiri mfike mbinguni mkiwa mmechoka.Mmefanya wapi mikutano ya hadhara mkanyimwa?