Shaka Hamdu Shaka: Rais Samia ni mbobezi kwenye uongozi

Shaka Hamdu Shaka: Rais Samia ni mbobezi kwenye uongozi

Huyo shaka ni shoga akikosa ile dyudyu anakuaga kama chizi flani hivi, kiufupi chama kuwa na viongozi wasiojua kitu kama hawa ni shida sana, kuna wakati namkumbuka Mwalimu Nyerere, aliwahi kusema walianzisha kile chuo cha kivukoni kufundisha wanachama wao siasa ndiomaana kuna utofauti mkubwa sana kati ya ccm wakomavu na wakongwe vs ccm waliodandia basi kwa mbele. Chama kinapoamua kuacha watu wenye akili na kutumia takataka ndio madhara yake haya, unawezaje kuamini mtu kama polepole alikua naye eti mwenezi wa CCm, inaingiaje akilini?
 
FB_IMG_1629100821378.jpg

SEMA KIMEUMANA
 
Lazima wampambe kwa maneno mazuri mana wanajua ni mweupe kichwani kuhusu uongozi.
Halafu Shaka sio kiongozi wa serikali bali wa Chama. Amzungumzie Samia kama mwenyekiti wa chama na sio achukue nafasi kumzungumzia kiserikali.
 
Mama alianza vzr sana, ila sasa ameshapoteza mwelekeo, ni kicheko kwa watesi wake ndani ya chama chake!
Ila mama wanamdanganya kuwa watesi/magaidi wake ni akina Mbowe kumbe ni wale anaokula nao
 
Mngejifunza mngeruhusu mchakato wa katiba mpya
Mkuu sio wote tunaukataa ila hata sisi ni dagaa tu wenye nchi wanafahamika. Mtu anakuambia sasa najenga uchumi kwanza, yaani anaamini yeye ndo amekuja kuchenga uchumi na katiba ni porojo tu.
Tuko wengi tunataka katiba mpya lakini hatuwezi kujitokeza kuidai mpaka mwenyekiti aseme sasa tuitafute.
 
Back
Top Bottom