Akikujibu unitagKwani CCM ilimsimamisisha au kufa kufaana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikujibu unitagKwani CCM ilimsimamisisha au kufa kufaana?
Mtu mwenye Uwezo mdogo wa akili kazi yake kujipendekeza I'll kulinda ugali.Hawa vijana wa kimakunduchi hamnazo kabisa
Halafu Shaka sio kiongozi wa serikali bali wa Chama. Amzungumzie Samia kama mwenyekiti wa chama na sio achukue nafasi kumzungumzia kiserikali.Lazima wampambe kwa maneno mazuri mana wanajua ni mweupe kichwani kuhusu uongozi.
Nitashangaa akirudi tenaAmefeli mapema sn
Hatuna raisi mkuu.Kwa interview ile ya BBC huyo mama amedhihirisha hamna kitu anajua.
Kama chama tulikosea sana. Hizi nafasi za makamu wa raisi zilikuwa haziangaziwi sana sasa tunalakujifunzaSamia ni Hajji Manara aliyezubaa tu
Mngejifunza mngeruhusu mchakato wa katiba mpyaKama chama tulikosea sana. Hizi nafasi za makamu wa raisi zilikuwa haziangaziwi sana sasa tunalakujifunza
System itamrudisha mkuuNitashangaa akirudi tena
Huu ndo ubaya, system pendekezi wako ki maslahi na sio maslahi ya nchi. Ndo mana huwa naita kupiga kura ni kujichosha tu. CCM for life.System itamrudisha mkuu
Mkuu sio wote tunaukataa ila hata sisi ni dagaa tu wenye nchi wanafahamika. Mtu anakuambia sasa najenga uchumi kwanza, yaani anaamini yeye ndo amekuja kuchenga uchumi na katiba ni porojo tu.Mngejifunza mngeruhusu mchakato wa katiba mpya
Mtu mwenye Uwezo mdogo wa akili kazi yake kujipendekeza I'll kulinda ugali.
CCM ina hati miliki ya mileleHuu ndo ubaya, system pendekezi wako ki maslahi na sio maslahi ya nchi. Ndo mana huwa naita kupiga kura ni kujichosha tu. CCM for life.