Shaka: Kinana ni Chuo kikuu cha siasa kinachotembea, mtakaochaguliwa au kuteuliwa jifunzeni kwake

Shaka: Kinana ni Chuo kikuu cha siasa kinachotembea, mtakaochaguliwa au kuteuliwa jifunzeni kwake

Inafika kipindi watu wanapewa sifa za uungu..mnasahau alikuwepo nyerere...yote yatapita hakuna jina Kama yesu. Huyo ndo mwalimu asiye na kifani,NJIA kwel na uzima
Kwa zama hizi.. Ukweli ni kwamba Kinana yuko vizuri kichwani..

Angalia hapa amealikwa kutoa mada kwenye chuo Cha Usalama cha Taifa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220803-200502.png
    Screenshot_20220803-200502.png
    112.9 KB · Views: 6
Hana uthibitisho,usipoteze mda wako.CCM,ni wabunifu,na wanajitahidi,wananchi tuishi maisha mazuri.Mungu,Muumbaji,ibariki CCM.
Wanatafuta huruma hawa, Kinana uadilifu wake haupimwi kwa chochote,
 
Nguvu ya Kinana inaisaidia nini ccm mbona wao kazi yao ni kuhujumu tu kila uchaguzi ukifanyika.

Kinana ana tuhuma za kuhujumu uchumi kwa kusafirisha wanyama kinyemela nje ya nchi na endapo angekuwa ni kada wa Chadema angefia jela. Kinana hana lolote ni mafisadi tu sawa na wengine waliojaa huko ccm.
 
Katika yote uliyoyasema kuna moja tuu la kweli, ni lile la Kumsema Magufuli, wakati akizunfumza na Nape kwa simu.

La Msigwa, msigwa alipelekwa Mahakamani na akashindwa kesi, akahukumiwa kumlipa malipo makubwa, yakamshimda, akaenda nyumbani jwa Kinana akaomba msamaha na kinana akamsamehe.

La chanel 10 na kujimilikisha Mali za umma , ni uongo wa hali ya juu, huyu Bwana hana hata nyumba ya serekali, anaishi nyumba ya kulipia kodi.

Hakuna mwanasiasa msafi zaidi yake, hakuna kitu anachukia kama rushwa
Humjui kinana wewe.
 
Inafika kipindi watu wanapewa sifa za uungu..mnasahau alikuwepo nyerere...yote yatapita hakuna jina Kama yesu. Huyo ndo mwalimu asiye na kifani,NJIA kwel na uzima
Ndege JOHN shaka kasema Kinana ni chuo kikuu cha masuala ya siasa na uongozi kinachotembea, hajasema ni njia ya uzima wa milele kwamba huwezi fika kwa baba bila kupitia yeye.
 
Ndege JOHN shaka kasema Kinana ni chuo kikuu cha masuala ya siasa na uongozi kinachotembea, hajasema ni njia ya uzima wa milele kwamba huwezi fika kwa baba bila kupitia yeye.
Good, 😍😍
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Inafika kipindi watu wanapewa sifa za uungu..mnasahau alikuwepo nyerere...yote yatapita hakuna jina Kama yesu. Huyo ndo mwalimu asiye na kifani,NJIA kwel na uzima
Nani kapewa sifa za Mungu mzee,Chuo kinachotembea
 
Nguvu ya Kinana inaisaidia nini ccm mbona wao kazi yao ni kuhujumu tu kila uchaguzi ukifanyika.

Kinana ana tuhuma za kuhujumu uchumi kwa kusafirisha wanyama kinyemela nje ya nchi na endapo angekuwa ni kada wa Chadema angefia jela. Kinana hana lolote ni mafisadi tu sawa na wengine waliojaa huko ccm.
Tengenezeni mazingira ya kushinda au kama hamtaki endeleeni na Hadithi za kuibiwa. Hii ngoma awamu hii msipo CHEZA lafu ,uwanjani hakutokua na figisu.
Screenshot_20220725-112437.jpg
 
Kinana ni mwanasiasa wa kuigwa, mtendaji na ana akili sana, anasema vitu practical na sio mwanasiasa wa maneno hewa..!! He walks the talk..!! Mungu amlinde mzee wetu huyu, Mh. Rais Samia hongera sana kumpa Mzee huyu nafasi ya Umakamu Mwenyekiti CCM, Kinana ni hazina ya nchi hii..!!
Hii nchi hii!!
Mungu atusamehe tu! Tunahitaji uponyaji kwakweli. Huyu mzee unasema ni hazina ya taifa uko serious kweli au umekunywa mtoli?????[emoji1787]
 
Katika yote uliyoyasema kuna moja tuu la kweli, ni lile la Kumsema Magufuli, wakati akizunfumza na Nape kwa simu.

La Msigwa, msigwa alipelekwa Mahakamani na akashindwa kesi, akahukumiwa kumlipa malipo makubwa, yakamshimda, akaenda nyumbani jwa Kinana akaomba msamaha na kinana akamsamehe.

La chanel 10 na kujimilikisha Mali za umma , ni uongo wa hali ya juu, huyu Bwana hana hata nyumba ya serekali, anaishi nyumba ya kulipia kodi.

Hakuna mwanasiasa msafi zaidi yake, hakuna kitu anachukia kama rushwa
Unaweza kuthibitisha haya maelezo yako??? Ndugu mchangiaji?
 
Tengenezeni mazingira ya kushinda au kama hamtaki endeleeni na Hadithi za kuibiwa. Hii ngoma awamu hii msipo CHEZA lafu ,uwanjani hakutokua na figisu.View attachment 2315588
Ccm haijawahi kushinda kwenye mfumo huu wa vyama vingi na ndio maana wanalazimisha wao ndio wateue tume inayosimamia uchaguzi na pia wamefanya vyombo vya usalama kuwa vitengo vyao.
 
Nguvu ya Kinana inaisaidia nini ccm mbona wao kazi yao ni kuhujumu tu kila uchaguzi ukifanyika.

Kinana ana tuhuma za kuhujumu uchumi kwa kusafirisha wanyama kinyemela nje ya nchi na endapo angekuwa ni kada wa Chadema angefia jela. Kinana hana lolote ni mafisadi tu sawa na wengine waliojaa huko ccm.
Unaishi wapi wewe?
 
KINANA NI CHUO KIKUU CHA SIASA KINACHOTEMBEA

View attachment 2315002

"Komredi Kinana ni gwiji la siasa za ndani na nje, amekulia na kulelewa ndani ya TANU na leo CCM.

Mzee Kinana ni mwana majumui (panafricanist) mtiifu na mwadilifu sana ,Kwa vijana wenzangu mliyo madarakani na ambao mnatarajia kuingia, Tujifunze kutoka kwa Mzee Kinana,

View attachment 2315008
Mzee Kinana ni chuo kikuu cha siasa kinachotembea, tunaimani naye kuwa atakuwa msaada mkubwa kwa chama chetu."

Shaka Hamdu Shaka
Katibu Mwenezi CCM Taifa
#ZiaraYaKinanaMbeya
===============
Mwizi, jambazi, msaliti. Kila jambo lina expires. Huu ujinga wenu utafika mwisho la safari hii mtakoma, mnadhani hii nchi ni yakuchezewa chezewa. Sasa mnaachea mjianike
 
Back
Top Bottom