The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Kwa zama hizi.. Ukweli ni kwamba Kinana yuko vizuri kichwani..Inafika kipindi watu wanapewa sifa za uungu..mnasahau alikuwepo nyerere...yote yatapita hakuna jina Kama yesu. Huyo ndo mwalimu asiye na kifani,NJIA kwel na uzima
Sahihi kabisa ✔️Ni kweli tupu,CCM ina watu wenye ubunifu,wa hali ya juu.Ni wenye maarifa,ashukuriwe Mungu,muumba.
Wanatafuta huruma hawa, Kinana uadilifu wake haupimwi kwa chochote,Hana uthibitisho,usipoteze mda wako.CCM,ni wabunifu,na wanajitahidi,wananchi tuishi maisha mazuri.Mungu,Muumbaji,ibariki CCM.
Humjui kinana wewe.Katika yote uliyoyasema kuna moja tuu la kweli, ni lile la Kumsema Magufuli, wakati akizunfumza na Nape kwa simu.
La Msigwa, msigwa alipelekwa Mahakamani na akashindwa kesi, akahukumiwa kumlipa malipo makubwa, yakamshimda, akaenda nyumbani jwa Kinana akaomba msamaha na kinana akamsamehe.
La chanel 10 na kujimilikisha Mali za umma , ni uongo wa hali ya juu, huyu Bwana hana hata nyumba ya serekali, anaishi nyumba ya kulipia kodi.
Hakuna mwanasiasa msafi zaidi yake, hakuna kitu anachukia kama rushwa
Ndege JOHN shaka kasema Kinana ni chuo kikuu cha masuala ya siasa na uongozi kinachotembea, hajasema ni njia ya uzima wa milele kwamba huwezi fika kwa baba bila kupitia yeye.Inafika kipindi watu wanapewa sifa za uungu..mnasahau alikuwepo nyerere...yote yatapita hakuna jina Kama yesu. Huyo ndo mwalimu asiye na kifani,NJIA kwel na uzima
Good, 😍😍Ndege JOHN shaka kasema Kinana ni chuo kikuu cha masuala ya siasa na uongozi kinachotembea, hajasema ni njia ya uzima wa milele kwamba huwezi fika kwa baba bila kupitia yeye.
Nani kapewa sifa za Mungu mzee,Chuo kinachotembeaInafika kipindi watu wanapewa sifa za uungu..mnasahau alikuwepo nyerere...yote yatapita hakuna jina Kama yesu. Huyo ndo mwalimu asiye na kifani,NJIA kwel na uzima
Tengenezeni mazingira ya kushinda au kama hamtaki endeleeni na Hadithi za kuibiwa. Hii ngoma awamu hii msipo CHEZA lafu ,uwanjani hakutokua na figisu.Nguvu ya Kinana inaisaidia nini ccm mbona wao kazi yao ni kuhujumu tu kila uchaguzi ukifanyika.
Kinana ana tuhuma za kuhujumu uchumi kwa kusafirisha wanyama kinyemela nje ya nchi na endapo angekuwa ni kada wa Chadema angefia jela. Kinana hana lolote ni mafisadi tu sawa na wengine waliojaa huko ccm.
uko vizuri sana The Sunk Cost FallacyKwa zama hizi.. Ukweli ni kwamba Kinana yuko vizuri kichwani..
Angalia hapa amealikwa kutoa mada kwenye chuo Cha Usalama cha Taifa 👇
Athibitishe nini????Hebu thibitisha hii
Hii nchi hii!!Kinana ni mwanasiasa wa kuigwa, mtendaji na ana akili sana, anasema vitu practical na sio mwanasiasa wa maneno hewa..!! He walks the talk..!! Mungu amlinde mzee wetu huyu, Mh. Rais Samia hongera sana kumpa Mzee huyu nafasi ya Umakamu Mwenyekiti CCM, Kinana ni hazina ya nchi hii..!!
Unaweza kuthibitisha haya maelezo yako??? Ndugu mchangiaji?Katika yote uliyoyasema kuna moja tuu la kweli, ni lile la Kumsema Magufuli, wakati akizunfumza na Nape kwa simu.
La Msigwa, msigwa alipelekwa Mahakamani na akashindwa kesi, akahukumiwa kumlipa malipo makubwa, yakamshimda, akaenda nyumbani jwa Kinana akaomba msamaha na kinana akamsamehe.
La chanel 10 na kujimilikisha Mali za umma , ni uongo wa hali ya juu, huyu Bwana hana hata nyumba ya serekali, anaishi nyumba ya kulipia kodi.
Hakuna mwanasiasa msafi zaidi yake, hakuna kitu anachukia kama rushwa
Ccm haijawahi kushinda kwenye mfumo huu wa vyama vingi na ndio maana wanalazimisha wao ndio wateue tume inayosimamia uchaguzi na pia wamefanya vyombo vya usalama kuwa vitengo vyao.Tengenezeni mazingira ya kushinda au kama hamtaki endeleeni na Hadithi za kuibiwa. Hii ngoma awamu hii msipo CHEZA lafu ,uwanjani hakutokua na figisu.View attachment 2315588
Unaishi wapi wewe?Nguvu ya Kinana inaisaidia nini ccm mbona wao kazi yao ni kuhujumu tu kila uchaguzi ukifanyika.
Kinana ana tuhuma za kuhujumu uchumi kwa kusafirisha wanyama kinyemela nje ya nchi na endapo angekuwa ni kada wa Chadema angefia jela. Kinana hana lolote ni mafisadi tu sawa na wengine waliojaa huko ccm.
Tanzania.Unaishi wapi wewe?
Ndani ndani SanaTanzania.
Nje nje sana.Ndani ndani Sana
Mwizi, jambazi, msaliti. Kila jambo lina expires. Huu ujinga wenu utafika mwisho la safari hii mtakoma, mnadhani hii nchi ni yakuchezewa chezewa. Sasa mnaachea mjianikeKINANA NI CHUO KIKUU CHA SIASA KINACHOTEMBEA
View attachment 2315002
"Komredi Kinana ni gwiji la siasa za ndani na nje, amekulia na kulelewa ndani ya TANU na leo CCM.
Mzee Kinana ni mwana majumui (panafricanist) mtiifu na mwadilifu sana ,Kwa vijana wenzangu mliyo madarakani na ambao mnatarajia kuingia, Tujifunze kutoka kwa Mzee Kinana,
View attachment 2315008
Mzee Kinana ni chuo kikuu cha siasa kinachotembea, tunaimani naye kuwa atakuwa msaada mkubwa kwa chama chetu."
Shaka Hamdu Shaka
Katibu Mwenezi CCM Taifa
#ZiaraYaKinanaMbeya
===============