Shaka: Ni marufuku kwa hospitali za Serikali kumtoza Mama mjamzito kiasi chochote cha fedha wakati, kabla na baada ya kujifungua

Shaka: Ni marufuku kwa hospitali za Serikali kumtoza Mama mjamzito kiasi chochote cha fedha wakati, kabla na baada ya kujifungua

Rais Samia alisema atapunguza vifo vya mama na mtoto na sasa amefanikisha hii ni hatua kubwa sana katika sekta ya afya
 
View attachment 2328846
SHAKA "TUSIWATOZE FEDHA WAJAWAZITO"

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amewataka watoa huduma kote nchini kuacha kuwatoza fedha wanawake wajawazito wakati wa kliniki na wanapofika kujifungua.

Shaka ametoa maelekezo hayo akiwa Jimbo la Bukene wilaya ya Nzega mkoa wa Tabora alipopokea kilio cha wakina mama wakati alipokuwa akizungumza na wanachama wa CCM na wananchi wakati wa ziara yake.

View attachment 2328851

"Naomba nitumie jukwa hili kuweka msisitizo kwenye maelekezo ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa wizara ya afya pamoja na TAMISEMI juu ya kusimamia takwa la kisera la kutaka watoa huduma za afya kote nchini kutowatoza fedha wanawake wajawazito wakati wa kliniki na wanapofika kujifungua. Hapa Bukene DC na Mkurugenzi mmesikia kilio hiki naomba tusitishe tabia hiyo" Amesema Shaka.

View attachment 2328849
Shaka amewaeleza wananchi hao kuwa tayari Rais Samia ameshatoa maelekezo kwa wizara ya afya nchini kufanya mapitio ya gharama za matibabu ili kuja na muongozo utakaowapunguzia mzigo wananchi. Hivyo waendelee kumuunga mkono kwa kumuombea dua na sala pamoja na kutoa ushirikiano kwa serikali anayoiongoza kwa kuchapakazi na kulipa kodi.

View attachment 2328852
Naye Katibu Mkuu wa Jumuiya ya CCM ya Umoja wa Wazazi Tanzania Ndg Gilbert Kalima ambaye ameambatana na Shaka katika ziara hiyo amewataka wananchi kujitokeza kuhesabiwa na kutoa ushirikiano kwa makarani siku ya sensa Agosti 23, 2022.

View attachment 2328850
'CCM Imara, Shiriki Uchaguzi Kwa Uadilifu na Jiandae Kuhesabiwa Agosti 23, 2022'

#CCMIMara
#KaziIendelee
Ameeen
 
Vipi lile begi la mama mjamzito analotembea nalo kwa miezi kadhaa kabla ya lujifingua lenye gloves ma khanga nalo wamesamehewa? Sisiyemu bhana.
Begi hilo ni mhimu kuwa nalo kwa sababu unaweza kujikuta umejifungulia nyumbani au njiani na huna vifaa vya kukusaidia
 
Jamani kutoa agiza sio tatizo, je serikali inaweza kupeleka dawa na vifaa tiba vyote kutosheleza? Badala ya kutoa kauli kama hizi kila mwaka na mambo yale yale kujirudia ni heri serikali na wanasiasa kuhamasisha kila mwananchi kuwa na bima za CHF la sivyo watu wataendelea kudanganywa kila mara
 
CCM chama kinachojari raia wake, Viva CCM
Lkn wanashindwa kusimama wanayo yasema. Tena kwa sasa hivi watoa huduma wa umma wengi wanadai malipo ili watoe huduma.
Ni juzi tu mwenye no. ya simu hapo chini kapigwa laki kadhaa kwenye hospital za serekali, hatimaye alimpoteza mtoto na almanusra ampoteze mke.
No ni hizo. 0684532854.
 
View attachment 2328846
SHAKA "TUSIWATOZE FEDHA WAJAWAZITO"

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amewataka watoa huduma kote nchini kuacha kuwatoza fedha wanawake wajawazito wakati wa kliniki na wanapofika kujifungua.

Shaka ametoa maelekezo hayo akiwa Jimbo la Bukene wilaya ya Nzega mkoa wa Tabora alipopokea kilio cha wakina mama wakati alipokuwa akizungumza na wanachama wa CCM na wananchi wakati wa ziara yake.

View attachment 2328851

"Naomba nitumie jukwa hili kuweka msisitizo kwenye maelekezo ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa wizara ya afya pamoja na TAMISEMI juu ya kusimamia takwa la kisera la kutaka watoa huduma za afya kote nchini kutowatoza fedha wanawake wajawazito wakati wa kliniki na wanapofika kujifungua. Hapa Bukene DC na Mkurugenzi mmesikia kilio hiki naomba tusitishe tabia hiyo" Amesema Shaka.

View attachment 2328849
Shaka amewaeleza wananchi hao kuwa tayari Rais Samia ameshatoa maelekezo kwa wizara ya afya nchini kufanya mapitio ya gharama za matibabu ili kuja na muongozo utakaowapunguzia mzigo wananchi. Hivyo waendelee kumuunga mkono kwa kumuombea dua na sala pamoja na kutoa ushirikiano kwa serikali anayoiongoza kwa kuchapakazi na kulipa kodi.

View attachment 2328852
Naye Katibu Mkuu wa Jumuiya ya CCM ya Umoja wa Wazazi Tanzania Ndg Gilbert Kalima ambaye ameambatana na Shaka katika ziara hiyo amewataka wananchi kujitokeza kuhesabiwa na kutoa ushirikiano kwa makarani siku ya sensa Agosti 23, 2022.

View attachment 2328850
'CCM Imara, Shiriki Uchaguzi Kwa Uadilifu na Jiandae Kuhesabiwa Agosti 23, 2022'

#CCMIMara
#KaziIendelee
Je usipowatoza wanawake wajawazito wanapojufungua unadhani vituo vya Afya vitapata wapi vitendea kazi kama nyuzi, gloves, pamba, bandages etc?

Kuliko kuropoka namna hii vijijini Shaka aende akapambane na Mwigulu Nchemba kuhakikisha kuwa anapeleka fedha kwa ajili ya jamii iliyo na msamaha kwenye matibabu; wazee miaka 60+, watoto chini ya miaka 5 na wazazi wanaojifungua. Sera ipo ni nzuri lakini kwenye reality fedha haipelekwi.
 
View attachment 2328846
SHAKA "TUSIWATOZE FEDHA WAJAWAZITO"

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amewataka watoa huduma kote nchini kuacha kuwatoza fedha wanawake wajawazito wakati wa kliniki na wanapofika kujifungua.

Shaka ametoa maelekezo hayo akiwa Jimbo la Bukene wilaya ya Nzega mkoa wa Tabora alipopokea kilio cha wakina mama wakati alipokuwa akizungumza na wanachama wa CCM na wananchi wakati wa ziara yake.

View attachment 2328851

"Naomba nitumie jukwa hili kuweka msisitizo kwenye maelekezo ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa wizara ya afya pamoja na TAMISEMI juu ya kusimamia takwa la kisera la kutaka watoa huduma za afya kote nchini kutowatoza fedha wanawake wajawazito wakati wa kliniki na wanapofika kujifungua. Hapa Bukene DC na Mkurugenzi mmesikia kilio hiki naomba tusitishe tabia hiyo" Amesema Shaka.

View attachment 2328849
Shaka amewaeleza wananchi hao kuwa tayari Rais Samia ameshatoa maelekezo kwa wizara ya afya nchini kufanya mapitio ya gharama za matibabu ili kuja na muongozo utakaowapunguzia mzigo wananchi. Hivyo waendelee kumuunga mkono kwa kumuombea dua na sala pamoja na kutoa ushirikiano kwa serikali anayoiongoza kwa kuchapakazi na kulipa kodi.

View attachment 2328852
Naye Katibu Mkuu wa Jumuiya ya CCM ya Umoja wa Wazazi Tanzania Ndg Gilbert Kalima ambaye ameambatana na Shaka katika ziara hiyo amewataka wananchi kujitokeza kuhesabiwa na kutoa ushirikiano kwa makarani siku ya sensa Agosti 23, 2022.

View attachment 2328850
'CCM Imara, Shiriki Uchaguzi Kwa Uadilifu na Jiandae Kuhesabiwa Agosti 23, 2022'

#CCMIMara
#KaziIendelee
Huyu bwana naomba niseme tu wazi kuwa ni kiongozi mahiri na muhimu Sana kwa Taifa, mengine tumwachie Mungu wetu.
 
Kinachofanya mtu atoe pesa ni uchungu ukikuzidia na wanakuangalia kama vile hawakuoni ukiacha unaona kifo mbele yako au unashuhudia mtu anapoteza uhai kisa elfu 5.

Tutafute namna Bora ya kuwahudumia wenye shida
 
Kinachofanya mtu atoe pesa ni uchungu ukikuzidia na wanakuangalia kama vile hawakuoni ukiacha unaona kifo mbele yako au unashuhudia mtu anapoteza uhai kisa elfu 5.

Tutafute namna Bora ya kuwahudumia wenye shida
😍😍😍Umeambiwa usitoe
 
IMG-20220827-WA0001.jpg
 
Back
Top Bottom