Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Duuuh hivi somo la CIVICS lilikupita kule shuleni?!!! π€£Kwani CCM si ndiyo inatawala? sasa anajilalamikiaje mwenyewe? au CCM haina control kwamba kila chombo cha serikale yake kinajifanyia kinavyotaka? Hawa watu waache cheap politics za danganya toto
Kura yangu haitakwendamo kwa Cherehani ita kwendaga Kwa ToroliππShaka : TFS mkimaliza kuwavunja miguu vijana wote nguvu kazi ya Taifa hili itatoka wapi? | CCM haitakubali watanzania walioko maeneo ya hifadhi kuishi Kama wakimbizi kwenye nchi yao,
|Kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu yanayowahusu wakala wa misitu Tanzania (TFS) kupiga wananchi wetu hadi kuwavunja miguu kwa kisingizo cha kuwakamata na mkaa au kuwabambikizia kesi zisizo na msingi wowote wa kisheria,Kuanzia leo iwe mwanzo na mwisho, Serikali ya Mama Samia imejipambanua tusimamie sheria bila kuleta mateso|manyanyaso na hata udhalilishaji uliopitiliza|
|Chama Cha Mapinduzi kitamuelekeza Waziri Wa Maliasili na Utali Dk Ndumbaro juu ya kadhia hii, Vijana wake wakishawamaliza kuwavunja miguu vijana wote nguvu kazi ya Taifa hili itatoka wapi? Nyakati zote Rais Samia amekuwa akisimama na Wananchi wake kamwe hatuwezi kufumbia macho uchonganishi huu kwa kisingizio eti kuvunja sheria|
|CCM haitakubali kuona wananchi kwenye maeneo ya hifadhi ya misitu wakiishi kama wakimbizi katika kwenye nchi yao. TFS acheni uonevu na unyanyasaji wa wananchi wanaopakana na misitu hususan hapa Jimbo la Ushetu| alisema Shaka
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
Kahama Kampeni CCM.
View attachment 1968067
View attachment 1968068
View attachment 1968070
View attachment 1968071
View attachment 1968072
View attachment 1968074
Nilishindwa kuelewa maana nimeona makaburi nikadhani kuna kijana ameuawaAkiwa Ushetu Mkuu wangu
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Nilipoona kaburi nikadhani kijana kauawa kwahiyo kauli imetolewa mazishiniKwenye uwanja wa kumbeba kuragombea ubunge
Shana =Samia =DanielKuna mtu aliposhika uongozi watu walifurah Sana, alikemea Sana dhuruma n.k, lakin sasa mpaka leo tunajiuliza huyu shetan ametokea wapi kumuingia mpaka sasa hv watu wengi wanajuta...
So huyo Shaka, ni mtu mwema sana ata mm binafs namkubali,kwanza ana Hekima ya maneno. So ajilinde Sana na kuulinda Sana moyo wake usipatwe na mapepo Kama mtu yule...
Mbona amekea mkuu?Mbona hakemei polisi wanao wakamata wanachama wa upinzani kwenye nyumba za ibada???
Sijaelewa....Shana =Samia =Daniel
Hao Tfs wamekuwa kama askari wa wanyama pori Kazi yao kukimbizana na watu wa mikaa.Shaka : TFS mkimaliza kuwavunja miguu vijana wote nguvu kazi ya Taifa hili itatoka wapi? | CCM haitakubali watanzania walioko maeneo ya hifadhi kuishi Kama wakimbizi kwenye nchi yao,
|Kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu yanayowahusu wakala wa misitu Tanzania (TFS) kupiga wananchi wetu hadi kuwavunja miguu kwa kisingizo cha kuwakamata na mkaa au kuwabambikizia kesi zisizo na msingi wowote wa kisheria,Kuanzia leo iwe mwanzo na mwisho, Serikali ya Mama Samia imejipambanua tusimamie sheria bila kuleta mateso|manyanyaso na hata udhalilishaji uliopitiliza|
|Chama Cha Mapinduzi kitamuelekeza Waziri Wa Maliasili na Utali Dk Ndumbaro juu ya kadhia hii, Vijana wake wakishawamaliza kuwavunja miguu vijana wote nguvu kazi ya Taifa hili itatoka wapi? Nyakati zote Rais Samia amekuwa akisimama na Wananchi wake kamwe hatuwezi kufumbia macho uchonganishi huu kwa kisingizio eti kuvunja sheria|
|CCM haitakubali kuona wananchi kwenye maeneo ya hifadhi ya misitu wakiishi kama wakimbizi katika kwenye nchi yao. TFS acheni uonevu na unyanyasaji wa wananchi wanaopakana na misitu hususan hapa Jimbo la Ushetu| alisema Shaka
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
Kahama Kampeni CCM.
View attachment 1968067
View attachment 1968068
View attachment 1968070
View attachment 1968071
View attachment 1968072
View attachment 1968074
Bado wale jamaa wa wanyama pori wanatesa Sana watu..Shaka Safi Sana Mkuu,
Lazima kusimama na wanachi ndio uzalendo
Fukuza hao mbwa wanaomuharibia rais wetu
Waache kuitia doa serikali hii inayomcha Mungu fukuza kabisa hao hata kama ni waziri fukuza kabisa
Mtoe zito kwenye hiyo picha
Hiki chuma ni balaa aise,
Huyo jamaa ni mtu na nusu ππHiki chuma ni balaa aise,
Shaka is so smart
Mkuu salama?Mtoe zito kwenye hiyo picha
Amesepa na mkuu wa mkoa pale ShinyangaHuyo jamaa ni mtu na nusu ππ
Kumbe shaka ana uwezo wa kufukuza waajiriwa wa serikali.Shaka anasiasa safi sana huyu jamaa,
Lazima tuwe na viongozi watakao simama na wananchi wakati wote,
Shaka anahuruma sana ndio maana anaweza kusimama upande wa wananchi
Magemu ni wanyama kabisa hawa watu,
Shaka fukuza hao watu
Pamoja mkuu,mambo ni swadaktaMkuu salama?
Nakukubali sana wewe jamaa
Ni lazima viongozi wa serikali wajue kuwa tunapozitafuta kura za watanzania tunapata tabu sana....mno kuwashawishi watanzania wenzetu.....mwishowe hutupa DHIMA....hatuwezi kuwasaliti kile WALICHOTUAMINI.....Amesepa na mkuu wa mkoa pale Shinyanga
CCM ndiyo iliyochukua ahadi ya kulinda maslahi ya watanzania.....Kumbe shaka ana uwezo wa kufukuza waajiriwa wa serikali.
Mkuu wa mkoa wa Shinyanga yuko wapi?Kumbe shaka ana uwezo wa kufukuza waajiriwa wa serikali.