KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Mama hatoshi kwenye kiti hicho kwa sababu mara nyingi maamuzi yake yanaongozwa na hisia na sio akili......Tanzania tunapitia nyakati ngumu sana kiutawala kama taifa.....Huo ndio ukweli wenyewe, mama kachemsha.