Shaka: TFS mkimaliza kuwavunja miguu vijana wote nguvu kazi ya Taifa itatoka wapi?

Huyu mwamba anakuja vizuri Sana kwenye siasa,

Shaka hongera sana mkubwa,

Usirudi nyuma kabisa
 
CCM ni mafisiii..lakini huyu Shaka atleast anaonekana ni kiongozi anayejielewa kwenye haya mambo ordinary..

Kudos kwake.
 
Degree ya unafiki. Laanaturah
 
CCM na CCM mnagombania nini enyi wanafiki
 
CCM na CCM mnagombania nini enyi wanafiki
Relax mkuu....

Basi huna hoja yenye mantiki....TFS ni lini ikawa CCM?!!! Khaaa 😲😲

Kweli UPINGAJI huweza kuwa ni kilema cha maumbile......🤣
 
Relax mkuu....

Basi huna hoja yenye mantiki....TFS ni lini ikawa CCM?!!! Khaaa 😲😲

Kweli UPINGAJI huweza kuwa ni kilema cha maumbile......🤣
Kwani ccm si ndio Dola na dola ndio ccm.

Acheni unafiki kujilizaliza watanzania sii wajinga wanajua unafiki mnaofanya
 
Kwani ccm si ndio Dola na dola ndio ccm.

Acheni unafiki kujilizaliza watanzania sii wajinga wanajua unafiki mnaofanya
Bado hujarelax tu mkuu wangu?!!! 🤣

CCM ni chama kilichopewa dhamana ya kuunda SERIKALI....CCM si serikali....ugumu wa kuelewa hilo unatokea wapi kaka?!! 🤣🤣
 
Bado hujarelax tu mkuu wangu?!!! 🤣

CCM ni chama kilichopewa dhamana ya kuunda SERIKALI....CCM si serikali....ugumu wa kuelewa hilo unatokea wapi kaka?!! 🤣🤣
Chama kilipewa dhamana na polisi jeshi na usalama sio wananchi. Ndio maana tunawashangaa hiyo kuhilizaliza ya kinafiki
 
Chama kilipewa dhamana na polisi jeshi na usalama sio wananchi. Ndio maana tunawashangaa hiyo kuhilizaliza ya kinafiki
Naongelea CCM....

Hao wengine ni serikali....

Hebu ona hapa CHINI CCM inapotaka kuongea na TAASISI YA SERIKALI juu ya kadhia za TFS.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…